So, what is the point of a five year contract?Kiranga, I have a surprise to you, Up to Five minutes ago I was seeing eye to eye with you, but I came accross the following subsection of the law detailing how the situation of not renewing the contract of CAG could be handled.
Let us reason together
I herewith attach the subsection.
View attachment 1253568
NI DHAHIRI KWA KIPENGELE HIKI CHA SHERIA MAGUFULI AMEVUNJA SHERIA NA UTEUZI WAKE WA CAG MPYA NI BATILI
Hivi vigezo vyako havitazuia watu kujadili chochote juu ya uteuzi wa kulinda wizi kwa awamu ys TanoAcha ujinga, asubuhi hii chukua hata simu mpigie mama/baba yako uwaambie unawapenda na uwatakie siku njema utabarikiwa zaidi, kwa maana siajabu hata mtoto wake haumizwi na kumpigania hivyo huyo Asadi kama wewe, labda hata washakubali matokeo na kumove on wewe mwenzangu na mimi bado unakosa usingizi, so sad!
Katiba ndivyo inavyosema kuwa bunge ndo litampima? Au ndilo litakalomchunguza?Mbona unajitoa ufahamu? Zungumza kwa mujibu wa Sheria sio unatoa maoni yako. Tumeweka Sheria wenyewe tunatakiwa kuzifuata kama vipi tukae chini tubadilishe vifungu vya katiba.Bunge lishamkataa kufanya kazi naye umesahau?
So, what is the point of a five year contract?
CAG alizaliwa mwaka gani Mamy?Mleta mada unahangaika na neno shall unasahau neno eligible !! Kuteuliwa Soo automatic kunategemea eligiblity pia .Chukulia CAG labda ni kibaka kwa hiyo.umuongezee muda tu kwa ku base neno shall !!!
Bila ku consider eligible?
Pili hata Kama angepewa ingeleta usumbufu usio na sababu.Katiba inasema umteue kwa miaka mitano na anatakiwa kustaafu akiwa na miaka 60 ina maana Raisi angempa U CAG angevunja Katiba sababu anampaje mtu miaka mitano anayejua kabisa miaka 60 anatakiwa kuondoka .Akimpa mitano kavvunja Katina kampa mtu ambaye hastahili sababu ya umri na katiba haisemi apewe u CAG kwa miaka miwili.Raisi angempa angekuwa kavunja katiba
Umri wa CAG Assad kuteuliwa kikatiba ulikuwa umefikia ukomo
Anatakiwa kufanya kazi na bunge, bunge lìlikataa kufanya nae kazi sababu ya misbehaviors..Katiba ndivyo inavyosema kuwa bunge ndo litampima? Au ndilo litakalomchunguza?Mbona unajitoa ufahamu? Zungumza kwa mujibu wa Sheria sio unatoa maoni yako. Tumeweka Sheria wenyewe tunatakiwa kuzifuata kama vipi tukae chini tubadilishe vifungu vya katiba.
[/QUOTE]Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi!
Mbaya zaidi, hawatoi ufafanuzi wa matumizi ya neno SHALL kwa mujibu wa sheria zetu! Nimelazimika kuanzisha uzi huu ili kuondoa mapungufu yote hayo, na ni matumaini yangu kwamba uzi huu hamtaunganisha na nyuzi nyingine ili watu wapate kuelewa suala hili kwa ufasaha!
Tuendelee.
Bila kujaza vifungu vingi, Katiba yetu Ibara ya 144 (1) inasema wazi kwamba:-
Kwamba, CAG ATALAZIMIKA kuachia ofisi akifikisha miaka 60 au umri mwingine wowote utakaotajwa na sheria zilizotengenezwa na Bunge!
SWALI 1: Je, Profesa Mussa Assad amefikisha miaka 60?! Jibu HAPANA kwa sababu kumbukumbu zinaonesha amezaliwa Oktoba 06, 1961... kwa maana nyingine, atafikisha miaka 60 Oktoba 5, 2021.
SWALI 2: Je, Bunge limetaja huo UMRI MWINGINE WOWOTE?!
Jibu linapatikana kwenye Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma, yaani Public Audit Act ya mwaka 2008, Ibara ya 6(2)(a) inayosema:-
Kumbe, Bunge likatunga sheria kwamba badala ya miaka 60, hatimae CAG ATALAZIMIKA kuachia ofisi akifikisha miaka 65. Tumeona Prof Assad ndo kwanza ana miaka 58.
SWALI 3: Nini hutokea CAG akimaliza miaka 5 ya kwanza?!
Hapa tena jibu linapatikana kutoka Public Audit Act 2008 Ibara ya 6 (1) inayosema:-Hapo kwenye neno SHALL ndipo panapozua mgogoro!!
