KERO Supervisors wa Wanafunzi wa Masters - UDSM ni kero, wanatukwamisha wengi, Uongozi wa Chuo uchukue hatua

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
SIJAKUELEWA,KWAMBA mwaka 2023 Kati ya wanafunzi 78 wahitimu ni wawili tu Masters?
 
Ni kweli kabisa na hii hali ipo vyuo vyote vikuu vya serikali.
 
UDSM kimekua chuo cha ajabu sana, kuna kipindi kiliitwa majalalani na hili halikupingwa, kuna kipindi wasomi wa hapo walitumika kwenye kamati mbalimbali za kiserikali mfano walikaja na matokeo kuwa kuchafuka kwa mto Mara imetoka na vinyesi vya wanyama (Ng'ombe). Udsm bado ina wafanyakazi ambao ni useless kama ma bursar kuna mimama haitumii akili ku reason kitu kidogo too many complications yanatakiwa yawe yameshafukuzwa kazi muda mrefu. UDSM imekua ya ki local na inasemekana ni full ndumba nangai pale mfano kugombania nafasi za uongozi, kwenda kula per diem au kwenda nje ya nchi this is shame to large extent. UDSM imekosa kuwa na hadhi kama ya zamani ya kuwa mihadhara yenye tija kwa nchi hakuna tena imegeuka kuwa chawa na soon it gonna change to bed burgs. UDSM postgraduate supervisors wengine wamekua Miungu watu ila kuna wengine ni wazuri sana. UDSM it must change, and changes must start Now.
Take home... 1. Fire all useless people. 2. They must adhere to good succession plan as they use to preach in class. 3. Maintain water availability all the time. 4. Treat postgraduates with manners and make sure they graduate on time.
 
Vyuo vingi kwa Sasa vina supervisor wawili ,kama mmoja hatoi ushirikiano komaa na anayetoa ushirikiano.Mambo kama haya yalikuwepo Mzumbe lakini kwa Sasa hakuna unapewa supervisor wawili ukishindwa kuhitimu kwa wakati shida inakuwa ni wewe.

shida ya UDSM wahadhiri Kwanza wengi wanapewa kazi maalum wako busy Sasa kama anakusimamia na Yuko peke yake lazima ukwame.


Ni kweli tunapenda Brand ukipata gamba lao Kuna sehemu kupenya itakusaidia lakini kulipata Sasa.Ada yao iko chini ila kupata gamba lao.
 
Lazima wote wawili watoe comments zao kwenye kazi hata kama ni kwa wakati tofauti.

Huwezi kugraduate kwa kusimamiwa na supervisor mmoja huu ni utaratibu wa TCU.
 
Sasa inakuwaje supervisor wote wawili ulopewa wawe wavivu.Nakumbuka Kuna Dr.mmoja yeye alivyoona mwenzake ni mvivu akaendelea kupiga kazi mwamba amekuja kustuka kazi inawasilishwa idarani na jamaa akagraduate kwa wakati .Naamini Two supervisors wote hawawezi kuwa wavivu aisee.Ukiwa serious watafanya kazi tu.

Lazima wote wawili watoe comments zao kwenye kazi hata kama ni kwa wakati tofauti.

Huwezi kugraduate kwa kusimamiwa na supervisor mmoja huu ni utaratibu wa
 
Sasa inakuwaje supervisor wote wawili ulopewa wawe wavivu.Nakumbuka Kuna Dr.mmoja yeye alivyoona mwenzake ni mvivu akaendelea kupiga kazi mwamba amekuja kustuka kazi inawasilishwa idarani na jamaa akagraduate kwa wakati .Naamini Two supervisors wote hawawezi kuwa wavivu aisee.Ukiwa serious watafanya kazi tu.

Lazima wote wawili watoe comments zao kwenye kazi hata kama ni kwa wakati tofauti.

Huwezi kugraduate kwa kusimamiwa na supervisor mmoja huu ni utaratibu wa
 
Sasa inakuwaje supervisor wote wawili ulopewa wawe wavivu.Nakumbuka Kuna Dr.mmoja yeye alivyoona mwenzake ni mvivu akaendelea kupiga kazi mwamba amekuja kustuka kazi inawasilishwa idarani na jamaa akagraduate kwa wakati .Naamini Two supervisors wote hawawezi kuwa wavivu aisee.Ukiwa serious watafanya kazi tu.

Lazima wote wawili watoe comments zao kwenye kazi hata kama ni kwa wakati tofauti.

Huwezi kugraduate kwa kusimamiwa na supervisor mmoja huu ni utaratibu wa
 
Hilo la uvivu na ubusy ni tatizo ila standard inatakiwa Supervisor wako wote

wawili watoe mchango wao ili research yako iwe bora na kama Supervisor mmoja
ni mvivu au yupo busy unatakiwa uombe ubadilishiwe ila sio utaratibu kuwa na inputs za Supervisor
mmoja tuu kwa level ya master na PhD.
 
Tatizo hilo mkuu. Kuna vyuo mpaka tunaogopa kwenda kusoma shida ni hizo.Ada uipate kiugumu ujitume darasani kwa nguvu zote alafu Mtu anaanza kukwamisha it's not fair.
 
Tatizo hilo mkuu. Kuna vyuo mpaka tunaogopa kwenda kusoma shida ni hizo.Ada uipate kiugumu ujitume darasani kwa nguvu zote alafu Mtu anaanza kukwamisha it's not fair.
Vyuo kama vipi hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…