Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

Kiranga, I have a surprise to you, Up to Five minutes ago I was seeing eye to eye with you, but I came accross the following subsection of the law detailing how the situation of not renewing the contract of CAG could be handled.

Let us reason together

I herewith attach the subsection.

View attachment 1253568

NI DHAHIRI KWA KIPENGELE HIKI CHA SHERIA MAGUFULI AMEVUNJA SHERIA NA UTEUZI WAKE WA CAG MPYA NI BATILI
So, what is the point of a five year contract?
 
Mtoa mada mimi binafsi nimekuelewa sana,sababu umeandika uzi wako kieleimu. Hivi sasa ndio uchambuzi unatakiwa uwe.

Wengi waliokuwa dhidi yako katika uzi huu,ni aidha hawajasoma uzi mpaka mwisho au wana uwezo mdogo sana wa kuhoji mambo.

Ila nasema hivi "Mkiona viongozi wenu wanavunja sheria au utaratibu basi ujue kabisa raia nao wana tabia kama za viongozi wao"
 
Acha ujinga, asubuhi hii chukua hata simu mpigie mama/baba yako uwaambie unawapenda na uwatakie siku njema utabarikiwa zaidi, kwa maana siajabu hata mtoto wake haumizwi na kumpigania hivyo huyo Asadi kama wewe, labda hata washakubali matokeo na kumove on wewe mwenzangu na mimi bado unakosa usingizi, so sad!
Hivi vigezo vyako havitazuia watu kujadili chochote juu ya uteuzi wa kulinda wizi kwa awamu ys Tano
 
Maoni ya Pofesa

1572854557582.png
 
Bunge lishamkataa kufanya kazi naye umesahau?
Katiba ndivyo inavyosema kuwa bunge ndo litampima? Au ndilo litakalomchunguza?Mbona unajitoa ufahamu? Zungumza kwa mujibu wa Sheria sio unatoa maoni yako. Tumeweka Sheria wenyewe tunatakiwa kuzifuata kama vipi tukae chini tubadilishe vifungu vya katiba.
 
So, what is the point of a five year contract?

May be to give a CAG a chance to quitt out of his good will if he so wishes.

But again, unlike the "eligibility" thing which I absolutely agree with you, but this new subsection is absolutely a game changer on how we viewed this thing earlier

Img-1572853035577.jpg
 
Mleta mada unahangaika na neno shall unasahau neno eligible !! Kuteuliwa Soo automatic kunategemea eligiblity pia .Chukulia CAG labda ni kibaka kwa hiyo.umuongezee muda tu kwa ku base neno shall !!!
Bila ku consider eligible?

Pili hata Kama angepewa ingeleta usumbufu usio na sababu.Katiba inasema umteue kwa miaka mitano na anatakiwa kustaafu akiwa na miaka 60 ina maana Raisi angempa U CAG angevunja Katiba sababu anampaje mtu miaka mitano anayejua kabisa miaka 60 anatakiwa kuondoka .Akimpa mitano kavvunja Katina kampa mtu ambaye hastahili sababu ya umri na katiba haisemi apewe u CAG kwa miaka miwili.Raisi angempa angekuwa kavunja katiba

Umri wa CAG Assad kuteuliwa kikatiba ulikuwa umefikia ukomo
CAG alizaliwa mwaka gani Mamy?
 
Katiba ndivyo inavyosema kuwa bunge ndo litampima? Au ndilo litakalomchunguza?Mbona unajitoa ufahamu? Zungumza kwa mujibu wa Sheria sio unatoa maoni yako. Tumeweka Sheria wenyewe tunatakiwa kuzifuata kama vipi tukae chini tubadilishe vifungu vya katiba.
Anatakiwa kufanya kazi na bunge, bunge lìlikataa kufanya nae kazi sababu ya misbehaviors..
MISBEHAVIOURS ipo ktk kifungu cha CAG removal from office..
 
Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi!

Mbaya zaidi, hawatoi ufafanuzi wa matumizi ya neno SHALL kwa mujibu wa sheria zetu! Nimelazimika kuanzisha uzi huu ili kuondoa mapungufu yote hayo, na ni matumaini yangu kwamba uzi huu hamtaunganisha na nyuzi nyingine ili watu wapate kuelewa suala hili kwa ufasaha!

Tuendelee.

Bila kujaza vifungu vingi, Katiba yetu Ibara ya 144 (1) inasema wazi kwamba:-
Kwamba, CAG ATALAZIMIKA kuachia ofisi akifikisha miaka 60 au umri mwingine wowote utakaotajwa na sheria zilizotengenezwa na Bunge!

SWALI 1: Je, Profesa Mussa Assad amefikisha miaka 60?! Jibu HAPANA kwa sababu kumbukumbu zinaonesha amezaliwa Oktoba 06, 1961... kwa maana nyingine, atafikisha miaka 60 Oktoba 5, 2021.

SWALI 2: Je, Bunge limetaja huo UMRI MWINGINE WOWOTE?!

