Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

nacheka bro coz vitu vinafurahisha kuna siku nimeliwa ada nikauza iphone.yangu.nicheze.spin. pia.nikaliwa nadaiwa mpaka leo

Teh..teh...teh...siku nikifanikiwa kutoka kwenye huu uraibu basi nitaenda kumtolea MUNGU shukrani ya pekee kanisani.

Afadhali wewe unaliwa unatulia, mimi nikiliwa dau kubwa nakuwa frustratated najifungia geto nacheki porno na kupiga punyeto hata masaa 10 mpaka nisahau pesa niliyoliwa.
 
niko pia nishajaribu kuacha ishashindikana kamari imekua sehemu ya maisha....punyeto pia

Mkuu kauli ya kusema "imekuwa sehemu ya maisha yangu" nishaisema sana kuashiria kuwa nimekubaliana na matokeo nitaishi ivo.
Lakini pamoja na kuwa nipo kwenye uraibu huu kuna mda akili inazinduka na kujielewa kabisa kuwa nafanya mambo ya ajabu na najizatiti kabisa kuwa naacha sitaki tena,lakini najikuta tu nimo.
Mara kumi hata ningekuwa napga punyeto bila kubeti maana pesa niliyopoteza kwenye betting ningesha jenga nyumba sahivi.
 
Habari zenu wakuu,

Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi ?

MOJA :KUBETI MPIRA ; Nilianza kubet mwaka 2016 kwa sh 500 tu lengo kutafta walau kutafta hela ya vocha tu kila siku ila leo hii 2021 naweka hadi laki 2, 3,5 mpaka 8 na mikeka inachanika na lengo siyo kutafta tena hela ya vocha bali imekuwa kutafta hela ya maisha,MUNGU nihurumie maana kuna mda naliwa hela nyingi hadi natamani kujiua lakini ghafla najikuta napumua nakuzinduka tena.

MBILI : PUNYETO ; Hii ndo huwa sehemu yangu ya kupunguza machungu baada ya kuliwa hela kubeti.yaani naweza weka laki 5 nikishaliwa naweka GB 3 kwenye simu najifungia geto nacheki video za ngono na kupiga punyeto tu kwa siku nzima najikuta nimepiga goli 8 hadi 12 hadi miguu inaishiwa nguvt nashindwa hata kusimama na nakojoa matone siyo nyege tena.

TATU : UONGO ; Hii imesababishwa kwa kiasi kikubwa na kubeti, pesa ambayo ningewapa wazazi wangu wafanyie mambo ya msingi najikuta nimebetia imeliwa kwa hiyo naanza kutunga stori za kiwango cha digrii ili tu nieleweke ingawa haisaidii kitu maana mwongo mwisho wa siku huumbuka tu.

NNE NA MWISHO : KUTOMCHA MUNGU ; mara kadhaa nimekuwa nikiamini kuwa nikimcha mungu katika usiriazi basi sitabeti,sitapiga punyeto na sitadanganya, lakini nako nashindwa, natubu nakaa wiki moja kama sina hela nauza hata kitu ndani kama sabufa hivi hela nabetia naliwa yote narudi kupiga punyeto kujipoza machungu ya kwa kifupi najiona nna maisha mafupi kwa uraibu wa hizi tabia nilizo nazo .
Pole Sana boss Lakin nawaza labda unaapply apa Hyo Tabia ya tatu😁😁
 
Mkuu kauli ya kusema "imekuwa sehemu ya maisha yangu" nishaisema sana kuashiria kuwa nimekubaliana na matokeo nitaishi ivo.
Lakini pamoja na kuwa nipo kwenye uraibu huu kuna mda akili inazinduka na kujielewa kabisa kuwa nafanya mambo ya ajabu na najizatiti kabisa kuwa naacha sitaki tena,lakini najikuta tu nimo.
Mara kumi hata ningekuwa napga punyeto bila kubeti maana pesa niliyopoteza kwenye betting ningesha jenga nyumba sahivi.
Njoo pm tuyajenge
 
Aisee..!! Pole sana mkuu
20210711_200530.jpg
 
не сдавайся....борись с этим

не позволяй этому загрязнять тебя

Wewe ni Vladmir ( of great power)
 
Habari zenu wakuu,

Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi ?

MOJA :KUBETI MPIRA ; Nilianza kubet mwaka 2016 kwa sh 500 tu lengo kutafta walau kutafta hela ya vocha tu kila siku ila leo hii 2021 naweka hadi laki 2, 3,5 mpaka 8 na mikeka inachanika na lengo siyo kutafta tena hela ya vocha bali imekuwa kutafta hela ya maisha,MUNGU nihurumie maana kuna mda naliwa hela nyingi hadi natamani kujiua lakini ghafla najikuta napumua nakuzinduka tena.

