Sweden: Mwanaume achoma Quran nje ya msikiti siku ya Eid

Sweden: Mwanaume achoma Quran nje ya msikiti siku ya Eid




109


17:110. Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo.

Mbona hujaandika mwenyezi mungu na badala yake umeandika "Mwenyezi Mungu"?
Kumbe ulikusudia kuandika mungu hapo awali!
Kiufupi imeelewaka,Allah ni kiarabu na ina kiswahili chake!
Shika imani yako inatosha,wewe hauna tofauti na hao wasweeden!
 
Sioni haja ya kufanya haya. Tumia ushawishi wa Imani yako kuwafanya wengine wengine wake ktk Imani yako siyo kuchoma vitabu vyao. Huu ni upuuzi.
Halafu Sweden, Australia, Denmark na baadhi ya Scandinavian countries hawapendi uislam Sasa kwa nini wanawakaribisha kama wakimbizi Hawa watu ni wanafiki...yanini kumkaribisha mtu Kisha kumfanyia yasiostahili kwa Imani yake .
 
Mbona hujaandika mwenyezi mungu na badala yake umeandika "Mwenyezi Mungu"?
Kumbe ulikusudia kuandika mungu hapo awali!
Kiufupi imeelewaka,Allah ni kiarabu na ina kiswahili chake!
Shika imani yako inatosha,wewe hauna tofauti na hao wasweeden!
Kabisa tena, hata Kiswahili asilimia kubwa ni Kiarabu, usisahau hilo.

Umeona mapungufu ya nenu "mungu"" hayo hutayakuta katika jina Allah kwa Kiarabu, halina herufi kubwa wala ndogo, halina ke wala me, halina past wala present, halina wingi wala umoja.

Allah ndiyo muujiza wake huo. Mungu linaweza miungu Kiswahili, God linaweza kuwa Gods, Allah hakunaupuuzi huo kabisa ingawa maneno na sifa zote Kiarabu zina ama wingi ama u ke na u me.

Muujiza huo.
 
Kiouabisa tena, hata Kiswahili asilimia kubwa ni Kiarabu, usisahau hilo.

Umeona mapungufu ya nenu "mungu"" hayo hutayakuta katika jina Allah kwa Kiarabu, halina herufi kubwa wala ndogo, halina ke wala me, halina past wala present, halina wingi wala umoja.

Allah ndiyo muujiza wake huo. Mungu linaweza miungu Kiswahili, God linaweza kuwa Gods, Allah hakunaupuuzi huo kabisa ingawa maneno na sifa zote Kiarabu zina ama wingi ama u ke na u me.

Muujiza huo.
Hakuna muujiza hapo, kwani kuna maneno mengi yasiyo na wingi wala umoja!
Nakazia,ulidhamiria kudhalilisha imani ya watu wengine kwa kutumia herufi ndogo wakati ni kinyume!Hata majina yetu binadamu huanzwa kwa herufi kubwa!
Huna tofauti na hao wasweeden,ukiipenda imani yako inatosha!Hizi nyingine ni chokochoko zisizo na maana!
Kila mtu aishi kwa imani yake,na ndio maana Tz tuna amani!Ukileta chokochoko za dini zinazoweza kuzua taharuki au vurugu,jela inakuhusu!
 
Hakuna mwenye jeuri ya kumpangia mwenzake, unapaswa umhubirie huyo unayedhani amekengeuka lakini sio umlipukie mabomu kwamba wewe ndiye umekerwa kumzidi "mungu" wenu.
japo huwa tunapingana kwa mambo mengi lkn kwenye hawa mazombi huwa unawapa makavu kinoma duh wapunguzie dozi id yng og waliilamba ban
 
japo huwa tunapingana kwa mambo mengi lkn kwenye hawa mazombi huwa unawapa makavu kinoma duh wapunguzie dozi id yng og waliilamba ban

Kimsingi jikite kwenye kuwapa ukweli wao, mimi huwa nawapa maandiko yao wenyewe ambayo yapo kwenye vitabu vyao.
Yule babu yao alikua anagegeda katoto, ipo imeandikwa, alikua ananyonya ulimi wa mvulana, ipo imeandikwa, yaani maushetani mengi tu ambayo hawawezi kukana maana yameandikwa humo kwenye vitabu vyao.
 