Jibu linapatikana kwenye Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma, yaani Public Audit Act ya mwaka 2008, Ibara ya 6(2)(a) inayosema:-

Kumbe, Bunge likatunga sheria kwamba badala ya miaka 60, hatimae CAG ATALAZIMIKA kuachia ofisi akifikisha miaka 65. Tumeona Prof Assad ndo kwanza ana miaka 58.

SWALI 3: Nini hutokea CAG akimaliza miaka 5 ya kwanza?!

Hapa tena jibu linapatikana kutoka Public Audit Act 2008 Ibara ya 6 (1) inayosema:-Hapo kwenye neno SHALL ndipo panapozua mgogoro!!

Watetezi wa uamuzi wa Rais wanasema neno SHALL sio shuruti! Kwa bahati mbaya sana, tafsiri yao wanaitoa kichwani na sio kwa mujibu wa sheria zetu!

Kwa mujibu wa sheria zetu, na kwa kuangalia Interpretation of Laws Act Ibara ya 53 (1&2) inasema kwamba:-
Kumbe, kwa mujibu wa sheria zetu, pasipo na SHURUTI hutumika neno MAY lakini linapotumika neno SHALL, hiyo ni SHURUTI!

Kwa maana nyingine, Public Audit Act inaposema "...and shall be eligible for renewal for one term only. Hapo suala la renewal ni SHURUTI kama ilivyosema Interpretation of Laws Act 53 (2).

Itakuwa sio SHURUTI either kama ameshafikisha miaka 65, au kama ambavyo 2008 Public Audit Act Ibara ya 6(2)(a) inavyosema kwamba:-Kwa maana nyingine, kwavile Prof Assad hajafikisha miaka 65, hapo tafsiri yake ni kwamba AMETUMBULIWA na sio kwamba muda wake umeisha!!

Na CAG atatumbuliwa "...Unless the question of removal becomes the subject of investigation in terms of Article 144(3) of the Constitution."

Hiyo Ibara ya 144(3) ya Katiba yetu inasemaje? Jibu ni hili:-If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows:Kama tulivyoona hapo juu, CAG atalazimika kuachia ofisi endapo atakuwa amefikisha miaka 65, kinyume chake anaweza KUTUMBULIWA kabla ya huo umri ikiwa ametenda jambo linalohitaji investigation.

Hivyo basi, ni ama Rais atengue uamuzi wake wa awali wa kuteua CAG mwingine, au tuone akiunda Tume ya Kijaji ya Kumchunguza CAG kwa kosa analojua yeye na timu yake!!

CAG akiongezewa miaka mingine 5, ataimaliza akiwa na umri wa miaka 63... umri halali kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma ya mwaka 2008!!
[/QUOTE]
CAG mpya kazi yake ni kuficha wizi wote wa utawala wa awamu ya tano siyo kufanya kazi
 
Katiba ndivyo inavyosema kuwa bunge ndo litampima? Au ndilo litakalomchunguza?Mbona unajitoa ufahamu? Zungumza kwa mujibu wa Sheria sio unatoa maoni yako. Tumeweka Sheria wenyewe tunatakiwa kuzifuata kama vipi tukae chini tubadilishe vifungu vya katiba.
Utawala huu wa sasa haufuati sheria wala katiba wao wanajiendea wajuavyo wenyewe
 
Mkuu mleta mada neno eligible kaliacha makusudi.Katiba inasema CAG apewe miaka mitano.Lakini lazima astaafu akiwa na miaka 60.profesa Assad Ana miaka 58 ukimpa mitano na huku unajua anastaafu na miaka 60 ina maana umempa mtu U CAG ambaye sio Eligible kwa umri.wake sababu atatumikia miaka Miwili tu na katiba haitoi mamlaka ya mteuzi kumpa miaka Miwili.Kikatiba profesa Asad kafikia ukikongwe wa kutoteulika Kama CAG sababu ya eligiblity ya umri

CAG Assad is disqualified by age as per professor Issa Shivji statement
Kwa nini asingemuacha mpaka 2021 atakapotimiza miaka 60? Kwani ana haraka gani? Subirini mtaona mauza uza ya CAG huyu
 
Hivi tukiacha mzozo wa shall, may na eligibility, uteuzi wa Kichere na Utenguzi wa Assad umefanyika kwa faida ya walio wengi au kwa faida ya rais?
 
Kwa nini asingemuacha mpaka 2021 atakapotimiza miaka 60? Kwani ana haraka gani? Subirini mtaona mauza uza ya CAG huyu
Katiba hairuhusu kuteua na kumpa chini ya miaka mitano.Katiba inataka lakzima iwe miaka mitano .Asingempa miaka miwili katiba hairuhusu
 
Utawala huu wanajifanya viburi lakini wamesahau kuwa mwenye kinga ya kutoshitakiwa ni mmoja pekee lakini wengine pindi magufuli akiwa chato kijijini baada ya kustaafu watakuwa mahakamani na jela kujibu mashitaka na tuhuma zao, waacheni wale bata mda huu lakini huko mbele watapata Tabu sana pindi utawala mwingine ukiingia madarakani.
 
Back
Top Bottom