Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Mkuu kijana ameomba namna ya kuacha, lakini naona kama unamuongezea madini kwenye betting ..
 
😂😂😂😂😂 wewe unahitaji msaada mkubwa sana mkuu.
 
ndiyo hapo hapo nimesoma SAUT MALIMBE na ndiyo hapo nimejifunzia kubeti nikaliwa ada mwishoni mwishoni mwaka wa 3 na final exam (UE) ya second semester nikanyimwa sikufanya coz sikumaliza ada
 
Legend🤠🤠
 
Duuh..we jamaa kiboko unasifa zote za kuwa rais wa chaputa😂😂😂
 
😂😂😂
 
Hapo ndio Utajua nyeto haiachwi, ni wengi tu ambao tukikubwa na stress pakuzipungizia ni kwenye nyeto na wakat huo sio kwamba demu huna yani wapo kama Mia nane nikitendo Cha kupga cm lkn unajikuta tu umeshajitafuna mwenyewe
 
Aisee nikweli mkuu. Nilijikaza siku mbili tuu, tokea jana nimerudi mule mule kwa kasi ya 4g. Kweli punyeto ni mpango wa Shwetani.
 
Huu uzi sio wa kucheka ila nimecheka kinoma..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…