Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Uko sawa mkuu, katiba haijavunjwa ni msimamo wake ndiyo umemponza.Assad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.
Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.
Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.
Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.
Definitely hana hiyo habari......kaangalia tuu Birth day ya Assad na kufungua uzi chap!Unajua kuwa CAG ana kaa ofisi kwa vipindi visivyozidi viwili vya miaka mitano mitano? View attachment 1252762
Kweli kabisa. Aliteuliwa Novemba, 2014 na amemaliza kipindi chake Novemba, 2019. Miaka mitano.Muda wake umeisha acheni uchochezi
Tumtakie CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad kustaafu kwema na amestaafu kwa heshima na kwa mujibu wa sheria na sio kwa hoja zozote za vitatange na vibirifitina, jina lake litaandikwa kwenye kile kitabu cha mashujaa wa kweli wa taifa wetu kwasababu ameacha Legacy.
Karibu CAG Mpya, Charles Kicheere, tunakutakia kazi njema.
Paskali
Hij ndio point! Kwa nn hajaongezewa? Na sio kuvunjwa katibaAssad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.
Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.
Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.
Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.
Mkuu pale inaposema and shall be eligible for renewal of on term only ina maana gani hasa hilo neno shallAssad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.
Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.
Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.
Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.
HakijazingatiwaVipi kuhusu kipengere cha mihula
Hilo ndo la msingi, katiba haijatumia maneno kama vile may/can/willMkuu pale inaposema and shall be eligible for renewal of on term only ina maana gani hasa hilo neno shall
"Shall"Kishamaliza miaka yake mitano. Boss kaona haina haja ya kuongezea mhula mwingine. Hakuna katiba iliyovunjwa.
Nimependa wosia wako naamini atasoma post hii na kuuzingatia ushauri huuPongezi kubwa kwa Prof. Assad kwa utumishi uliotukuka, ijapokuwa weledi na maadili yako ulikuwa mwiba kwa wengine. Kwa hakika historia yako imeandikwa kwa wino wa dhahabu, ambapo si ajabu ukaaminiwa na IMF ama WB na kukabidhiwa nafasi mpya unayostahili.
Aidha, pongezi pia kwa CAG mteule, mtangulize Mola mbele kwa nafasi hii mpya ulioaminiwa na kukabidhiwa kwa maslahi mapana ya uzalendo na taifa letu, hilo ni kama zigo la misumari endapo utaweka maadili na weledi kando ili upate kufuraisha watu fulani, haswa kwa yale yenye makandokando mengi.
Fixed term of five years only! Ndiyo msumali ulipo hiyo sehemu ya pili ya sentensi hiyo ni discretion ya mwenye mamlaka ya uteuzi. Hapo hana jinsi aende akafanye shughuli nyingine na kesho CAG mpya anaapa!Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.
Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252957
View attachment 1252749
Lugha ya kisheria inakupiga chenga mkuu!Unajua kuwa CAG ana kaa ofisi kwa vipindi visivyozidi viwili vya miaka mitano mitano? View attachment 1252762
Aliyataka mwenyewe! Akaombe msaada kwa Zitto!Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.
Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252957
View attachment 1252749
Shall be eligible maana yake ni kwamba, kwanza kabisa neno "shall" ni neno linaloonesha ulazima, kwamba jambo hili halina mjadala, si ombi, ni amri.Mkuu pale inaposema and shall be eligible for renewal of on term only ina maana gani hasa hilo neno shall
Mzee umeniwahi nilitaka kuandika hivi hivi kweli kabisaaaaaaaTumtakie CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad kustaafu kwema na amestaafu kwa heshima na kwa mujibu wa sheria na sio kwa hoja zozote za vitatange na vibirifitina, jina lake litaandikwa kwenye kile kitabu cha mashujaa wa kweli wa taifa wetu kwasababu ameacha Legacy.
Karibu CAG Mpya, Charles Kicheere, tunakutakia kazi njema.
Paskali
Hapo ulipoweka only umejichanganya, haiko hivyoFixed term of five years only! Ndiyo msumali ulipo hiyo sehemu ya pili ya sentensi hiyo ni discretion ya mwenye mamlaka ya uteuzi. Hapo hana jinsi aende akafanye shughuli nyingine na kesho CAG mpya anaapa!