Tabia hizi nilizonazo naziona kabisa zikienda kufupisha maisha yangu

Chakula gani ukila mzeya unafika goli 12 na mie nianze kula ili nisasambhe mbususu vizuri

Kama unataka ule kwa ajili ya dem sawa ila kama ni kwa ajili ya punyeto never try utachubuka konga maana mimi nilichunika ngozi ya kongaa vibaya mno ila kwa sababu nilikuwa na hasira niliendelea kupiga hivo hvo bila hata kuhisi maumivu, maivu yalikuja badae sana nikiwa nishamaliza 12 tiari
 
Ah mie nilishajikubalia tuu kuzika pesa kwenye mbususu na mbususu ndio iliyonileta duniani na ndio itakayo niondoa duniani

Itakuwa we bado junior ndo maana unaona uendelee ukishafikia level ya u senior utatamani kuacha kama mimi
 
Mku kama umri unaruhusu vuta mama weka ndani, Majukumu yanaweza kukubadili tabia.
 
Wee weka hapa vyakula gani ili tukagegede vizuri
 
Ujambazi

Kuvuta sigara na bangi

Kununua malaya badoo halafu sio wote natumia kinga kwao


Unga nakula mara moja moja sio sana



Sisali kabisa msikiti nshasahau ulivyo

Kula wake za watu

Kubeti hasa virtual


Hivi wakuu nitatoboa kweli

Kama una bet na unakula mbona fresh ila kama hela ulizoliwa ni nyingi kuliko ulizokula basi tambua bado una hasara kama mimi, na pia kama unawekaga jero ama buku kwenye kubet hata ukiliwa huwezi kuwa na stress kama mimi ninae liwa 500k au 800k.

NB : yote uliyasema hapo ni chukizo kwa mwenyezi mungu,tukaze buti tuache
 

Asante kwa key point nzuri, nitaifanyia kazi
 
Daah pole sana mkuu, nilishajaribu kubet mara kadhaa nikaliwa so sina uraibu wa hicho kitu kabisaa labda nibet just for fun na sio kutegemea kwa 100%.

Mkuu kama una malengo jaribu kuipeleka pesa yako huko, inaonekana kubet kumeshakushinda iwekeze pesa yako kwenye biashara au hata kufungua fixed acxount ili tu usikae karibu nayo ukabetia.
Mimi ni mwanachama wa chaputa japo sio kama ww goli zote izo daah. Najua ugumu wa kuacha hii nadhani na wewe unaupitia kwa jinsi unavohangaika kuacha betting.
Wadau kibao wameshauri kuhusu kukaa mbali na mitandao kama shuuli zako hazihusishi sana mitandao kaa mbali na simujanja yako mkuu, kaa karibu na marafiki na madem zako.
 
Kubeti ni kama ulevi yaan kwanin usibeti pesa ndogo ndogo
 
Wakati mwengine hapo kwenye draft ndo anakuja bwege anatoa stori jinsi alivompiga muhindi jana
Sasa kwakua wewe unakua tayari ni mhanga msikilize tu lakini usimakinike nae tena kwa sababu hakuna usichokijua kuhusu betting na chukulia kama ni story za kufikilika tu wala hatakuathiri chochote.
 
Itakuwa hujanielewa upigaji punyeto wangu, nipo na porno movies ndani nimejifungia ndani kwam masaa 10 hadi 14 nisikojoe goli 8, huwa nakojoa hadi 12 sa kama sijapiga mda mrefu
Hakuna MTU mwenye uwezo wa kukojoa bao 12 kwa Siku 1 akabaki salama acha kutudanganya.
 
Kuangalia mpira hakuwezi kumpelekea MTU abeti hata Siku moja,cha mhimu tu ili ufanikiwe kuacha hapo kwanza kabisa punguza dau unaloweka kwa mkeka 1 japo kwa 90%,punguza mategemeo kwa 90%(yani kuanzia Leo jua ile ni bahatinasibu)Mpira unamatokeo matatu,hakuna team ambayo ni sure,usiwekeze ndoto zako kwenye kamari n.k natamani niendelee lakini ntaharibu biashara ambayo mi mwenyewe-------------
 
siku nikitoka kwenye hivi vifungo nitaenda kumtolea Mungu shukrani ya pekee

Mimi sehemu tunayotofautiana ni moja tu,hapo kwenye bao 12
 
NIMECHEKA KINOMAAA HAHAHA
 
Ujambazi

Kuvuta sigara na bangi

Kununua malaya badoo halafu sio wote natumia kinga kwao


Unga nakula mara moja moja sio sana



Sisali kabisa msikiti nshasahau ulivyo

Kula wake za watu

Kubeti hasa virtual


Hivi wakuu nitatoboa kweli
virtual hutoboi
 
Mkono mkavu goli 8? Hata mate hupaki?
 
Punyeto mbona rahisi kuacha tafuta mademu ika nao visirani unaweza ukasema bora punyeto maana Kaswende,kisonono na Ngoma hupati wala hutakuwa na wasi nazo japo nayo no dhambi balaa. Kubeti hata ukiomba huachi labda uamue tu kuacha naachaga hata mwezi ila baadae narudia kidogo ila naona ushindi mbele, Uongo du mimi nisiposemq uongo naona siko sawa ila nimeona ni maisha ya kawaida almradi sisemi uongo usio na sababu.

JAMBO LA MSINGI NA LA SEKONDARY NI KUJUA JEHANAM IKO NA MOTO UNATUSUBIRI TUKACHOMWE HAYO MENGINE YASIKUSUMBUE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…