Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

W
Weka msisitizo "chapishwa na wanadamu".
 
Kuna watu wakiona mtu anapigwa lisasi na kufa wanafurahi sana. Huo ni ujinga mkubwa sana. Mungu hapendi watu wafanyiwe hivyo.
 
Mwenyezimungu mjuzi kabisaa mana'ke angekua kichaa ndo wazushi mngezidisha chumvi na kusema ni kitabu cha majini...si ndio?
 
Mwana kulitafuta mwana kulipata akili yako usipoitumia vizuri majuto ndio uyo uyo Mjuukuu
Sifa za kipumbavu angechoma kimya kimya yasingemkuta lkn misifa imemponza!!!
mwengine ajichanganywe Kufa ushujaa pia!!!! Quran tukufu, inawenyewe tofaut na vitabu vengine!!
 
Mumtukane na kumzushia mara ngapi?..nyie wagalatia ni wazushi hiyo ndo laana mliyoachiwa kama waislam walivyo achiwa laana ya unafiki..manabii karibia wote wa mwenyezimungu mmewazushia uzushi
Mmezushia yeye ni mtoto wa mungu haikutosha wakaja wengine wakasema ni mungu..mkaona haitoshi mkamchora pia hamkutosheka mkamchongea na kinyago pia hamkutosheka sasa mnadai eti anawajia na kumuota sijui nini blah blah nyng kila pembe ya dunia wachungaji wenu yesu anawajia...na kuwapa maono
Yote tisa kumi Papa Francis akasema ameongea na mungu awabariki LGBT kanisani asiwatenge...mkafanya kufuru kwny michezo ya Olympics Paris eti yesu alikula mkate wa bwana na mashoga... hapo bado ule uzushi wenu kwmb mwaka 2000 ni mwsh wa dunia ilikua vipeperushi kila sehemu mpk Kibwetere akawachoma kanisani...kwa hilo mjua wenyewe nyie endeleeni tu
 
Safi nayeye akachomwe Ms misifa akidhani Wazungu watamlinda milele POLISI Wazungu penginne ndio Wamemuuza!!!
 
Allah ameshindwa kutoa adhabu ikabidi atume magaidi kufanya yao 😂
Nyie mungu wenu ndio mnamfanyia maigizo kabisa hoo anaponesha vipofu sijui walemavu kumbe mchungaji kaandaa VITUKO SHOW!!@ jamaaa sifa ziendeeee kwaaaaa aibu watu awana!!!
 
Allah kamua atumie watu wake wafanye mauaji hayo. Nimekuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…