Taasisi ya Kidini ya Spirit Word Ministry yafutiwa usajili

Ana potosha maandiko.ajui chochote kuhusu Ukristo.
Anapinga amri 10 za Mungu eti zimepitwa na wakat
. wanawake wavae hata uchi kanisan, Biblia imepitwa na wakat ,zumaridi yupo sawa ni Mungu,tuambie we uliyemuelewa ana maanisha nini
 
Kuhamasisha ushoga na kuwabadilisha waache ushoga ni vitu viwili tofaut
 
Your browser is not able to display this video.
 
Waufungie na Ukatoliki maana papa alisema kuwa ushoga si kosa kkishe

Siyo bure wewe. siyo kwa kuwatetea kwa kutukana. Eti unatetea watu wa imani kwa kutukana watu.
Mishoga mpo wengi, Mungu wangu!yani ipo siku mtachomwa moto milele,kizazi cha nyoka nyie kwenda kinyume na maumbile ya mwenyezi Mungu ni kufuru kubwa kwa aliyekuumba,siku ya mwisho jehanamu inakuhusu na utaenda kuzimu kwa mashoga wenzako,mavimavi nyie
 
Nilikuwa siamini kama hili Kanisa lilianzishwa kwa nia njema ya kumhubiri Kristo.
 
Nilikuwa siamini kama hili Kanisa lilianzishwa kwa nia njema ya kumhubiri Kristo.
Ili kuweza kuhimili wimbi la mabadiliko na kuendelea kubaki muda mrefu zaidi madarakani, CCM ilishajivua Ujamaa na CCP waliwashauri njia sahihi ya kuwa in control ni kufuata Ukomunisti.
Kupiga marufuku dini katika zama hizi ni haiwezekani, hivyo njia waliyoshauriwa kuifuata ni kuanzisha madhehebu mengi ambayo mtu ndiyo atakua anafuatwa wala si mahubiri na pia mahubiri yaww ya yale yasiyo na misingi wala mwelekeo wa dini husika.
Kwa yale makanisa makubwa wapandikize viongozi na wachungaji na zaidi wahakikisha yanachoka kwa migogoro.
Kwa Wakatoliki wao sababu ni ngumu kuingikika basi ni kuyumbisha kanisa kwa michango idiyo na ukomo na haya yanaanzishwa kupitia kwa Walei na kwenda hadi kwenye Jumuiya, yote hii ni kuwachosha waumini wajiweke mbali na dini na hatimaye dini kukosa mvuto na yale makanisa waliyoyaanzisha kuimarika ambapo baadaye kupitia mskanisa hayo watu watatawalika.
Upande wa waislam wao hakuna shida sababu BAKWATA is already there.
 
Muangalie sana anayepiga kelele na kushutumu wenzake.
 
Kabisa mkuu jamaa yuko Deeep mno mno ingawa kwenye kuna vitu sikubaliani navyo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…