Tabia ya kupiga simu zaidi ya mara mbili inakera sana

Inakera Sana kaka
 
Shangazii unayawezaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama sehemu hairuhusu?
Wewe nae acha kujikuta special sana aseeee kama unaona wewe ni wa ivyo basi uwe unaweka simu silent na uifunike usione kinacho endelea mpaka utoke kwenye io sehemu yako ambayo hairuhusu lasivyo basi wewe itakua ni wale washamba anaweka mwito wa simu on kila simu ikiita inasikika alafu analalamika kua anapigiwa sasa kwanini usiweke silent ili umtafute badae .

Watu tunakua kwenye vikao nyeti na simu zikipigwa tunawajibu kwa sms kua tutawasiliana badae nk. Sasa wewe unajikuta special kinyama kumbe hola.
 
Na huu ndo ustaarabu.

Kuna watu wanapenda ustaarabu, lkn wao hawawezi kuuishi. Shwain
 
Huwa nakata simu na block hapohapo nikikumbuka baadae nita unblock na kujua ulikuwa na shida gani bila kusahau kukukumbusha kwamba kupiga simu mwisho ni mara mbili kama haijapokelewa basi mwenyewe hajaiona au hataki
 
Kataa kubali ila itoshe kusema anatoka kanda ya ziwa ,sitaki kutaja kabila maana ni wajomba zangu 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…