Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

Ni laana ya nireteeni ngwajima, mengine yatafuata pia, si mmesikia matetemko huko
 

mkuu yosefu alikuwa mme wa mariamu
 
Kinachoshangaza bunge zima!! Wabunge zaidi 350, hakuna hata mmoja ambae hakulitolea muongozo hlo Jambo, yaan for the moment lile kosa palepale wabunge walipaswa kusimama na ku correct hlo,

Cha ajabu walikuwa kimya Wala hakuna aliestukia, mean kwamba wabunge hawakujua kuwa kunakosa limefanyika?? Au walikuwa na emotion ya gwajboy na sila??

Yapo mambo kuyarekebisha huhitaji barua, Ni palepale Tena mlemle ndan, means kwamba wabunge hawakujua kabisa kuwa Ni kosa?? Mpka social media zilipomwambia??

Napata picha kubwa Zaid kuwa wabunge hawako makini au huwa hawana mda wa kufuatilia wakiwa mle ndani, ikiwa jambo dogo namna hyo limeshindwa kurekebishwa ndan ya ukumbe, je ambo makubwa Kama ya mikataba, tozo na mengine kwel wataweza??

Kwa upande wangu naona tunahaja ya kujitafakari Kama taifa, je tunathink tank makini? Kukosea sawa Ila kwa wabunge wote,[emoji56][emoji847]ahaaa jaman something is wrong somewhere..
 
mkuu yosefu alikuwa mme wa mariamu
Safari ya kwenda kuhesabiwa Ilianzia Nazareti kwenda Bethlehemu, mji wa Daudi, na sio Nazareti kwenda Yerusalemu

Hivyo sisi wakristu na watanzania wengine bado tumekwazika, kwa kanusho kuendelea kupotosha😠
Hii nayo?
 
Safari ya kwenda kuhesabiwa Ilianzia Nazareti kwenda Bethlehemu, mji wa Daudi, na sio Nazareti kwenda Yerusalemu

Hivyo sisi wakristu na watanzania wengine bado tumekwazika, kwa kanusho kuendelea kupotosha😠
 
Sina shida na kukosea kwake, shida yangu walikuwa wanapiga makofi walikuwa wameelewa au wanapiga tu, ndiyo maana vitu vya kijinga vinapita Bungeni kwa ujinga kama huo
 
"It's a big deal" pale Spika anapotumia Biblia na Kanuni za Bunge kuhalalisha hukumu dhidi ya Mbunge, ambaye pia ni mtumishi wa Mungu, kwa mahubiri yake kwenye nyumba ya Bwana
 
Safari ya kwenda kuhesabiwa Ilianzia Nazareti kwenda Bethlehemu, mji wa Daudi, na sio Nazareti kwenda Yerusalemu

Hivyo sisi wakristu na watanzania wengine bado tumekwazika, kwa kanusho kuendelea kupotosha[emoji34]
Hii nayo?

Ni wa kristo sio wa kristu, maandiko yanasema wasameheni watu makosa yao kama baba yenu wa mbinguni anavyo wasanehe ninyi,
 
Tatiza gwajboy issue ili take coverage wabunge hawakuona kusa la upotoshaji
 
Hii ni dalili kuwa bado tutaumizwa sana kwa tozo. duh! Tangu nione sijazaliwa
 
Ni wa kristo sio wa kristu, maandiko yanasema wasameheni watu makosa yao kama baba yenu wa mbinguni anavyo wasanehe ninyi,
Ni WASAMEHE siyo WASANEHE

Hebu fikiria kwenda motoni kwa kukosea tahajia tu. Duh!
 
Ni WASAMEHE siyo WASANEHE

Hebu fikiria kwenda motoni kwa kukosea tahajia tu. Duh!

kwa kweli nimekiangalia kibanzi kilicho ktk jicho la mwenzangu nikasahau kutoa boriti jichoni mwangu, ila Mungu ni mwema wakati wote,
 
na huyu ni mzee wa kanisa la anglican! msisahau hilo.
 
Siyo kila kitu ni propaganda kama zinazofanyika dhidi ya chadema, hata kama msamaha umeombwa lakini Yusuph na Mariam walikuwa wanaenda bethlehem siyo huko ulipotaja wewe na kupigiwa makofi ya haja tena ya kinafiki
Nimesikitika sana , sitaki kudanganywa.
 
Siyo kila kitu ni propaganda kama zinazofanyika dhidi ya chadema, hata kama msamaha umeombwa lakini Yusuph na Mariam walikuwa wanaenda bethlehem siyo huko ulipotaja wewe na kupigiwa makofi ya haja
Nimesikitika sana , sitaki kudanganywa.
Hata kama kaombewa radhi na kitengo chake cha mawasiliano, Juha huyu anayejiita "Lay Cannon" hayupo sahihi. Ni mpotoshaji aliyefanya makosa mawili kwenye sentensi moja tu!! Je zingekuwa sentensi kumi si ingekuwa balaa! Kosa la kwanza ni kumuita "Yesu na mke wake" na kosa la pili "kwenda Jerusalem". Hivyo Ndugai anajua kuwa Jerusalem na Bethlehem ni miji miwili tofauti?!? Ama kweli jamaa ni dhaifu kwa mengi.
 
Inakera sana na walioomba msamaha wanaendelea kudanganya kwamba safari ilikuwa ni ya jerusalem, wanakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…