Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Starehe visiwani ndani ya kisiwa cha Ukerewe, ule ni ulimwengu mwingine

Mkuu ukerewa unayoizungumzia sio ya sasa bora hata sisi tuliopo kisiwa cha nafuba kuliko huko kwanza samaki hawapatikani kama zamani sema kule mboga,matunda na samaki uhakika
 
Daaah vijana mnawaza kula tunda tu hahaha, DASLAMA ni hatari mkuu sidhani kama ukerewe inaweza ukawa na wanawake kama sinza tu Ambayo ni kijisehemu cha Dar.
Mkuu tembea utaona huko Bezi kuna pisi kali sana na beo cheap
 
Wanasema tembea uone
Ilikuwa mwaka 2017, nikifika visiwani Ukerewe nikiwa na project ya UNDP, aisee nilijifunza na kuona maajabu ambayo sikuyatarajia

Ukerewe ni Moja ya wilaya za
mkoa wa Mwanza
Ukewe ni kisiwa ndani kisiwa hicho Kuna visiwa vingine zaidi ya 20

Nilitembelea baadhi ya visiwa kama Goziba, Ghana, Siza, Ukara, Bwiro n.k

Niligundua kule watu wanaishi na watu wanatumia pesa na pesa ipo ya kutosha

Shughuli kuu kule ni uvuvi na kula bata

Starehe zote zipo,

Hakuna doria, yaani serikali hawafiki, hakuna wizi, ujambazi wala tatizo lolote,

Kule ni amani na bata tu

Kuna matajiri wanapiga pesa nyingi, unakuta mtu anamiliki mitimbwi zaidi ya 100 amewapa vijana ni kuingia ziwani na kutoka na samaki kupima na kula bata

Ukiambiwa warembo, hawa ndo wamejaa huko yani utake Mganda , Mnyarwanda, kabila zote zipo
Ni wewe tu kujilia unachotaka

Beer zinanywewa full time

Asubuhi ni ugali na sato, kule chakula huulizi ukikuta msosi unakula tu

Kingine kwenye hivo visiwa mtu akifa Huwa hawaziki wanadhani kwamba kisiwa kitajaa makaburi wakose pa kuishi badala yake huwa wanatupa mwili ziwani na bila shaka kuwa chakula cha mamba na Sangara

Visiwani hasa huko Ukara watu hufuga mamba, na mamba anaheshimika na ni mifugo ya watu

Chatu, ni marufuku kumuua Chatu
Wanaamini Chatu hana madhara na Kwa kuwa hana sumu na ni kiumbe mzuri, kwaiyo visiwani utapishana na Chatu ila hana shida yoyote
Chatu wa visiwani hula sana mbwa na kondoo

Biashara zipo zote
Biashara zinakesha, kule visiwani Kuna maduka makubwa tu

Nawaasa vijana maisha sio mpaka Dar es salaam ukipeleka bidhaa zako visiwani Ukerewe utapata ukwasi usio wa kawaida

Fika Ukerewe visiwani uone maajabu
Popote kwenye uzinzi uliokithiri hakufai.
Ni pango la umasikini
 
Kuna kisiwa kimoja ukitoka Ukerewe kupitia Igombe kinaitwa Bezi 😃 kupata mwanamke wa buku jero ni kitu rahisi! Usiku ni full Sodoma na Gomora
Duu! Huko kweli Ni Zaidi ya Uwanja wa Fisi(Manzese)
 
Huwa natamani kufika Namagondo na sehemu zingine zilizorejelewa katika kazi nyingi za Euphrase Kezilahabi. Dhana ya uduara, ukatikati na ukitovu pamoja na maji zinabeba mhimili mkuu wa falsafa ya Kezilahabi kuhusu maisha; na zote zinatokana na mazingira ya kisiwani Ukerewe alikokulia.

Siku moja nitafanya utalii wa ndani huko!

View attachment 3270970
Hili cover tu limenivutia, natamani nikipitishie macho, naweza kukipata wapi hiki? Nilikisikia zamani sana nilipokuwa mtoto, dada zangu wakisimuliana.
 
Story zako Zina kahawa nyingi.


Hiki ni kisiwa cha Goziba kipo mkoa wa Kagera. Hao watafiti wako wa UNDP nina mashaka nao, askari wa hapo wanatoka Kagera sio mwanza kwa maana ya ukerewe. Nina mashaka na taarifs yako kuwa hakuna doria kama askari wapo.

View attachment 3270920

View attachment 3270921

Punguza uongo ktk maandiko yako mengi unayoandika. Yana uongo mwingi usio na maana
Nakuunga mkono

Nabuyongo Island, also known as Goziba, is a small island in Lake Victoria, Kagera Region, Tanzania.
 
Hakuna sehemu isiyokuwa na uchawi
Weee ! Ukerewe wamezidi! Hawa labda ukiwashindanisha na Sumbawanga wanawezakuwa Ngoma droo au wakawa namba moja!
Wee achana na watu wameunganisha uchawi na roho mbaya!.
 
Wapo Wajita na Wakerewe ni wazuri mno
Acha uongo hakuna pisi kali ya kijita au kikerewe labda wakuja.
Vipi mambo ya kutegeruka yapo kama kawaida?
Sema ukipata kidemu cha kikerewe halisi wanajua kukatika nilikwendaga huko nikakapata kamoja aisee nilijikuta naghairi kuondoka na Meli (Nyahunge)
ya asubuhi.
Ila ukerewe jau sana pamekaa kishamba sana nilishakaa pale monarch hotel.
Jioni ukikaa kwenye beach ya hotelini unashuhudia watu wakioga ziwani
 
Mara ya kwanza kununua pisi huko sikuulizwa swala la kondom na huyo demu.
Kuna ngoma sana kule madem wengi wa Mwanza mjini wakikosa soko kutokana na kuchoka kutokana na kushambuliwa sana na HIV wanahamia kule sasa jamaa wanawarukia utazani Hawana akili nzuri.
 
Acha uongo hakuna pisi kali ya kijita au kikerewe labda wakuja.
Vipi mambo ya kutegeruka yapo kama kawaida?
Sema ukipata kidemu cha kikerewe halisi wanajua kukatika nilikwendaga huko nikakapata kamoja aisee nilijikuta naghairi kuondoka na Meli (Nyahunge)
ya asubuhi.
Ila ukerewe jau sana pamekaa kishamba sana nilishakaa pale monarch hotel.
Jioni ukikaa kwenye beach ya hotelini unashuhudia watu wakioga ziwani
🤣😅🤣 Wakitegeruka ndo bata na fujo mjini nansio
 
Back
Top Bottom