Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Swali kwa Viongozi CHADEMA: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

"Ukweli ni kwamba: Mungu anayetaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayetaka Mbowe asitiwe hatiani ni MIungu wawili tofauti! Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake. Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki."
Kwani jiwe aliposema yeye ni mpenzi wa Mungu aombewe alikuwa mjinga na jee kuombeana ni dhambi na Mungu amekataza?

Au mnataka wafanye nini bila ya kumuombea?

Ukiona kumuombea kwako kutaleta ufarakano nyamaza.
 

Catholic definition of God

The one absolutely and infinitely perfect spirit who is the Creator of all.

In the definition of the First Vatican Council, fifteen internal attributes of God are affirmed, besides his role as Creator of the universe:

"The holy, Catholic, apostolic Roman Church believes and professes that there is one true, living God, the Creator and Lord of heaven and earth. He is almighty, eternal, beyond measure, incomprehensible, and infinite in intellect, will and in every perfection. Since He is one unique spiritual substance, entirely simple and unchangeable, He must be declared really and essentially distinct from the world, perfectly happy in Himself and by his very nature, and inexpressibly exalted over all things that exist or can be conceived other than Himself" (Denzinger 3001).

Reflecting on the nature of God, theology has variously identified what may be called his metaphysical essence, i.e., what is God. It is commonly said to be his self-subsistence. God is Being Itself. In God essence and existence coincide. He is the Being who cannot not exist. God alone must be. All other beings exist only because of the will of God.

NB: One more divine attribute is INCARNATION. Rarely mentioned by theologians!
Ndugu,
Yaonekana na yawezekana huyo mungu wako ni tofauti na Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo tunaemwamini siye.
Hivi waonaje ukiendelea nae kwa amani, ili mradi hujiingizi katika kukashifu imani za wengine kama katiba JMTZ inavyotaka.
Maelezo mengine yataweza kukusaidia kwenye masomo yako. LAKINI kama hayakusaidii kujenga imani na upendo wa kweli, ni kazi bure. AMEN
 
Ndugu,
Yaonekana na yawezekana huyo mungu wako ni tofauti na Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo tunaemwamini siye.
Hivi waonaje ukiendelea nae kwa amani, ili mradi hujiingizi katika kukashifu imani za wengine kama katiba JMTZ inavyotaka.
Maelezo mengine yataweza kukusaidia kwenye masomo yako. LAKINI kama hayakusaidii kujenga imani na upendo wa kweli, ni kazi bure. AMEN
Kumbuka:

Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo sio Mungu tunaemwamini leo.
Huyo ni Mungu wa Agano la Kale na alikuwa ni roho tupu.
Mungu wa Agano Jipya ana mwili pia, hasa tangu umwilisho wa Yesu.
Kunahitajika skills kidogo tu za kufanya literature review kubaini tofauti hii.
Unakwama wapi?
Acha kukariri mambo kama kasuku.
 
Wewe mbona wanasiasa wanaombewa kwenye misikiti na makanisasisi kanisani kwetu huwa tunamwombea Raisi ingawa siyo mkiristu
With evidence provided, eleza maombi mangapi kati ya hayo yamejibiwa na mwombwaji.
 
Wakatoliki hukataa kumzika mtu aliyekuwa anaabudu madhehebu tofauti.

Vivyo hivyo, hawapaswi kumwombea mtu anayekataa Ukatoliki kama anavyofanya Mbowe ambaye ni muumini wa KKKT mpaka leo.
Mbowe alipokea dhehebu lake katika umri gani? Tuseme ni akiwa mtoto, tunarithi DINI na MADHEHEBU, Je katika utaratibu huo 'mtoto' anakuwa AMEKATAA dhehebu flani au anakuwa amepokea imani kwa kurithi?

Ningeomba ushahidi wa MBOWE katika umri wake wa utambuzi (mtu mzima) kwamba ALIKATAA kuwa R
MKATOLIKI! Nani alimfata na kumshawishi kuwa RC ila AKAKATAA!

Ndugu, dini /dhehebu kote Duniani ni urithi wa kimnyororo wa familia. Tunazaliwa, tunapitishwa njia za kiimani za dini /dhehebu za wazazi.

Hakuna logic katika andiko lako kwamba MBOWE ameukataa (willingly and intentionally) UKATOLIKI hivyo hapaswi kuombewa na dhehebu.

