Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

🤣🤣🤣noma sn
Km ni Cha mungu kweli Kwann wamuue mtu? Kwann wasimthibitishie kuwa huyo mungu wa hiko kitabu anaweza?
Yaani mungu wa kutetewa na wanadamu hapana aisee
 
Alitaka mwenyewe, usiwaingilie watu kwenye imani zao.
Ye mwenyewe muisilamu kaleta mtafaruku atengeneze mazingira wakamficha lakini jamaa timming ilikua hiyo wamtembeze mbele.
Unaanzaje kuchoma vitabu vya dini vya watu?
 
Tafuta bendera ya taifa la Tanzania,nenda karibu na kitu cha polisi,ichome moto,kitakachokukuta uko mzima utajua
 
Kachome na wewe upigwe risasi umfuate huyo shetani mwenzio aliyetangulia jahananam!
 
Chai
 
Sitetei uislamu au dini yeyote, ila kitendo cha kuchoma maandiko anayoyaona mwenzako ni matakatifu huo ni upungufu wa akili,na akikuchukulia hatua yeyote ile kutetea imani yake hana hatia. Ndugu zangu tumepewa uhuru wa kuabudu,kuchagua dini,kwa nn uingilie imani au dini ya mwingine? Rubbish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…