Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

ila shetani nae yupo kazini msisahau,unaeza kumuomba mdada namba lengo linakuwa wala hata sio mapenzi ila unashangaa tu shetani hata alipotokea!!
 
Mawazo potofu sana ayo.
Kwa iyo ukiwa ofisini na mademu zaidi ya 50 na uko na namba zao ni mwendo wa kupigana miti.
Just develop some decence life is all about networking na sio kila mda unawaza kungonoka
Umesema sahihi!!! Maisha yamebadilika sana... nikisema mwanamke anaweza kuwa business partner not necessarily mchangie biashara BALI ANAEEZA KUWA KIUNGO MUHIMU KATIKA CHAIN YA BIASHARA AU KAZI ZAKO...

Ukimjeruhi ujue umekata mnyororo wa kazi au biashara yako... Na kwanini iwe hivyo??
 
ila unajua kwa ss nyie mko wengi sana!kuna ambao wapo wana-hang hang ss kwakuwa hatuwajui kwa kuwaangalia inabid tutupe ndoano kwenye kila fursa[emoji16] tutakayebahatika kumnasa ndo huyohuyo
 
Hapo umenisema mimi kabisa mkuu.
Mwanamke ambae yupo kwenye age yangu kuzoena nae eti tuwe marafiki huwa ni kazi sana. Binafsi siwezagi urafiki na girls, nashindwa na huwa nashangaa sana me akisema girl flani ni rafiki yake.

Labda awe rafiki wa salamu tu na sy
Story chache lakini sio rafiki ile kindakindaki ambae tunapasiana mishe na michongo na kuambiana changamoto na mitikasi ya kutusua.
 
ila unajua kwa ss nyie mko wengi sana!kuna ambao wapo wana-hang hang ss kwakuwa hatuwajui kwa kuwaangalia inabid tutupe ndoano kwenye kila fursa[emoji16] tutakayebahatika kumnasa ndo huyohuyo
Jifunze kuheshimu kila mtu inawezakuwa ndiyo Mlango wa kutokea...
 
Naona mnachanganya Kati ya partnership na biashara za kawaida.
Mfano mwanamke anavotoa order za mapochi kutoka china mpaka hapa Tanzania, anakuwa anatuuzia sisi maretailers, hiyo ni biashara na hata namba yake unaweza ichukua Kwa ajili ya kujua mizigo kama imefika tayari.
Ila Business partnership ni tofauti kabisa, ndo maana Zuckerberg wakati anaianzisha kampuni ya Facebook, hakumshirikisha mwanamke ata Moja, wakati katika Chuo Kikuu Cha Havard walikuwepo wanawake ila hakuwashirikisha, Bill Gates alishirikiana na rafiki yake wa kiume, Elon Musk ametembea na mfanyakazi wake wa kike mwenye cheo kikubwa ofisini, yaani mwanaume anahitaji power na ni nature, hakuna partnership ya kibiashara Kati ya mwanaume na mwanamke kwasababu ya hiyo power factor.
Leo hii hata Mimi ntaprefer nifanye kazi ya kuanzisha kampuni na mwenzangu kuliko mwanamke kwasababu wanawake wengi wasomi Wana tendency ya kutaka aweze kuhusishwa katika Kila kitu.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Binafsi naungana na wewe kukemea tabia ya kutongoza kupitia namba ya simu.
 
Remember one thing: Hawa ambao tunawasema vibaya ndiyo hawa wametuzaa, ni mama zetu wadogo, shangazi zetu, binti zetu, dada zetu, wake zetu, wakwe zetu, walimu wetu n.k

Ni wanaume wangapi zipu za suruali zao zimeharibika KITABU NA HAZIFUNGI TENA...

unasemaje mnavyojikuta mnalawiti watoto wadogo, mnabaka na kutembea na wanafunzi...

Na Vitoto vinavyolawitiwa navyo UNASEMAJE???
Hata awe nani mwanamke ni mwanamke tu mkuu, sijui awe profesa sijui waziri as long as ni mwanamke Kuna sehem tu Kuna shida tena shidaa kubwaaa

Kuhusu wanaume kutongoza hovyo ni wenyewe mnaweka hayo mazingira, mtu unamchokonoa tu kidogo unaona huyo anajaaa sasa unamwachaje?? na mda mwingine mtu anatongoza kama tu masihara unakuta limwanamke linakubali khaaaa!!

