Magufuli hajavunja kifungu chochote cha katiba.
Wanachoshindwa kuelewa watu wengi ni gist ya Ibara ya 144, ambayo lengo lake ni kuweka utaratibu wa kumuondoa CAG ndani ya muda wake alioteuliwa wa miaka mitano.
Katiba linapokuja swal la tenure of office of CAG ipo silent.
Office of CAG ni zao la sheria ya Bunge ambayo ni THE PUBLIC AUDIT ACT,2008, hii ndio imeestablish office of CAG baada ya Constitution kuitambua, hivyo basi kwakua kuna parent ACT inayo establish hiyo office linapokuja swala la tenure ya office of CAG lazima turely na provisions za hiyo parent act.
Sasa parent act kwa office ya CAG imeset time limit ya five years na renewal of another one term only , hivyo kama akifaninkiwa kuwa na term nyingine hapaswi kuzidi ten years,
Kama kusudio la sheria ni kwa CAG Kuserve kwa muda wa miaka kumi ilishindikana nini kusema hivyo katika hicho kipengele. Ili kuondoa utata sheria imgesema wazi kabisa kuwa tenure yake ni two terms of five years each,lkini sheria haijasema hivyo, kilichopo ni fixed period of five years .
Wnachoshn dwa kuelewa hapa hawa watu ni kuwa CAG was not removed from office, his tenure expired thus he was replaced.
Linapokuja swala la replacement sasa huko Ibara ya 144 haihusiki, ila kamma ni rem oval basi section 7 y Public Audit Act, na Ibara ya 144 vinahusika.