Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Tunamtaka na yeye alekebishe haraka vinginevyo tutampeleka kwenye tume ya maadili kwa kupotosha. Atoe kauli kwa UMMA NA BUNGE MANA IPO KWENYE HANSADI ZA BUNGE. ya kujirekebisha alipotupotosha kuwa Yesu alitembea na mke wake. Ni jambo dogo sana hili, sasa kazi kwake mana nkuki kwa ngurue kwa binadamu ............Alimaanisha Yusuf kuweni na akili za kuvukia hata road
USSR
Kashaomba msamahaMwambie atuachie Bwana Yesu KRISTO wetu.
Aseme yale anayoyajua, yaani kachanganya kama mtoto anayejifunza aeiou
By the way, chanjo siyo
Wakati nasikiliza nilidhani nimesikia vibaya
Wewe ni Ndugai?...Ameteleza ulimi, sio kusudio.
Umenichekesha hadi nahisi kuumwa. Duh umeifanya jioni yangu kuwa njema sanaDaaah Hadi naona aibu kujitambulisha nimetokea Kongwa[emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 1918235
Sasa Maria Magdalena alikuwa nani?AYesu alikuwa na mke kumbe aise.π€£π€£π€£
Ndio hivyo mkuu hakuna namna maana mpaka mtu unajiuliza sisi Tanzania tulimkosea Nini Mungu?π’π’π’π’π’Umenichekesha hadi nahisi kuumwa. Duh umeifanya jioni yangu kuwa njema sana
Licha ya mchapio, Marian hakuwa "mke" wa Yoseph, alikuwa "mchumba"Me naona kama mchapio tu wa jina, lengo lilikuwa Yosefu na mke wake Maria