Yesu alikuwa MKATOLIKI, MLUTHERANI, MSABATO, MLOKOLE?
 
Mbowe alipokea dhehebu lake katika umri gani? Tuseme ni akiwa mtoto, tunarithi DINI na MADHEHEBU, Je katika utaratibu huo 'mtoto' anakuwa AMEKATAA dhehebu flani au anakuwa amepokea imani kwa kurithi?

Ningeomba ushahidi wa MBOWE katika umri wake wa utambuzi (mtu mzima) kwamba ALIKATAA kuwa R
MKATOLIKI! Nani alimfata na kumshawishi kuwa RC ila AKAKATAA!

Ndugu, dini /dhehebu kote Duniani ni urithi wa kimnyororo wa familia. Tunazaliwa, tunapitishwa njia za kiimani za dini /dhehebu za wazazi.

Hakuna logic katika andiko lako kwamba MBOWE ameukataa (willingly and intentionally) UKATOLIKI hivyo hapaswi kuombewa na dhehebu.

Yesu alikuwa MKATOLIKI, MLUTHERANI, MSABATO, MLOKOLE?


HOJA: Ndugu, dini/dhehebu kote Duniani ni urithi wa kimnyororo wa familia. Tunazaliwa, tunapitishwa njia za kiimani za dini /dhehebu za wazazi. Hakuna logic katika andiko lako kwamba MBOWE ameukataa (willingly and intentionally) UKATOLIKI hivyo hapaswi kuombewa na dhehebu.

JIBU: Bila kujali alibatizwa katika umri gani, matatu yako wazi, (1) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kujiunga na Ukatoliki. (2) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kuukana Ulutheri wake aliourithi kifamilia. (3) Kwa hiyo, katika umri wa utu uzima wake haukubali na hajawahi kuukubali Ukatoliki. Anaikataa Ukatoliki by practice. Hivyo, awe mzima au mfu, leo hana haki yoyote anayopaswa kudai kutoka Kanisa Katoliki.

HOJA: Yesu alikuwa MKATOLIKI, MLUTHERANI, MSABATO, MLOKOLE?

JIBU: Yesu Kristo alikuwa Myahudi mpaka utu uzima wake. Baadaye akaukataa Uyahudi kwa hoja na kuanzisha movement yake ambayo leo inaitwa Ukristo
 
HOJA: Ndugu, dini/dhehebu kote Duniani ni urithi wa kimnyororo wa familia. Tunazaliwa, tunapitishwa njia za kiimani za dini /dhehebu za wazazi. Hakuna logic katika andiko lako kwamba MBOWE ameukataa (willingly and intentionally) UKATOLIKI hivyo hapaswi kuombewa na dhehebu.

JIBU: Bila kujali alibatizwa katika umri gani, matatu yako wazi, (1) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kujiunga na Ukatoliki. (2) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kuukana Ulutheri wake aliourithi kifamilia. (3) Kwa hiyo, katika umri wa utu uzima wake haukubali na hajawahi kuukubali Ukatoliki. Anaikataa Ukatoliki by practice. Hivyo, awe mzima au mfu, leo hana haki yoyote anayopaswa kudai kutoka Kanisa Katoliki.

HOJA: Yesu alikuwa MKATOLIKI, MLUTHERANI, MSABATO, MLOKOLE?

JIBU: Yesu Kristo alikuwa Myahudi mpaka utu uzima wake. Baadaye akaukataa Uyahudi kwa hoja na kuanzisha movement yake ambayo leo inaitwa Ukristo
Nimekuuliza hapo KWA NINI AUKANE U-KKKT? KWA NINI AUPOKEE U-KATOLIKI?

Hebu break it down objectively kwa nini mtu aliyerithi DHEHEBU katika utoto, aje AKANE DHEHEBU katika utu uzima?

Kwamba MBOWE alipaswa kuamka asubuhi moja na kusema 'mimi siyo MLUTHERANI'!
 
HOJA: Ndugu, dini/dhehebu kote Duniani ni urithi wa kimnyororo wa familia. Tunazaliwa, tunapitishwa njia za kiimani za dini /dhehebu za wazazi. Hakuna logic katika andiko lako kwamba MBOWE ameukataa (willingly and intentionally) UKATOLIKI hivyo hapaswi kuombewa na dhehebu.

