Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

Mtoe mama Angu hapo......
Yeye hakukaa Nyumbani akimtegea mzee, walifanya kazi kwa pamoja,Walinilea kwa pamoja.
Mama angu hajawahi fikiri kwamba kumfariji mzee ni jukumu pekee kama unavyodhani wewe.
Mbali na yote hakuwahi fikiri, kama talaka ndio njia ya kumtoa kimaisha.

Eti " Ilitakiwa nisikujibu" Unadhani we ni nani? Unadhani ingeleta utofauti ukijibu au usipojibu?
"Feminist" Biaaatch
 
1.Navyoona mamlaka za ufaransa zita chunguza ulipaji kodi wake tuu maana yeye ni muajiriwa and analipwa mshahara ,

Cc. case ya samweli etto v. Spain authorities (hii ipo mtandaoni ,google )
Hata ya neymar


2.Validit of working permit ya hakimi....
 
Nahisi hata hyo scandal kaipanga mwanamke.,..Kuna mengi behind the scene
 
hahaah et serikali ikuulize unatumia bia ngapi kwa siku,unakula supu ya shngapi,

et kwann umenunua harrier badala ya ist
Hahahahaha....hapa sasa watataka walete hadi CAG kukagua Kila kitu unachotumia
 
Mnaokula mtelezo kwa migongo ya mabint zenu kuolewa kwa wa kishua mmeanza kujitokeza mmoja mmoja...hakika bomu alilopiga Hakimu ni zaid ya tear gas
 
Pole dada... Naona umeumia kwa mwenzako kuambulia patupu...

Jamaa ana wanasheria na wala hakukurupuka.... Na wanaume wote tupo tayari kumtetea....
Kumbe ni mdada[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

In short Hakimi katusanua. Kama jlivyosema jamaa hajakurupuka, mnapofikiri ninyi, yy kesha fikiri hata kabla hamjayajua haya mambo. Maana sisi tumeyajua jana tu, yy anaelewa hadi mwisho wa huu mchezo score anaiona ni ngap ngap.

Chungu lakini dawa. Watulie iwaingie
 
We ndio hujaelewa kabisa na huu uzi ulitakiwa ufute yaani kwa mfano mimi ni mfanyakazi nikamnunulia mama yangu gari ya kutembelea na nikamjengea nyumba kwa utashi wangu mwenyewe hapo umfuate mama umuulize kapata wapi vitu wakati hana kazi ndio liwe kosa.
 
Umeniwahi kuandika hiki....
 
You wish 😂😂 mbona umekuwa bias sana ndugu kwamba jamaa hana mwanasheria mzuri? Na unadhani mpaka aliamua kufanya hayo maamuzi hakuwa amefikiria possibilities kama hizo?
 
Nikijaribu kukujibu hiki ulichoandika,nitakuwa nakuonea sana. Ngoja nikuache mpaka hapo utakapoelewa kwa jitihada zako binafsi.
 
Wa Morocco ni wahuni
Ni matokeo ya kumsikoliza mzazi na kufuata asemacho. Trust me, wazazi huwa wanahisia na wapenzi wetu. Ndio maana unaweza kupelekq mtu home, day 1 tu mzazi atakuambia huyu ndiye au siye. Kuna hisia flan mzazi huwa anayo.

Mama ake CR7 hataki kabisa mwanae aoane na mchumba wake. Anataka wabahi hivyohivyo. Mzazi kuna hisiq anayo juu ya mchjmba wa CR7
 
Umeandika kama mtu mwenye akili timamu, nashawika kuamini kua unayo.

Sikufundishi ila akili timamu usipoichannel sawasawa hutakua na tofauti na mwehu alievalia suti na kupendeza. Sijasema wewe ni mwehu, wala sijasema umechannel akili yako vibaya.

Ila umechukua swala moja tu la mimi kua na mtoto wakike umeliweka hapo linashindana na mtazamo wako juu ya divorce ya couple ambayo naamimi unafahamu a tiny fraction of it's life, pengine umeisikia ilipotangazwa kushinda kesi. Kupitia hicho kipande kidogo cha maisha yao ya talaka uliyoyafahamu tayari umeshamuona dada wa watu tapeli, mdhulumati na mwenye tabia ya kipumbavu, kweli..!!?

Ivi ni kweli we unaamini unaakili kushinda wanasheria wake waliofile kesi mahakamani, kwamba unaamini wamedai mgawanyo wa mali zote za huyo kijana? Unadhani sheria ingewaruhu kufungua kesi kwa kudai mgawanyo wa mali zote?
Mali zinazodaiwa kwenye talaka ni mali zilizochumwa kipindi cha matrimony. Wanasheria wanalijua hilo, you should too.

Hatahivyo mimi sina upande kwenye hili. Ila pia sina upumbavu wa kumlipukia binti wa watu kua tapeli, gold digger, au kwamba aliolewa kwa tamaa. Ninachokijua ni kwamba sijui undani wa mahusiano yao ila sheria za talaka zinasema mkitalakiana, mali zote zilizopatikana kipindi cha ndoa ni halali ya wote. Kujua kwangu kumeishia hapo.

Nyinyi mnaojua kua huyo dada ni tapeli, mpumbavu, alikodolea mali from the beginning, mnayo ruksa kuendelea, mimi sina ninachojua zaidi ya niliyoandika.
 
Mbona makasirko sana....ulikuwa ushmapangia mission huyo mwenzetu ila kwa hiili inaonekana anaenda kubadili umiliki...sasa wew umeishia ku wa bully tu wanaume wa tz bila sababu
 
Nikijaribu kukujibu hiki ulichoandika,nitakuwa nakuonea sana. Ngoja nikuache mpaka hapo utakapoelewa kwa jitihada zako binafsi.
Bora usijibu ukae hivyo hvyo huna ujualo na next of kin kajiandika yeye hakimi kwenye Mali zote alizompa mama yako hivi sheria ni rahisi hvyo.
 
Hakuna huo upumbafu wa eti mali ya familia. Bibie una akili kweli wewe. Hakimi works, he takes care of the family. Mwisho hapo. Where the rest goes sio biashara ya mkewe wala ng’ombe yoyote wa aina yako. He can choose to give hela zake to anyone he wants. And once he does that haziwezi kugawanywa during divorce settlements. Mbona mnakuwa wapumbavu sana nyinyi mangumbaru?
 
Mnaokula mtelezo kwa migongo ya mabint zenu kuolewa kwa wa kishua mmeanza kujitokeza mmoja mmoja...hakika bomu alilopiga Hakimu ni zaid ya tear gas
Laiti ungelinifahamu...
Ila asante nashukuru. Kuna mtu mwenye maneno yenye mantiki ameniquote, nitaendelea nae huyo ila wewe kwako nitaishia hapa, wewe unaweza kuendelea tu kwa kina utakacho, uhuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…