Watetezi wa uamuzi wa Rais wanasema neno SHALL sio shuruti! Kwa bahati mbaya sana, tafsiri yao wanaitoa kichwani na sio kwa mujibu wa sheria zetu!
Kwa mujibu wa sheria zetu, na kwa kuangalia Interpretation of Laws Act Ibara ya 53 (1&2) inasema kwamba:-
Kumbe, kwa mujibu wa sheria zetu, pasipo na SHURUTI hutumika neno MAY lakini linapotumika neno SHALL, hiyo ni SHURUTI!
Kwa maana nyingine, Public Audit Act inaposema "...and shall be eligible for renewal for one term only. Hapo suala la renewal ni SHURUTI kama ilivyosema Interpretation of Laws Act 53 (2).
Itakuwa sio SHURUTI either kama ameshafikisha miaka 65, au kama ambavyo 2008 Public Audit Act Ibara ya 6(2)(a) inavyosema kwamba:-Kwa maana nyingine, kwavile Prof Assad hajafikisha miaka 65, hapo tafsiri yake ni kwamba AMETUMBULIWA na sio kwamba muda wake umeisha!!
Na CAG atatumbuliwa "...Unless the question of removal becomes the subject of investigation in terms of Article 144(3) of the Constitution."
Hiyo Ibara ya 144(3) ya Katiba yetu inasemaje? Jibu ni hili:-If the President considers that the question of the removal of the Controller and Auditor-General from office under the provisions of this Article needs to be investigated, then the procedure shall be as follows:Kama tulivyoona hapo juu, CAG atalazimika kuachia ofisi endapo atakuwa amefikisha miaka 65, kinyume chake anaweza KUTUMBULIWA kabla ya huo umri ikiwa ametenda jambo linalohitaji investigation.
Hivyo basi, ni ama Rais atengue uamuzi wake wa awali wa kuteua CAG mwingine, au tuone akiunda Tume ya Kijaji ya Kumchunguza CAG kwa kosa analojua yeye na timu yake!!
CAG akiongezewa miaka mingine 5, ataimaliza akiwa na umri wa miaka 63... umri halali kwa mujibu wa Sheria ya Ukaguzi wa Hesabu za Umma ya mwaka 2008!!
Utawala huu wa sasa haufuati sheria wala katiba wao wanajiendea wajuavyo wenyeweKatiba ndivyo inavyosema kuwa bunge ndo litampima? Au ndilo litakalomchunguza?Mbona unajitoa ufahamu? Zungumza kwa mujibu wa Sheria sio unatoa maoni yako. Tumeweka Sheria wenyewe tunatakiwa kuzifuata kama vipi tukae chini tubadilishe vifungu vya katiba.
Mzee ana kiburi sana huyu. Atafute kazi nýngine, oooh! Bado hajafìa 60! Apewe ubalozi libya!
Miaka 1961 ana miaka 58CAG alizaliwa mwaka gani Mamy?
Uchaguzi wa mwenyekiti chadema kwenye kufuata katib na sheria lini?Utawala huu wa sasa haufuati sheria wala katiba wao wanajiendea wajuavyo wenyewe
...can be removed for misbehaviours...Miaka 1961 ana miaka 58
Kwa nini asingemuacha mpaka 2021 atakapotimiza miaka 60? Kwani ana haraka gani? Subirini mtaona mauza uza ya CAG huyuMkuu mleta mada neno eligible kaliacha makusudi.Katiba inasema CAG apewe miaka mitano.Lakini lazima astaafu akiwa na miaka 60.profesa Assad Ana miaka 58 ukimpa mitano na huku unajua anastaafu na miaka 60 ina maana umempa mtu U CAG ambaye sio Eligible kwa umri.wake sababu atatumikia miaka Miwili tu na katiba haitoi mamlaka ya mteuzi kumpa miaka Miwili.Kikatiba profesa Asad kafikia ukikongwe wa kutoteulika Kama CAG sababu ya eligiblity ya umri
CAG Assad is disqualified by age as per professor Issa Shivji statement
Namsubiri mwalimu wa sheria Tundu Antipus Lissu anyooshe haya mambo sawa sawa zaidi yeye ndio mwanasheria mkuu wa nchi.
Katiba hairuhusu kuteua na kumpa chini ya miaka mitano.Katiba inataka lakzima iwe miaka mitano .Asingempa miaka miwili katiba hairuhusuKwa nini asingemuacha mpaka 2021 atakapotimiza miaka 60? Kwani ana haraka gani? Subirini mtaona mauza uza ya CAG huyu