Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Mwingine anawakumbuka marehemu,anaanza kulia!Huwa siielewi Tabia za walevi. Yaani ghafla mtu anang'ang'ania kuvua shati...
Nini hutokea?
Mwingine akilewa ndiyo Sasa ataanza kuimba nyimbo na kucheza Ngoma za kwao. Pombe ndiyo imemkumbusha hizo nyimbo na Ngoma?
Kuna tabia za walevi hushangaza Sana.
Huyo anakua na idea ya lugha ya kiingirishi.Alafu nyie walevi ebu tuambjeni mbona mkilewa kingereza kinatoka tuu
Sawa lakini wakilewa kinatoka kile proper kabisa lakini wakiwa timamu wanakosea tenses na husikii vocabulary KubwaHuyo anakua na idea ya lugha ya kiingirishi.
POmbe hufanya mzunguko wa damu uende poa.so ubongo unapata lishe yake kwa usahihi na perfomance yake huongezeka.ndo maana ukimfuata malaya umelewa anajua kabisa kazi ipo bao dk 50 badala ya 15 sababu ya pombeSawa lakini wakilewa kinatoka kile proper kabisa lakini wakiwa timamu wanakosea tenses na husikii vocabulary Kubwa
Usiniambie mbna nikihitaji kiingereza kwneye presentation wiki ijayo ๐๐Alafu nyie walevi ebu tuambjeni mbona mkilewa kingereza kinatoka tuu
๐๐๐๐Alikuwa anajiona mwamba flani FulaniKuna jamaa yangu alilewa siku moja akaongea maneno haya;
"Mimi ni mfalme wa dunia nina nguvu za kufufua nyoka"
Nilicheka sana, Na hua naendelea kucheka kila kumbukumbu inaponijia, Sijui alikua anawaza nini.
Ila mzabzab๐๐๐๐Nyumbani anaweza mbaka dada wa kazi.
Mie nawasiwasi hawa jamaa de liboloz zao hazifanyi kazi mpaka wagonge monde bora mie nankibamia changu kinasimama chenyewe.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ Gonga savannah aundesparado ila sasa uwe na de libolo readily available ๐Usiniambie mbna nikihitaji kiingereza kwneye presentation wiki ijayo ๐๐
Nimeghairi ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ Gonga savannah aundesparado ila sasa uwe na de libolo readily available ๐
Kweli nakwambia ogopa sana hawa wanywa pombe bora sie wazee wakugegeda tena sie hatuwezi telekeza familia. Hawa wa pombe wanalala bar...na wakiridi home wanakojolea kwenye fridge...utasikia mama sabrina hii taa uliyoweka chooni yakisasa kweli ukifungua mlanga inajiwasha yenyewe๐คฃ๐คฃ๐คฃIla mzabzab๐๐๐๐
We acha tu ๐๐๐๐๐๐Alikuwa anajiona mwamba flani Fulani
I would have helped u with the presentation unfortunately i have been blessed with a kibamia not de liboloz๐Nimeghairi ๐๐๐
Nimekataaa hiyo ๐๐I would have helped u with the presentation unfortunately i have been blessed with a kibamia not de liboloz๐
U see my dear i speak english well without the influence of alcohol๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