Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Mitaani kuna mabinti wachache sana ambao wanafaa kuwa wife materials, ila wengi ni shida..nimeona ili mwanaume upate mke inabidi aidha umwombe Mungu sana, au ukubaliane na ujinga wa mwanamke Kama vile
1)Ukimtongoza leo kesho akikuomba hela, ingawa unajua hii ni red flag, we mpe kama unayo, kama huna unamwambia huna utampa siku ingine.
2) Akikutukana na kujibu majibu ya dharau wakati unamtongoza, jizime data endelea kupiga vocal.
3) Anasema anakuja sehemu fulani halafu haji, jifanye huja-mind, endelea piga vocal hadi uchoke mwenyewe
4)In a relationship ha-invest chochote hataki kuKupikia Mara moja moja, wewe jitoe Data, ndani ya ndoa utamtafutia mfanyakazi..
Nahisi waliooa, wengi wao walivumilia huu ujinga tangu mwanzo ndo maana walioa, ila kwa mm ambaye siwezagi vumilia ujinga wa mwanamke sababu ndio nilivyo, acha niendelee kununua wanaojiuza barabarani
1)Ukimtongoza leo kesho akikuomba hela, ingawa unajua hii ni red flag, we mpe kama unayo, kama huna unamwambia huna utampa siku ingine.
2) Akikutukana na kujibu majibu ya dharau wakati unamtongoza, jizime data endelea kupiga vocal.
3) Anasema anakuja sehemu fulani halafu haji, jifanye huja-mind, endelea piga vocal hadi uchoke mwenyewe
4)In a relationship ha-invest chochote hataki kuKupikia Mara moja moja, wewe jitoe Data, ndani ya ndoa utamtafutia mfanyakazi..
Nahisi waliooa, wengi wao walivumilia huu ujinga tangu mwanzo ndo maana walioa, ila kwa mm ambaye siwezagi vumilia ujinga wa mwanamke sababu ndio nilivyo, acha niendelee kununua wanaojiuza barabarani