Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Inakera Sana kakaHii sio kweli mkuu, mimi tangu siku nilipoanza kumiliki simu sijawahi kuwa napenda kupokea simu, mara nyingi huwa napendelea mtu anitumie SMS inayojieleza hususani ikiwa ni namba ngeni, mara nyingi nikiona mtu ananipigia simu zaidi ya mara mbili bila kutuma ujumbe mfupi huwa na assume hamna jambo la msingi hapo
Shangazii unayawezaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm naongoza hasa nikiwa kwenye relationship iliyonishika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani Huwa Sina kias ni kukugongea calls muda wowote niwe mkweli[emoji23][emoji23]
ila Kwa pipo zingine hapana Huwa sipig sana naweza hata nisifungue missed call hata siku 2 Tena namba ngeni ndio sizipendi
Em apiaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanakujaga kwa style yako [emoji115] maneno mawili unataka mtu akupigie story [emoji442]
Hizo missed call itakua ni za apps za mikopo.
Bado ni unafiki. Unayempenda utamrekebisha.Kweli, ila wakati mwingine ni woga wa kutotaka kumuumiza anayekupigia. Unakuta unampenda.
Eeh kama ulivyokereka ww mkuuKwa hiyo umekereka mkuu?
Wengine wanakwepa madeni.We umejipata mkuu ila sisi pangu pakavu tukiona simu inaita unashukuru Mungu..............
Ndo kinachonitokea sahv mtu umemwambia jana "subiri nione cha kufanya, ntakucheki" utafikiri ananidai hzo simu leo.🤣🤣🤣 Tena huyo mtu uwe umempromise pesa....aisee....utasanda🙌
KweliBado ni unafiki. Unayempenda utamrekebisha.
Kama sehemu hairuhusu?Mimi simu napokea muda wowote kama niko sehemu inayoruhusu.
Iwe namba ngeni ama niliyo nayo huwa siachagi kupokea simu
Wewe nae acha kujikuta special sana aseeee kama unaona wewe ni wa ivyo basi uwe unaweka simu silent na uifunike usione kinacho endelea mpaka utoke kwenye io sehemu yako ambayo hairuhusu lasivyo basi wewe itakua ni wale washamba anaweka mwito wa simu on kila simu ikiita inasikika alafu analalamika kua anapigiwa sasa kwanini usiweke silent ili umtafute badae .Kama sehemu hairuhusu?
Ushanichanganya tayari na hiyo emoji 😅It's me...Ivo usijichanganye😉
Na huu ndo ustaarabu.Wewe nae acha kujikuta special sana aseeee kama unaona wewe ni wa ivyo basi uwe unaweka simu silent na uifunike usione kinacho endelea mpaka utoke kwenye io sehemu yako ambayo hairuhusu lasivyo basi wewe itakua ni wale washamba anaweka mwito wa simu on kila simu ikiita inasikika alafu analalamika kua anapigiwa sasa kwanini usiweke silent ili umtafute badae .
Watu tunakua kwenye vikao nyeti na simu zikipigwa tunawajibu kwa sms kua tutawasiliana badae nk. Sasa wewe unajikuta special kinyama kumbe hola.
Kataa kubali ila itoshe kusema anatoka kanda ya ziwa ,sitaki kutaja kabila maana ni wajomba zangu 😀Hiyo Tabia anayo jamaa yangu fulani anakubip hata mara 4 na unakuwa busy na mambo mengine au muda wa maongezi unakuwa hakuna lakini yeye atabip tu. Akiona hauja repond atatafuta hata namba nyingine akupigie halafu hata analokwambia zaidi ya salamu tu au kuulizia jambo fulani aliloliona kwenye mtandao au kwenye group la whatsapp. Yaani huyu jamaa huwa simuelewagi sana halafu na amenizidi umri kama mwaka 1 na miezi mitano, na huwa namthamini sana kutokana na background yangu na familia yake.
Lakini kwenye simu hapo huwa ananikera sana