JIBU: Bila kujali alibatizwa katika umri gani, matatu yako wazi, (1) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kujiunga na Ukatoliki. (2) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kuukana Ulutheri wake aliourithi kifamilia. (3) Kwa hiyo, katika umri wa utu uzima wake haukubali na hajawahi kuukubali Ukatoliki. Anaikataa Ukatoliki by practice. Hivyo, awe mzima au mfu, leo hana haki yoyote anayopaswa kudai kutoka Kanisa Katoliki.

HOJA: Yesu alikuwa MKATOLIKI, MLUTHERANI, MSABATO, MLOKOLE?

JIBU: Yesu Kristo alikuwa Myahudi mpaka utu uzima wake. Baadaye akaukataa Uyahudi kwa hoja na kuanzisha movement yake ambayo leo inaitwa Ukristo
Nimekuuliza huyo YESU baada ya kuukataa UYAHUDI akawa MKRITSO WA DHEHEBU GANI? RC, KKKT, SABATO, MLOKOLE?

Naomba HOJA ambazo YESU alitoa kuamua kuwa DHEHEBU moja wapo hapo!
 
HOJA: Ndugu, dini/dhehebu kote Duniani ni urithi wa kimnyororo wa familia. Tunazaliwa, tunapitishwa njia za kiimani za dini /dhehebu za wazazi. Hakuna logic katika andiko lako kwamba MBOWE ameukataa (willingly and intentionally) UKATOLIKI hivyo hapaswi kuombewa na dhehebu.

JIBU: Bila kujali alibatizwa katika umri gani, matatu yako wazi, (1) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kujiunga na Ukatoliki. (2) Katika umri wa utu uzima wake hajawahi kuukana Ulutheri wake aliourithi kifamilia. (3) Kwa hiyo, katika umri wa utu uzima wake haukubali na hajawahi kuukubali Ukatoliki. Anaikataa Ukatoliki by practice. Hivyo, awe mzima au mfu, leo hana haki yoyote anayopaswa kudai kutoka Kanisa Katoliki.

HOJA: Yesu alikuwa MKATOLIKI, MLUTHERANI, MSABATO, MLOKOLE?

JIBU: Yesu Kristo alikuwa Myahudi mpaka utu uzima wake. Baadaye akaukataa Uyahudi kwa hoja na kuanzisha movement yake ambayo leo inaitwa Ukristo
Yesu aliukataa UYAHUDI na kupokea UKRISTO, Je ni UKRISTO wa KKKT, KATOLIKI, SABATO, ULOKOLE?
 
Nimekuuliza hapo KWA NINI AUKANE U-KKKT? KWA NINI AUPOKEE U-KATOLIKI? Hebu break it down objectively kwa nini mtu aliyerithi DHEHEBU katika utoto, aje AKANE DHEHEBU katika utu uzima? Kwamba MBOWE alipaswa kuamka asubuhi moja na kusema 'mimi siyo MLUTHERANI'!
Sababu ni hii: Mungu wa Wakatoliki sio kisawe cha Mungu wa Walutheri.

Ni hivi:

Mungu wa Wakatoliki na Mungu wa Walutheri wanafanana kwa sababu wote wanazo nafsi tatu, walishiriki kuumba mbingu na nchi, nk.

Lakini:

Kwa upande mmoja, MUngu wa Wakatoliki, kati ya mengine, anakataza matumizi ya kondomu, anazuia makuhani kuoa, alianzisha upadirisho kama sakramenti, na anafundisha kuwa malengo mazuri hayapaswi kuhalalisha mbinu haramu hata siku moja.

Kwa upande mwingine, Mungu wa KKKT anaruhusu matumizi ya kondomu, anaruhusu makuhani kuoa, hakuanzisha upadirisho kama sakramenti, na anafundisha kuwa katika mazingira fulani malengo mazuri yanaweza kuhalalisha mbinu haramu.

Mbowe katika umri wa utu uzima anazijua tofauti hizi na ameamua kwa hiari yake mwenyewe kubaki katika kambi ya Mungu wa KKKT.

Kuna swali jingine?
 
View attachment 1897959
Rodrick Lutembeka, mmoja wa kiongozi wa Baraza la Wazee Chadema

Tangu Freeman Mbowe alipokamatawa na kufunguliwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, viongozi wa Chadema Mwanza, Morogoro na Dar es Salaam wamekuwa wanahamasisha maombi katika makanisa mbalimbali, bila kujali Mbowe anamwamini Mungu yupi.

