Taifa ni kitu kimoja chenye vitu vingi ndani mwake.
Umoja wake unatokana na sifa mtambuka (universals)
Kitu kimoja kimoja ndani ya Taifa, mfano kabila lako, kinatambulishwa na sifa za kipekee (particulars)
Kabila lako linazo sifa za kipekee zipi? Ni hizi hapa: Lugha ya kikabila, mila, na desturi zenu.
Taifa la Tanzania ni kitu kimoja kwa sababu ya sifa gani Mtambuka? Hizi hapa: Lugha ya Taifa, akili, utashi, vinasaba vya kibinadamu, serikali moja inayosimamia sera, sheria na taasisi zisizofungamanisha masuala ya kidini, nk.
Taasisi mojawapo ni TBC.
Hapo vipi?
NImeeleweka!