MBILI : PUNYETO ; Hii ndo huwa sehemu yangu ya kupunguza machungu baada ya kuliwa hela kubeti.yaani naweza weka laki 5 nikishaliwa naweka GB 3 kwenye simu najifungia geto nacheki video za ngono na kupiga punyeto tu kwa siku nzima najikuta nimepiga goli 8 hadi 12 hadi miguu inaishiwa nguvt nashindwa hata kusimama na nakojoa matone siyo nyege tena.

TATU : UONGO ; Hii imesababishwa kwa kiasi kikubwa na kubeti, pesa ambayo ningewapa wazazi wangu wafanyie mambo ya msingi najikuta nimebetia imeliwa kwa hiyo naanza kutunga stori za kiwango cha digrii ili tu nieleweke ingawa haisaidii kitu maana mwongo mwisho wa siku huumbuka tu.

NNE NA MWISHO : KUTOMCHA MUNGU ; mara kadhaa nimekuwa nikiamini kuwa nikimcha mungu katika usiriazi basi sitabeti,sitapiga punyeto na sitadanganya, lakini nako nashindwa, natubu nakaa wiki moja kama sina hela nauza hata kitu ndani kama sabufa hivi hela nabetia naliwa yote narudi kupiga punyeto kujipoza machungu ya kwa kifupi najiona nna maisha mafupi kwa uraibu wa hizi tabia nilizo nazo .
Tunafanya yote lakini sio kwa kiwango chako
1) Kubet ..nimebeti tangu 2011 mwanzoni na nimejenga Nyumba na nimeoa
2) Punyeto ..hakuna mwannaume hajafanya hilo Ila bao mpaka 12 we komesha tunapigaga vya hamu kimoja kiwili tena sio mara kwa mara unahotaji Tina
3) Uongo huo ni wazi ni ujinga wako kanuni za kubeti moja wapo inasema "bet what u can afford to loose " .. Bet kile ambacho ukipoteza hauna hasara wala sononeko
4) Kumcha Mungu ... Ni we we na Mungu wako siwezi ongelea hilo
 
siku moja nilibeti nikaliwa laki 6 na 80 elfu kwa siku moja, na siku hiyo ndo mshahara ulikuwa umetoka na kabla sijanunua chakula ndani kodi ya chumba nadaiwa nikasema ngoja nibeti walau ifikike milion moja then ndiyo nifanye mahemezi, nilipe kodi na kufanya mengine madogo madogo, lakini kilichotokea nililiwa hiyo more than 600k bado sijaanza kulala njaa na kodi nadaiwa, nikarudi geto nikajifungia nikapiga magoti nikalia kwa uchungu nikasema "EE MUNGU NAOMBA PEPO LA KUBETI LINIPITE MBALI ".

Nikaingia you tube nikatafta clip ya pastor mmoja ili nitubu maana nikawa naona kusubiri jumapili kanisani ni mbali, nikaipata clip moja ya pastor anaitwa CHRISTOPHER MWAKASEGE akiwa anawaongoza watu toba na kuziungama dhambi zao, nikawa nawafatisha maneno alokuwa anayasema huku nikiwa nimepiga magoti kabisa geto,

Nikaapa kabisa sitorudia kubeti, lakini nilikaa siku 5 tu sijui shetani akatokea wapi nikauza redio na pesa yote nikabetia na ikaliwa kilichofata ilikuwa ni kupiga punyeto kupunguza machungu na msongo wa mawazo na ndiyo tabia yangu hadi leo, so natamani kabisa kutoka kwenye hiki kifungo lakini imefika muda roho yangu ndani inanambia kabisa kuwa siwezi tena kutoka, najikuta kama teja flani tu ivi
Shetani tokaaaaaa kwa huyu mtu!
 
Tunafanya yote lakini sio kwa kiwango chako
1) Kubet ..nimebeti tangu 2011 mwanzoni na nimejenga Nyumba na nimeoa
2) Punyeto ..hakuna mwannaume hajafanya hilo Ila bao mpaka 12 we komesha tunapigaga vya hamu kimoja kiwili tena sio mara kwa mara unahotaji Tina
3) Uongo huo ni wazi ni ujinga wako kanuni za kubeti moja wapo inasema "bet what u can afford to loose " .. Bet kile ambacho ukipoteza hauna hasara wala sononeko
4) Kumcha Mungu ... Ni we we na Mungu wako siwezi ongelea hilo
Nafikiri wewe kanuni ya "kunywa kidogo ila usilewe" umeweza kuitendea haki.
Mimi nilichokosea ni nimekunywa nyingi alafu nikalewa na kulevuka imekuwa mtihani kwangu, nadhani umenielewa ni wapi nimekosea.
 
Back
Top Bottom