Swali la SUGU kwa Humphrey Polepole, swali zito sana kuhusu maadili yake na iwapo ana hadhi ya kuita wenzake wahuni, ana KY chumbani!

Sisi hatuna muda wa kutofautisha, tunabeba full package
Ukibeba full package utakuta viongozi wengi chamani na serikalini wachafu sana kwenye Mambo Yao binafsi wana adabu kazini lakini kibinafsi wako hovyo sana wahuni wa kutupwa

Hakuna uhuni mbaya kama wa kupora Mali za chama au serikali
 
Ukibeba full package utakuta viongozi wengi chamani na serikalini wachafu sana kwenye Mambo Yao binafsi wana adabu kazini lakini kibinafsi wako hovyo sana wahuni wa kutupwa

Hakuna uhuni mbaya kama wa kupora Mali za chama au serikali
Hayo utayajua wewe mkuu, sisi tunaangalia yote
 
🀣 🀣umeongea kwa uchungu sana,utadhani wewe ni muhusika wa hiyo KY
 
Maadili ya kidini sio binding kwa kila mtu ni hiyari ndio maana uzinzi sio kosa la jinai.1
 
Mafuta ni suala binafsi halipaswi kuwa mjadala 2a umma.
Lazima tujue tabia binafsi za viongozi,zinaweza kuathiri mustakabali wa taifa baadae, kama ana tabia hizo tujue, maana anavyopiga mdomo anatoa kiashiria fulani
 
Sugu amejuaje gettho la msela kuna KY? aisufue mvua.......
Mwenye ghetto kaposti mwenyewe picha za ghetto lake baada ya anachodai alivamiwa. Kati ya items zilizoonekana kwa uwazi kabisa kwenye picha ile ni KY! Yule ni mpumbavu kufupisha maelezo; kiroboto haswa!
 
Kwa hiyo Humphrey alikuwa anatumia hiyo KY kupiga punyeto?
 
Mwenye ghetto kaposti mwenyewe picha za ghetto lake baada ya anachodai alivamiwa. Kati ya items zilizoonekana kwa uwazi kabisa kwenye picha ile ni KY! Yule ni mpumbavu kufupisha maelezo; kiroboto haswa!
Aisee, Sasa sijui ni kijana wa mtu!?
 
Jf bhana...

Ukitaka kupitia threads zilizojaa pumba na matusi...

Tafuta iliyoanzishwa na nyumbu na ikaonekana kuwasapoti wahuni wa ccm humo hutokutana na hoja...

Ni matusi mwanzo mwisho.
 
KY also known as Gay lube, kwenye Chumba cha Msimbe.πŸ˜πŸ€¨πŸ˜†
Yaani, ngoja tuone, labda wazee wa kitengo wana video zake, ngoja akukuruke wanaweza kumchapa kombora kama Gwaji akiwa ki Ramadhani Kibwili
 
Au wewe ndo ulikuwa unaliwa nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…