Tabia ya kupiga simu zaidi ya mara mbili inakera sana

Wewe NI MASKINI WA AKILI HADI KIPATO. Huoni kama ni upumbavu uliotukuka kupuuzia missed calls? Mapenzi kwako ndo bora zaidi? Pumbav.
 
Amina.Na waliojipata Mara nyingi hawataki bughuza
Siyo hawataki bughuza ni wapumbavu!

Simu ina option ya kuweka vibration au kuizima kwanini wasitumie njia moja wapo wa hizo wakitaka kupumzika?pia zipo codes fulani fulani za kuweka ili line ionekane iko busy au inatumika kwanini wasitumie hizo?
 
Uko wapiiii.....
 
Siku nyumba iungue haupo au mwanao ameze shoka utakuja kufuta huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…