15:9 Quran

إِنَّا نَحۡنُ نَزَّلۡنَا ٱلذِّكۡرَ وَإِنَّا لَهُۥ لَحَٰفِظُونَ
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu(Quran), na hakika Sisi ndio tutao ulinda.
Hamna kitu. Kupoteza muda tu. Hata wangefungia maandazi nn shida , unachapisha zingine maisha yanaendelea , kwani zimechomwa zote duniani?

Mnapoteza muda kwa vitu vya kijinga. What spesho kwa hako kakitabu bhana.

Fanyeni kazi familia zenu ziishi maisha mazuri.Hii ndiyo dini ya maana .
 
Sioni haja ya kufanya haya. Tumia ushawishi wa Imani yako kuwafanya wengine wengine wake ktk Imani yako siyo kuchoma vitabu vyao. Huu ni upuuzi.
Halafu Sweden, Australia, Denmark na baadhi ya Scandinavian countries hawapendi uislam Sasa kwa nini wanawakaribisha kama wakimbizi Hawa watu ni wanafiki...yanini kumkaribisha mtu Kisha kumfanyia yasiostahili kwa Imani yake .
Hizo ni nchi za mashoga....

Zinawapinga wakristo wanaofuata maandiko....

Zinawapinga wayahudi.....

Zinawapinga waislamu....

Hao ni "atheists" tu [emoji1787][emoji1787]
 
Kusombwa Na mafuriko Sio Man Made, tumia Akili
Usimsingizie Mungu hapo mkuu.

Mafuriko siyo agano la Mungu kwetu, huyo ni ibilisi asee, Subhanah katujaalia akili za kuweza kuandaa mazingira yetu yasiwe hatari.

Nani kakwambia Allah anataka utekese?.
 
Wana dini wawe wakristo ,waislamu na wayahudi wawe makini sana na chokochoko dhidi yao.....

Ukristo hauna shida na uislam....ila kuna wakristo wenye shida dhidi ya waislamu na wako waislamu wenye shida dhidi ya wakristo....

Yote ni ujinga na upunguani tu....

Mwenyezi Mungu anatutaka tuwe na heshima kwa watu wote na vile wanavyoviamini [emoji120]

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT WILL BE UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji7]

#Id ul Mubarak [emoji120]
#YetzerHatov[emoji120]

#DoNotDoHarm[emoji120]
 
Si ni kakitabu kamoja tu kamechomwa?

Tufanye kazi.
Sio sawa kudhihaki dini za wengine!Hayo hufanywa na mtu ambaye hajastaarabika!Mbaya zaidi kitendo kama hicho kikiwa backed na mamlaka ndio inaleta ukakasi zaidi!
Mimi ni mkristo na siungi mkono matendo kama hayo!
 
Siku zote huwa najiuliza hivi huyu mungu anayehitaji msaada wa wanadamu wampiganie, wamtetee, ni mungu mwenye nguvu kweli? Unaaminije kitu ambacho kinakutegemea ukipiganie na kukitetea? Upofu kitu kibaya sana.

Binafsi mimi Mungu wangu, hata ufanyeje sihitaji kumpigania au kumtetea, yeye anazo nguvu za kutosha kujitetea hahitaji msaada wa mwanadamu. angehitaji msaada wa mwanadamu kutetewa ningeona ni mungu sawa tu na sisi na hapangekuwa na haja ya kumwabudu mtu aliye sawa na wewe.
Mungu anaye elezeka siyo mungu wa kweli
 
quran imewashinda maadui zake kwa HOJA NDO MAANA WANAICHUKIA.hauwezi kumkuta muislam akichoma biblia.maana anajua hicho kitabu hakina hoja za kumshinda.
 
Back
Top Bottom