CCM ni MAFIA kwenye MADARAKA.Siasa za kistaarabu utazipima vizuri zaidi kwenye uchaguzi wa mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
Ha ha haMwambie atoke ccm na kuja kugombea urais upinzani ndio utajua ccm inamuangusha au inamsimamisha.
Mbowe, Sugu na Peter Msigwa kwa sasa sielewi. Lugha zao dhidi ya utawala huu wa CCM ni utata mtupu.Huku kujikomba kumepitiliza sasa[emoji1787]
Huku kujikomba kumepitiliza sasa[emoji1787]
Mpumbavu kwenye ubora wake,mfumuko wa bei,maisha magumu,chakula hakipatikani yeye analeta ngonjera za uchawa ili apate nafasi ya kupambana na Tulia Ackson 2025,pathetic!Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amewaambia Wananchi wa Mbeya kuwa ana uwezo wa kumpigia simu Mh Rais Samia Suluhu Hassan hata usiku kumueleza changamoto za Wananchi wa Mbeya, kama aliweza kumpigia simu na aliweza kufika kwenye shoo yake usiku. Sasa atashindwa nini? na Mama msikivu.
Ameelezea hayo katika mkutano wa uzinduzi wa Mkoa katika viwanja vya Luanda Nzovwe
Pia Sugu amewaambia Wana Mbeya aliwa'miss' sana maana alisubiri misiba ndio wakutane kusalimia, lakini wanamshukuru Rais Samia kwa kuwaondolea kifungo hicho na kuruhusu mikutano.
View attachment 2529724
Shida yako ni baada ya kuona hawapigwi risasi, hawatekwi na hawauawi basi unaone kama upinzani umekwisha.Japo siasa sio uadui ila hii nchi upinzani ndio basi tena. Washapoteza muelekeo kabisaa.
Tafuta hela acha kulaumu serikaliMpumbavu kwenye ubora wake,mfumuko wa bei,maisha magumu,chakula hakipatikani yeye analeta ngonjera za uchawa ili apate nafasi ya kupambana na Tulia Ackson 2025,pathetic!
Watekaji mmefuraHizi akili gani,unawezaje kumshukuru oppressor,mtu anayesimamia mfumo kandamizi?Samia anaongoza chama kile kile kilichojaribu kumuua lisu,kilimfunga mwenyekiti wako,na kufanya mauaji Mengi,
Haingii akilini kumshukuru,hakuna fadhila amefanya,presha ya jumuhiya ya kimataifa,ndio imemlazimisha kuondoa zuio haramu la mikutano ya kisiasa,
Huwezi kusema hupendi samaki lakini unapenda mchuzi wa samaki,
Hii hari ya kumuona mtesi wako kama mtu mzuri,inaitwa "Stockholm syndrome""
Ccm ni majambazi,ogopa majitu yanayonufaika na huu mfumo,na mazambi yote ccm waliyofsnya,hutakuja kusikia mtu kama warioba anakemea,huu mfumo unamnufaisha yeye na familia yake.
Hawa watu inabidi watiwe presha ndani na nje ya nchi mpaka,waache ukandamizaji,nchi iwe huru.
Wewe uliyewaza hayo ndio wakala wa shetani.Shida yako ni baada ya kuona hawapigwi risasi, hawatekwi na hawauawi basi unaone kama upinzani umekwisha.
Lazima utakuwa ni wakala wa shetani wewe
Mtu anaona siasa zinenda kw aamani anachukia sasa anataka vita?Wewe uliyewaza hayo ndio wakala wa shetani.
Utamu wa asaliHawawezi kuongea siasa zao pasipo kumtaja Mh.Samia
We faller kweli kama ni haki kikatiba kwanini awamu ya dikteta uchwara walikua wanakamatwa?Wanashukuru kwa hisani
Kwa misingi ipi wakati ni haki yao kikatiba??
Chadema mna matatizo sana.
Hao wengi wao ni maadui wa huyu mama na wengi ni wafuasi wa marehemu kwahiyo usiumize kichwa.Mtu anaona siasa zinenda kw aamani anachukia sasa anataka vita?
Wengi wenu ni maadui wa huyu mama na wafuasi wa marehemu kwahiyo hamuwezi kuisumbua ChademaWatermelon upo slow sana.
Kumbuka bado CCM hiyo hiyo ipo madarakani, jifunze siasa punguza matumaini pasipo na matumaini yoyote. Uchaguzi 2024 na 2025 utawajua CCM ni nani.Hakika kwa mahali nchi ilipokuwa, na hapa ilipo leo, Rais Samia anastahili pongezi kubwa.
Tutampongeza na kumsifu Rais Samia kwa dhamira na matendo yake yanayozingatia haki na wajibu wa kikatiba.
Hapo kabla yake, Taifa lilipita kwenye laana kubwa. Samia amebadilisha mwenendo wa matendo ya laana.
Kama tuna Baba wa Taifa, huenda siku moja titakuwa na Mama wa haki, demokrasia na maendeleo.
Rais Samia Suluhu Hassan makamu wa Rais wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka 2015-2021.Rais Samia amefanya mengi mazuri tena kwenye mazingira magumu ambayo kwa kiasi kikubwa yanasababishwa na lile kundi la wanaopenda uharamia wa siasa zile za awamu ya 5.
Umemaliza watu humu hawajifunzi kabisa kuhusu CCM na rangi yake halisi.Siasa za kistaarabu utazipima vizuri zaidi kwenye uchaguzi wa mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025.