Half americanMm naongoza hasa nikiwa kwenye relationship iliyonishika😂😂😂😂 yaani Huwa Sina kias ni kukugongea calls muda wowote niwe mkweli😂😂
ila Kwa pipo zingine hapana Huwa sipig sana naweza hata nisifungue missed call hata siku 2 Tena namba ngeni ndio sizipendi
Wewe NI MASKINI WA AKILI HADI KIPATO. Huoni kama ni upumbavu uliotukuka kupuuzia missed calls? Mapenzi kwako ndo bora zaidi? Pumbav.Mm naongoza hasa nikiwa kwenye relationship iliyonishika😂😂😂😂 yaani Huwa Sina kias ni kukugongea calls muda wowote niwe mkweli😂😂
ila Kwa pipo zingine hapana Huwa sipig sana naweza hata nisifungue missed call hata siku 2 Tena namba ngeni ndio sizipendi
Siyo hawataki bughuza ni wapumbavu!Amina.Na waliojipata Mara nyingi hawataki bughuza
Au wamblock muhusika....au kumwambia ukweliSiyo hawataki bughuza ni wapumbavu!
Simu ina option ya kuweka vibration au kuizima kwanini wasitumie njia moja wapo wa hizo wakitaka kupumzika?pia zipo codes fulani fulani za kuweka ili line ionekane iko busy au inatumika kwanini wasitumie hizo?
Hapo kwenye mahusiano wengi wapo hivyo.
Wanakujaga kwa style yako 👆 maneno mawili unataka mtu akupigie story 🎧Em semaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilitaka ujue mapenzi Yana nguvu Sana....shauri yakoHapo kwenye mahusiano wengi wapo hivyo.
Huko kwenye kupuuzia missed call pagumu hapo, mimi hata nisipokutafuta siku hiyo nitakutafuta tu, huwa sipuuzii simu ya mtu.
Haiwezekani na mlivyo wengi hata kwa mafungu mafungu ntapata.😂🤣🤣🤣🤭 Utakufa mseja🤭
Kupata si tatizo....aliyembora sasa😔Haiwezekani na mlivyo wengi hata kwa mafungu mafungu ntapata.😂
🥰😘😘Ni maskini kweli Huwa natumia sana sms na whatsaap calls kuliko normal calls wengi tunawasiliana huko
Ila ikiita siachi kupokea ila missed call Huwa nj mvivu kufatilia ndivyo nilivo hata ukiniita mpumbavu haisaidii
Labda nirogwe ila sio 2+ missed calls.Nilitaka ujue mapenzi Yana nguvu Sana....shauri yako
🤣🤣🤣🤣🙌Labda nirogwe ila sio 2+ missed calls.
Kwahyo kwa kigezo cha ubora ndio nimpigie mtu mara 10? NeverKupata si tatizo....aliyembora sasa😔
Uko wapiiii.....Upo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu
Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake
Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusikiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.
Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.
Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.
Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu yako haipokelewi tulia, missed call moja au mbili zinatosha
Uzuri mmoja ni huo nna uwezo wa kuishi na mtu kwa namna anavyonitreat. Ukinitreat kwa 1 call nakutreat hivyo hivyo.🤣🤣🤣🤣🙌
Siku nyumba iungue haupo au mwanao ameze shoka utakuja kufuta huu uziUpo kwenye shughuli yeyote inayokunyima uhuru wa kupokea simu
Upo kazini busy na kazi kiasi cha kuepuka kupokea simu binafsi kwa sababu ni muda wa kumtumikia mwajiri ukihudumia wateja wake
Umeamua kuchukua muda wa kupumzika, umechagua kutokusikiliza yeyote ili uache akili yako ipate utulivu.
Kiufupi ni mazingira yeyote ambayo yanakufanya usipokee simu, kwa sababu una uhuru wa kutumia simu yako.
Lakini unakutana na mbongo ambaye hana kiasi. Yeye akili yake inamtuma akupigie simu mpaka upokee, anapiga simu hata mara 10. Ajabu ni kwamba hana hata jambo la dharura na kwamba angekupigia mara moja kisha baadae ukiwa free umpigie. Hata common sense tu ya kwamba ngoja niache sms imsaidie kujua kiasi kuhusu shida yangu.
Inakera sana kuona mtu anapiga simu nyingi mfululizo bila sababu ya msingi. Kama simu yako haipokelewi tulia, missed call moja au mbili zinatosha
🤣🤣🤣 Huyo mkeo ajae namuhurumia😔Uzuri mmoja ni huo nna uwezo wa kuishi na mtu kwa namna anavyonitreat. Ukinitreat kwa 1 call nakutreat hivyo hivyo.
Kwa bahati mbaya sinaga muda na mtu ambae ananipuuzia, i don't beg for someone attention in my life. Sorry kwa kujieleza sana😂
Kwanini?🤣🤣🤣 Huyo mkeo ajae namuhurumia😔
Hapana,sijamaanisha hivyo mkuuKwahyo kwa kigezo cha ubora ndio nimpigie mtu mara 10? Never
Umemaanisha vipi mkuuHapana,sijamaanisha hivyo mkuu