Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Kabisa dada mimi nimelala na wanawake over 54 nikiwa under 30 kisa pombe.wao wanakua wamelewa wananiona mkubwa mwenzaoKitu kizuri wanakubali kuwa zinakimbilia chini Yani mtu kunambia mwanaume au mwanaume mlevi sio mzinz Huwa nakataa kabisa labda anakunywa nyumbani
Ikawaaje aisee ulilifuata asubuhiBora wewe umenunulia wana.mm nimeingia bar na laki na hamsini.nikaagoza bia mhududumu nae akaganda kwa meza yangu nikasema isiwe kesi nawe chukua bia mbili mikausho mikali ikaendelea tukawa tunalamba ugimbi nikimaliza nae namwagizia.mwisho wa siku yule kaunta baby nae kajongea kuona mwenzie anapata malisho nae nokamnunulia.shida nikilewa zinashuka chini.lile shangazi la kaunta ni chupi saizi 42 zigo la kwenda so kuna kamziki kakawa kanapiga likawa linacheza nami nimelewa nimesimama nilipe colabo kama mondi na yope wacha lifokoe laki.mpaka naondoka sijui kitu matokeo asbh nliyapata nlipoamka sina ata mia ya mguu wa kuku
😂😂😂😂Ha ha ha ha ha ha ha walevi ndo tulivyo.na akikwambia sikiliza nikwambie anataka kile atakachosema usapoti hata kama cha uongo.kuna rafiki yangu ni mjeda akilewa naanza kumpa sifa tena kwa sauti wahudumu wasikie.namwambia wee ni kamanda na kongo uliamsha enzi za jk mpaka m23 wakakimbia utasikia weita mpe safari nne kijana.na kongo hajawahi fika
NAanzaje ndugu nikatukanwe matusi unawajua bar maid wewe.Ikawaaje aisee ulilifuata asubuhi
Sahihi kabisa. kuna kipindi nilipitia joto la maisha wahuni walikuwa hawaniachi kwenda kula bata tena hoteli za gharama nikabahatika kupata connection ya kazi kupitia vibopa hawa asee mlevi siwezi muona wa hovyo hata siku1.Hakuna watu wanapendana kama walevi.kuna mtu tulionana tu day one akiwa kalewa hata sijuo anakaa wapi kujua na mimi natumia akanambia twenzetu.kama masihara nafika kaagoza msosi nae kaagiza tukala.kilichofata mafantomu makubwa ya kvant 4 yakawekwa kwa meza tulikunywa wee baadae kanionyesha kwake kumne ni karibu na pale tulienda kunywa mpaka leo jamaa kawa mshikaji na kwangi huja.walevi ni watu nina zaidi ya miaka kuni na nane nalewa nikiona mlevi namheshimu ni watu na hawana choyo.
Na Bado mnalewa 😂😂Mke wangu akilewa anaanza kufukua makaburi ntatukanwa hata majanga ya mwaka juzi yatafufuliwa siku hiyo na hapiki nguvu anakua hana nishazoea
Balaaa zaidi kukojolea godolo aisee mtu ana mtoto mchanga kalewa na pempasi hajamvesha katoto kakojoe na yeye aisee godoro langu lina ramani ya dunia mpaka sayari zingine zote.
Siku izi akilewa namvesha mwanangu pempasi yeye analala sakafuni mpaka pombe zimuishe na akakojoe toi ndo apande kwa bed.sitaki maujinga ujinga hayo mimi
Mie nikilewaga tu nakumbuka kifo cha marehemu babu naanza kulia kwa sautiHuwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Huyo siyo mlevi huyo ni limbukeni asiyejielewa na hiyo siyo starehe ni matusiKujinyea kujikojolea na kutapika
MAji yameua raia wengi sana hasa kwenye madaraja yasiyo na kingo.kuna mwamba nae alikua kalewa ni bosi wa daradara dereva kamwambia hatuwezi pita hapa maji yamejaa bosi na pombe kamtukana dereva akamwambia niachie siti mwamba akafosi kupita walisombwa na maji.akaua abiria kibao ilikua wilaya ya kwimba mwanzaSahihi kabisa. kuna kipindi nilipitia joto la maisha wahuni walikuwa hawaniachi kwenda kula bata tena hoteli za gharama nikabahatika kupata connection ya kazi kupitia vibopa hawa asee mlevi siwezi muona wa hovyo hata siku1.
Kuna jamaa tulikuwa tunamuita Dangote alikuwa kota wa dhahabu yule fala anaweza kuwaua kwa pombe iwe nyama hata kama starehe yako ni mademu jamaa alikuwa hana hiyana. Msela alikufa na ajari ya ajabu kweli wanatoka kwenye mizunguko wakakuta maji yanapita juu ya barabara si wakasemezana na mwenzake maji haya yanapitika kwa gari ndo ukawa mwisho wao.
Tunaachaje sasa hapa penyewe kalewa na mimi nimelewa ila kama kawa yeye sakafuni mimi kwa bediNa Bado mnalewa 😂😂
Hatari sana. Kuna siku naenda chato nikapita katoro pale nikapiga kama bia5 hivi halafu nikapanda haice kufika huko mbele konda si kaanza kudai nauli nikamwambia nitakupa nikifika wala hakuwa msumbufu. ile nafika sijui ilikuwaje tu nikamwambia wee maskini mbwa wewe unaniabisha kwa kuniomba nauli nauli yenyewe ni kidogo asee nae akapnic wacha wanichangie kunipiga palichangamka pombe ikaisha nikatimka mbio hadi nikaangukia kwa Traffic. Sitasahau kabisa halafu trafic mwenyewe alikuwa mwanamke sijui angenisadia vipi. Acha tuMAji yameua raia wengi sana hasa kwenye madaraja yasiyo na kingo.kuna mwamba nae alikua kalewa ni bosi wa daradara dereva kamwambia hatuwezi pita hapa maji yamejaa bosi na pombe kamtukana dereva akamwambia niachie siti mwamba akafosi kupita walisombwa na maji.akaua abiria kibao ilikua wilaya ya kwimba mwanza
Ha ha ha ha katoro wanga wengi ungeendaa piga bia malendeja bar ushiromboHatari sana. Kuna siku naenda chato nikapita katoro pale nikapiga kama bia5 hivi halafu nikapanda haice kufika huko mbele konda si kaanza kudai nauli nikamwambia nitakupa nikifika wala hakuwa msumbufu. ile nafika sijui ilikuwaje tu nikamwambia wee maskini mbwa wewe unaniabisha kwa kuniomba nauli nauli yenyewe ni kidogo asee nae akapnic wacha wanichangie kunipiga palichangamka pombe ikaisha nikatimka mbio hadi nikaangukia kwa Traffic. Sitasahau kabisa halafu trafic mwenyewe alikuwa mwanamke sijui angenisadia vipi. Acha tu
Kila siku unakutana walevi wageni?Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Nyumbani anaweza mbaka dada wa kazi.Kitu kizuri wanakubali kuwa zinakimbilia chini Yani mtu kunambia mwanaume au mwanaume mlevi sio mzinz Huwa nakataa kabisa labda anakunywa nyumbani