Dah...hamna tatizo....wenzako wanaliwa laki 5 na madem halafu wanaishia kupiga bao 2 tu na kupewa virus...sasa wewe bao 12 zenye usalama unalalamika nini?...duuh....tatizo lipo mkuu tena kubwa mno
Duuh...hii ngumu kumeza ni sawa na kunambia niko sahihi na niendelee tu.Dah...hamna tatizo....wenzako wanaliwa laki 5 na madem halafu wanaishia kupiga bao 2 tu na kupewa virus...sasa wewe bao 12 zenye usalama unalalamika nini?...
Hata uongo siyo ishu kivilee ....kuna watu mbona laif iko njema tu kwa sababu ya huu uongo unaotaka kuukimbia....tena wanadanganya hadharani....kwa vipaza sauti...mbele ya makamera ...akishawapiga saundi anaingia ndani ya viete...watoto wake wanaenda shule..... Sasa wewe ni nani unayetaka kuuacha uongo mdogo unaokupa hela ya mboga?
Swala la KUMCHA Mungu siyo ishu kivilee...ishu ni kuwa na IMANI ,[emoji2960]
Mkuu nimetamani nije kwenye pm yako sema ndo umeshanikata upepo kwa kunambia huwezi wasiliana na mimi maana huwa uko bize.Kama tatizo litakua la ki roho kulitatua kimwili hautoweza.
nimewai kua na tatizo la kamali wakati fulani tena wa stakes kubwa kubwa hizi sikupata chochote zaidi ya msongo wa mawazo na nikasema sasa ngoja nilitatue tatizo ili kwa kujua chanzo ni nini na linatatulika vp? Then nikapata majibu mengi ila moja na kubwa lililonifumbua macho lilikua la kiroho.
Mkuu nimetamani nije kwenye pm yako sema ndo umeshanikata upepo kwa kunambia huwezi wasiliana na mimi maana huwa uko bize.
Ila kwa uliyoyaandika naona kabisa unatiba ya asilimia 90 ya uraibu wan
We jamaa kama mimi aisee, umeniwakilisha vyema nikiona tu lost au not won lazima nijipooze kidogo.Habari zenu wakuu,
Hivi ninyi mliachaga vipi hizi tabia mbona mimi najiona kabisa maisha yangu yanaenda kuwa mafupi kwa sababu ya hizi tabia sugu ambazo zimenikumba mimi?
Mara moja moja virtual nawaoteavirtual hutoboi
Naliwa kuanzia 50k mpka 100k kwenye kubet sijawahi bet Zaid ya hapoKama una bet na unakula mbona fresh ila kama hela ulizoliwa ni nyingi kuliko ulizokula basi tambua bado una hasara kama mimi, na pia kama unawekaga jero ama buku kwenye kubet hata ukiliwa huwezi kuwa na stress kama mimi ninae liwa 500k au 800k.
NB : yote uliyasema hapo ni chukizo kwa mwenyezi mungu,tukaze buti tuache
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sanamu ajengeweGoli nane za nyeto? Man you need an award. Hii dunia kila mtu ana upumbavu wake, yaani i don't believe kwamba kuna mtu yupo so innocent kiasi kwamba hivi vidhambi vya kudanganya, kuiba, kutukana etc hana, achilia mbali zile kubwa kubwa!
Uzuri unatambua udhaifu wako, ufanyie kazi mzee!
Kumcha bwana husaidia kwenye self control maana Mambo ya duniani ukiyaendekeza ni anasa na mwisho kuangukia shimo la uharibifuNiliambiwa hili neno nikalifanyia kazi ikanisaidia
Mimi nilishaanza kupotea kuliko huyu mleta mada
Anasa zinatuaharibia future sana na kutupotezea muda
Kweli ukimcha Mungu ipasavyo mambo yanaenda vizuri.
Wewe umemudu at least haujaingia kwenye uraibu badoWe jamaa kama mimi aisee, umeniwakilisha vyema nikiona tu lost au not won lazima nijipooze kidogo.
Ila nachoshukuru mi naweza kaa mwezi nisibeti kabisa na stake yangu ya mwisho ni 10k.na hapo naweka 5k odds 3-4 mikeka miwili ikiliwa basi sio bahati yangu.
Japo nakili betting is not for everyone sema shortcut inatuponza vijana japo mi now nacheza kwa starehe machungu yanapungua kiasi na nyeto atleast kwa mwezi mara moja.
Ushauri wa bure kuna msemo maarufu wa betting unasema "Winners never give up and winners know when to stop".
Na huu mwingine wanasema " If you need money don't bet"
Maana yake kama unatafuta hela Kwenye betting huwezi toboa.Fanya kama for fun tu.Kwenye laki tano toa 10k is enough tu kama huwezi kuacha....na malizia kuna namna mbili za kutatua tatizo 1.Ni kulisolve hilo tatizo
2.Ukishindwa kulisolve basi ishi kuendana na hilo tatizo..All the best mkamalia mkuu wa serikali.
Kutoka kwa katibu mkuu wa betting Tz.
Hapa kwenye kipengele, unatubu alafu wiki moja ya pili roho inakwambia si u beti leo weekend timu ziko nyingi utakula tu.Kumcha bwana husaidia kwenye self control maana Mambo ya duniani ukiyaendekeza ni anasa na mwisho kuangukia shimo la uharibifu
Nabeti tangu 2012 niko form onewewe umemudu at least haujaingia kwenye uraibu bado
Umenitia moyo ila hujanionesha hatua za kuachana na hizi tabia zinazo niharibia future yanguVladmir Putina
Hadi hapa, naona kabisa upo kwenye uelekeo mzuri na ndio unafikia tamati aidha kwa ubaya au kwa uzuri.
Kujua kwamba unskosea ni jambo la muhimu sana, kutambua makosa yako na kudhamiria kuyaacha ni hatua ya kwanza.
Hata kama ila principle ya kunywa kidogo usilewe umeiwakilisha vyema. Mimi nimekunywa sana nikalewa ndio shida ilipoNabeti tangu 2012 niko form one