dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,037
- 3,134
Kwa sababu sasa hivi niko Mara, Serengeti.Kwa nini usikubali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu sasa hivi niko Mara, Serengeti.Kwa nini usikubali?
Thibitisha mimi dogo kwako.We unajuaje ikiwa sikuzidi Umri?.
Mtei anaingia Ofisi na kuweka sahihi kwenye noti wengine tushaanza kuombwa kugombea Udiwani[emoji3526][emoji3526][emoji3526]
😂😂Sawa Bwana Kaka.Thibitisha mimi dogo kwako.
Else, you are a jackass.
Mbona yupo kitambo tu😂😂Ngoja kilanga aje umdhibitishie hiyo sura na Mungu umevipataje.
Na sisi ngozi nyeusi tuko kundi gani?
Utumishi bora[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sababu hiyo hiyo inayokufanya usikubali kwamba sasa hivi upo Geneva, Switzerland ukiiba benki, kwa kuwa upo Serengeti, Mara, ndiyo inayonifanya nisikubali kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu ambao unaruhusu mabaya kutokea.Kwa sababu sasa hivi niko Mara, Serengeti.
Ila pia inasemekana kuwa Mfumo wao wa maisha unawafanya wawe na stress na depression sana. Yani mfumo wao unawalazimisha kuficha mambo mengi yanawauma ndani kwa ndani kutoka na kuishi kwendana na expectation ya jamii juu yako.
Halafu ukifuatilia wana matukio yao ya kuuana ya ajabu sana aisee.
Ndio maana kila nikijiangalia huwa nawaona hao kama ndugu zangu.
Tunafanana kwa mambo mengi.
And the worst part about them ni kwamba,Wajapani hawana DINI...
Kiranga:Hana IMANI juu ya chochote yeye anaishi kwa facts,waaamini tunaishi kwa IMANI ya Mungu na facts juu ya Mungu.Unaeleza vizuri sana ila Rudi kwenye swali langu la msingi.
Unaamini kuwa Mungu yupo ama Hayupo?.
MUNGU yupo.Nakwambia Mungu hayupo halafu unaniuliza tena kama yupo au hayupo?
Unajua kusoma wewe?
Mpaka hapa naona hujui kusoma.
Tutaweza kujadiliana kweli?
Umejuaje nitauliza Mungu yuko wapi?MUNGU yupo.
Najua utauliza yuko wapi?
MUNGU yuko mahali kote.
Najua utataka facts.
Facts tazama ulimwengu ulivyo mkubwa usio na mwisho unavyoenenda na ulivyoumbika ni kwa mapenzi na uweza wake.
Tazama viumbe wake na uhai na utashi uliopo ndani ya viumbe wake.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Una maneno mengi na inaonyesha unasoma mambo mengi ila uelewa wako ni finyu sana mithiri ya punje ya mchanga kwa maelezo ya hapo juu tu umechanganya mambo hayaingiliani kabisa na utasema watu wavivu wa kusoma.Wewe sema tu ni mvivu wa kusoma.
Kwanza usiniite dogo hiyo ni dharau, hujui umri wangu.
That is very condescending. Halafu inakuonesha wewe ni mtu wa kufanya assumptions tu.
Kuhusu hoja yako kwamba kitu ambacho hakipo sitakiwi kukijadili, hapo unaonesha utapiamlo katika uwezo wako wa kufikiri kimantiki.
Nitakuonesha kwa nini, kwa mfano rahisi tu.
Kama kuna mganga muongo anasema ana dawa inayotibu ugonjwa mpya, na madaktari wanajua hakuna hiyo dawa, huyo mganga ni muongo, madaktari hao wana wajibu wa kukanusha na kusema hiyo dawa ni ya uongo haipo.
Wataijadili hiyo dawa ambayo haipo ili kuonesha watu kwamba haipo.
Wewe ni kama mganga muongo unayesema kuna dawa (Mungu) wakati hakuna kitu hicho.
Daktari anayejua hiyo dawa haipo (mimi) ana wajibu wa kuweka rekodi sawa na kuonesha uongo wako.
Kwa sababu, kuna watu wanaweza kuzembea kujikinga wakifikiri kuna dawa, kumbe habari za dawa kuwepo ni uongo.
Natumaini umeacha uvivu wa kusoma na umesoma mpaka mwisho.
Vinginevyo hatutawezi kujadiliana.
Mungu hayupo.
Kama unabisha, thibitisha yupo.
1. Hujaweza hata kutaja hayo mambo uliyosema nimechanganya.Achilia mbali kuthibitisha kwamba nimechanganya.Una maneno mengi na inaonyesha unasoma mambo mengi ila uelewa wako ni finyu sana mithiri ya punje ya mchanga kwa maelezo ya hapo juu tu umechanganya mambo hayaingiliani kabisa na utasema watu wavivu wa kusoma.
Wewe hodari wa kusoma unasoma mambo yanakutia wehu unachanganya mambo mengi sana.
Nakushauri wahi ukapate Tiba ata hapo mirembe dodoma utapata nafuu.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Wajanja sana sura ya karai. Wananchi fanya sasa ni kuchukua vijana wa kiafrika na kuwapa ajira na mikataba ya kuishi kwao kwa muda mrefu, lengo ni kuchanganya damu ilio moto. Wanajua wazi damu moto ikichachamaa huanzia watoto 3 na zaidi, huo mwaka ulio sema elewa kutakuwa na machotara wengi na maliasili watu itazidi.Nyongeza,
Tafiti zinaonyesha Wajapan Ndo jamii ya binadamu duniani inayoelekea kupotea ktk uso wa Dunia kwa Kasi zaidi.
Inatabiriwa kama hawatobadilika kufikia 2080,Hakutakua na wajapani wowote duniani.