Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu


kama umesoma vizuri uzi wangu nimesema "nishajaribu mara kadhaa kuacha ila najikuta ni kama nimepumzika tu narudia tena".

sim janja simerahisha mambo, naweza beti nikiwa kwenye gari, nikiwa nacheza bao, nikiwa kazini, nikiwa kanisani popote pale cha msingi tu nna sim ya ku access internet, kwa hiyo hakunaga eti kuna mda maalumu natenga kwa ajili ya kubeti
 
Wakuu nje kidogo ya mada, hivi punyeto Ina uhusiano wowote na mtu kuchelewa kukua ( delayed growth) ?? ..

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Chai ya moto sanaaaa, Wanaume wengi tushawahi piga punyeto ila mara nyingi bao moja tu, kwanza likishatoka utaki hata kuendelea...huyu nane, nimesoma nikasema hiiiiiiiiiii hahahah
Niliendaga kusoma mbeya miaka ya 2010 nilikua najamaa flani ivi wote tulitoka mkoa mmoja. Skumoja jamaa alipatwa nakizunguzungu akaanguka gafla baada ya kupewa huduma yakwanza jamaa akasema alikua kashapiga 12 kwa sikumoja
 
Dah....nimepitia uzi wako zaidi ya mara 100.....nukta kwa nukta.... Sijaona tatizo lolote...[emoji2960]
 
Pole sana kijana. Ushagundua tatizo fanya jitihada kuliacha
 
Niliendaga kusoma mbeya miaka ya 2010 nilikua najamaa flani ivi wote tulitoka mkoa mmoja. Skumoja jamaa alipatwa nakizunguzungu akaanguka gafla baada ya kupewa huduma yakwanza jamaa akasema alikua kashapiga 12 kwa sikumoja
Huyu anastahili angalau ukurugenzi wa kanda mojawapo za CHAPUTA [emoji16][emoji16]
 
Niliendaga kusoma mbeya miaka ya 2010 nilikua najamaa flani ivi wote tulitoka mkoa mmoja. Skumoja jamaa alipatwa nakizunguzungu akaanguka gafla baada ya kupewa huduma yakwanza jamaa akasema alikua kashapiga 12 kwa sikumoja

12 hata mimi nimewahi kupiga, hasa ukiwa frastratated ukaongeza na viji hasira kidogo mbona utaziona ni kama tatu tu
 
Dah kumbe tupo wengi...yaani mie mbususu kila nikijaribu kuacha aah wapi utam utam unaniita tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…