Kuna wanaopeleka matoleo kwenye makanisa ya parokia Katoliki. Wengine wanapepeleka makanisa ya KKKT. Na baadhi wanasali novena barabarani.

Nina swali kwa Viongozi wa Chadema: Kumwombea Mbowe ni sehemu ya ibada kwa Mungu yupi?

Kanuni za kuzingatiwa:

Kusudi, viongozi wa Chadema waweze kuelewa msingi wa swali langu na kulitendea haki, naweka hapa kanuni zinazopaswa kuongoza mjadala huu:

Mosi, ni kanuni ya kutambua kitu kimoja chenye majina tofauti, yaani the principle of the Identity of indescernibles.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na majina mawili yanayorejea kitu kimoja kile kile, hiyo maana yake ni kwamba, kila sifa iliyofungamana na kitu chenye jina la kwanza pia imefungamana na kitu chenye jina la pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, kwa kila jozi ya vitu, vyenye majina X na Y, jina X litakuwa linamaanisha kitu kile kile kinachomaanishwa na jina Y, endapo na endapo tu:

Kwa pamoja, sentensi kwamba:

(1) kila sifa iliyofungamana na kitu X pia imefungamana na kitu Y;

na sentensi kwamba:

(2) kila sifa iliyofungamana na kitu Y pia imefungamana na kitu X.

ni za kweli.

Kwa mfano,
  • Julius ni jina linalorejea mtu yule yule anayeitwa Nyerere. Yaani, Julius na Nyerere ni majina ya kitu kimoja.
  • Na, DOG ni jina linalorejea kitu kile kile kinachoitwa MBWA. Yaani, DOG na MBWA ni majina ya kitu kimoja.
Pili, ni kuhusu kanuni ya kutofautisha vitu vinavyohesabika, yaani the principle of dissimilairty of the diverse.

Kwa mujibu wa kanuni hii, kunapokuwa na vitu viwili vinavyoonekama kuwa tofauti, kiasi kwamba tunaweza kusema kuwa hiki ni kitu cha kwanza, na kile ni kitu cha pili, basi, hiyo maana yake ni kwamba, vitu hivyo vina tofauti inayotokana na ukweli kwamba, kuna angalau sifa moja iliyofungamana na kitu cha kwanza lakini sifa hiyo haikufungamana na kitu cha pili, na kinyume chake ni kweli.

Yaani, tukikutana na vitu viwili, X na Y, tunaweza kuvitofautisha endapo tu:

Ama:

(1) katika seti ya sifa za kitu X angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu Y,

Au:

(2) katika seti ya sifa za kitu Y angalau kuna sifa moja S, ambayo haipatikani kwenye seti ya sifa za kitu X.

Kwa mfano:
  • Mipira miwili ya tufe, iliyowekwa mezani, na ambayo inafanana kwa kila kitu, bado tunaitambua kuwa ni mipira miwili tofauti kwa kuwa, kila mpira unayo anwani yake ya kijiografia. Hata watoto mapacha sisisi tunawatofautisha kwa njia hiyo.
  • Vivyo hivyo, Miungu inayependa kuabudiwa Ijumaa (Miungu ya Waislamu) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Kadhalika, Miungu inayependa kuabudiwa Jumamosi (Miungu ya Wasabato) na Miungu inayependa kuabudiwa Jumapili (Miungu ya Wakristo bado) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Aidha, Miungu inayoruhusu waamini kutumia kondomu (Miungu ya Waanglikana) na Miungu inayokataza kondomu (Miungu ya Wakatoliki) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Vile vile, Miungu inayokataza makuhani kuoa (Miungu ya Wakatoliki) na Miungu inayoruhusu makuhani kuoa (Miungu ya Waanglikana na Walutheri) ni Miungu tofauti, kwa sababu hiyo pekee.
  • Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!
  • Na mifano inaendelea kama inavyothibitishwa na utitiri wa usajili wa taasisis za kidini katika ofisi ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Hivyo basi:

Mungu wa KKKT anayemwabudiwa na Mbowe ni tofauti na Mungu wa Wakatoliki wanayejaribu kumwomba wafuasi wa Mbowe.