Kuhusu kulawiti watoto hivo vitu vinafanywa na watu wenye matatizo ya akili hata kama huyo mtu ni mwalimu au daktari, mwanaume ambaye kichwa yake inafanya kazi vizuri hawezi fanya huo ujinga.
 
Ila kuna baadhi ya wanaume wana msimamo sana.Niliwahi safiri na binti mzuri kwelikweli siti moja toka Mbeya to Arusha ,sikuomba namba wala kumzoea zoea zaidi ya kumkaribisha biscuits, zabibu baasi.Mpaka tunafika Magugu kuelekea kufika Arusha ikiwa ni usiku aliniuliza mambo mengi sn.Ilikuwa mimi na earphones [emoji442] tu.Hadi tunafika stand yeye ndo aliomba namba nikampa na alifunguka mengi vile alijisikia vibaya kwa mimi kuwa sina time naye.

Nadhani ni nature ipo baina yetu ktk hilo la kutongozana,so usiumie na kukwazika mleta mada.
 
Unazungumza tu, usikute ofisini kwako una bosi mwanamke!!! Au umesahau Rais wa nchi Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ni mama....
Wewe umeambiwa madili, unaleta mambo ya uboss. Nanikakwambia madili yanahusisha uboss, huu sindio kuleta usuperiority. Madili wanafanya watu washkaji wenye kuthaminiana, sasa uboss ndio ushkaji. Wanawake pesa au cheo mkipata zinawasumbuaga[emoji23][emoji23][emoji23], kweli ushindwe kufanya hayo madili na wanawake wenzako ndio uende kwa wanaume kwanza. Msaada na biashara na mwanamke ni kujichimbia kaburi, maana madeni tu hamkopeshagwi kwasababu hata pesa uwe nayo hamlipi.
 
Hii ni excuse tu ILA KUNA BAADHI YA WANAUME ni shiiida, Uchumi wa Tanzania unakuwa wanawake wengi wamesoma, wengi wanashikilia nafasi mbalimbali, wengi wana biashara mbalimbali na wengi wana vipato HIVYO NI KOSA KUBWA KUMFIKIRIA MWANAMKE WA SASA WA TANAZANIA SAWA NA KARNE YA 20!!!!!

Mwanamke wa leo unaweza kushirikiana NAYE kwenye mambo chanya na yenye TIJA!!! Ila ukiwa na mawaza ya kumwona kila mwanamke kama sex toy ujuue unaweza ukawa unajifungia fursa mbalimbali mwenyewe bila kujijua!!!!

Wenye TABIA hii badilikeni!!!
Mmesoma wengi bali hamjaelimika wote, wanawake wanatengeneza pesa zao ila kamwe hawapo tayari kutoa pesa zao kwakusaidiana na hata ukimkopa harudishi, wapo wachache sana. Vyeo ni dhamana tu, hakimdefine mtu, nahapo ndipo mnapojikweza ilihali ukiwa na mwanaume haupo tayari kulea famili hata kwa mwezi 1 kama huyo mwanaume katetereka. Ukiacha wa ofisini, hao wafanyabiashara ni wachache wenye legitimate business, wengi mtaji wa biashara ni mwanaume awe mme au danga lake na huedesha kwa pesa izoizo za hao wanaume ila hayupo kushare faida na mwanaume hata siku 1. Kitu kinachoshangaza dunia mpaka leo, mwanamke huthamini pesa kuliko mwili wake[emoji23][emoji23]. Atafanya ngono ili apunguze kodi na apate pesa nyingi zisizo halali. Wewe waache wanaume wafanyavyo, hamsaidiki wala kufaa kuwa business partners maana ni wabinafsi mno.
 
Remember one thing: Hawa ambao tunawasema vibaya ndiyo hawa wametuzaa, ni mama zetu wadogo, shangazi zetu, binti zetu, dada zetu, wake zetu, wakwe zetu, walimu wetu n.k

Ni wanaume wangapi zipu za suruali zao zimeharibika KITABU NA HAZIFUNGI TENA...

unasemaje mnavyojikuta mnalawiti watoto wadogo, mnabaka na kutembea na wanafunzi...

Na Vitoto vinavyolawitiwa navyo UNASEMAJE???
Kuna mwanaume kakataa hiyo lawama, basi kubaliana na ukweli wenu. Mama kanizaa, lakini kamwe usifumbie macho kitu kisa unatetea jinsia fulani, ukiwacriticized hufi. Mbona wanaume wanatoa mbegu na hawajikwezi na wanakubali cticism kila siku, no gender is special dada yangu.
 
Back
Top Bottom