Mbowe hamtambui Mungu wa Wakatoliki tangu siku alipobatizwa chini ya madhehebu ya KKKT, na hadi leo hajatwambia kama amemkana Mungu wa KKKT na kumkubali Mungu wa Wakatoliki.

Kwa hiyo, Mungu wa Wakatoliki hawezi kusikiliza wala kupokea matoleo yanayopelekwa ndani ya Kanisa Katoliki kwa ajili ya kumwomba Mungu wa Wakatoliki amtetee Mbowe, mpaka hapo Mbowe atakapomkiri kwamba yeye pekee ndiye Mungu wa kweli.

Hivyo, viongozi wa Chadema acheni maigizo kama ya "mitano kwanza" na "mitano tena" tuliyoshuhudia mwaka jana.

Msitufikishe mahali kanisa lile lile moja linapokea matoleo ya kuomba mbowe atiwe hatiani na kuyabariki leo; halafu kesho, kanisa hilo hilo linapokea matoleo ya kuomba mbowe asitiwe hatiani na kuyabariki. Dini zitadhalilika sana kwa njia hii.

Ukweli ni kwamba: Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe atiwe hatiani na Mungu anayewaunga mkono watu wanaotaka Mbowe asitiwe hatiani ni Miungu wawili tofauti!

Lakini, tunafundishwa kuwa Mungu wa kweli habadiliki wala kubadilisha mawazo yake.

Kwa hiyo, mmojawapo kati ya miungu hawa wawili atakuwa ni Mungu feki, yaani Mungu wa kuchonga (constructed God), wakati mwingine ni Mungu wa kweli (essential God).

Ukweli ndio huo!

Halafu ww mother huwa unazingua na nyuzi zako za kishuleshule, huna mtu wa kukipiga miti nini mpaka unapata sonona?
 
Mungu kwetu ni kimbilio la nguvu, msaada unao onekana tele wakati wa mateso, Imeandikwa kwenye kitabu cha Zaburi; wajuvi watasema ni Zaburi gani hiyo
 
Sababu ni hii: Mungu wa Wakatoliki sio kisawe cha Mungu wa Walutheri.

Ni hivi:

Mungu wa Wakatoliki na Mungu wa Walutheri wanafanana kwa sababu wote wanazo nafsi tatu, walishiriki kuumba mbingu na nchi, nk.

Lakini:

Kwa upande mmoja, MUngu wa Wakatoliki, kati ya mengine, anakataza matumizi ya kondomu, anazuia makuhani kuoa, alianzisha upadirisho kama sakramenti, na anafundisha kuwa malengo mazuri hayapaswi kuhalalisha mbinu haramu hata siku moja.

Kwa upande mwingine, Mungu wa KKKT anaruhusu matumizi ya kondomu, anaruhusu makuhani kuoa, hakuanzisha upadirisho kama sakramenti, na anafundisha kuwa katika mazingira fulani malengo mazuri yanaweza kuhalalisha mbinu haramu.

Mbowe katika umri wa utu uzima anazijua tofauti hizi na ameamua kwa hiari yake mwenyewe kubaki katika kambi ya Mungu wa KKKT.

Kuna swali jingine?
Mungu wa UISLAMU haruhusu matumizi ya kondomu, Je hii inatosha Muislamu kuombewa na MKATOLIKI na maombi yakapokelewa?
 
Rejea jawabu langu ktk bandiko na. 133
Wewe sema hapa YESU alipokea UKRISTO kisha akawa DHEHEBU gani? Tuanze sasa kujua dhehebu lipi ni la UKRISTO halali kwa kuwa yote yanamtaja na kumuishi YESU KRISTO.
 
Mungu wa UISLAMU haruhusu matumizi ya kondomu, Je hii inatosha Muislamu kuombewa na MKATOLIKI na maombi yakapokelewa?
Naona unatoka nje ya mada.

Hoja yangu inaanzia kwenye Ukatoliki na sheria zake, canon laws!

Sheria hizi zinakataza kuhani mlutheri kukanyaga kwenye madhabau katoliki

Zinakataza mtu aliyeishi nje ya ukatoliki kuombewa kwa njia ya ibada ya mazishi.

Vivyo hivyo, zinakataza mtu asiye mkatoliki kupata huduma za kiroho ambazo ni haki ya wakatoliki.

Mambo ya uislamu siongelei kwa sababu hizi.
 
Back
Top Bottom