Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Kumbe shida ni hamu Jirani
 
Ukiwa busy na kazi zako wala hutakua na muda wa kuwaza kuanzisha ugomvi. #BeBusy
Sawa mpendwa..
Lakini there's no way out unaweza kuwa busy kiasi kwamba usipate nafasi ya kuwasiliana na mpenzio.!
 
Unajikuta Drama queen, kutana na niggas wanaoControl frame wakufunze tabia. They will punish your Bullshit.
Siwezi kutana nao IJN, shindwaa saitaani..!!
 
Nimesoma mada moja juzi humu jf nimejifunza kitu hiyo hali si ya kawaida nafsi yako imechukuliwa hivyo bac unakuwa unafanya vitu visivyo vya busara .omba sana mungu hiyo nafsi ikuondoke
Sawa mkuu, Nitaomba
Ahsante sana..!!
 
Hivi ulileta mrejesho kweli.?!
 
Poleni sana,
Kuna muda lazima tukubaliane kutokukubaliana, watu wote hatuko sawa jamani..!!
 
Omba mungu upate mwanaume wa kuweza kukuzibua kisawa sawa, atakusaidia kuacha hiyo tabia.

Nitakuzibua(In Mwaisa mtu mbad voice)
Haha..
Na napataga vijana romantique kweli..!
Unaambiwa nitakuzibua anaishia kuku kiss..!!

Jaby'z pita huku Mwaisa..!
 
Haha..
Na napataga vijana romantique kweli..!
Unaambiwa nitakuzibua anaishia kuku kiss..!!

Jaby'z pita huku Mwaisa..!
Mwanamke hapigwi kwa kumzibua, Anapigwa na kipigo ambacho kitamfanya ashindwe kutembea kesho yake.
 
Ukifanya hio prank yako ndo safi......
Nami unashangaa mara sms za michepuko nafowadi ....mara umepanda cheo imekuwa mke mkubwa mambo safi
 
Narcisstic personality disorder need constant attention and her his ego need to fed .Some people are sadist they enjoy to see people in pain ,some are serial killer ,some are histrionic sociopath ,
 
You may have ADHD or ADD
 
You need to go to a dr you have ADHD
 
 
we utakuwa mfupi,madem wafupi ndo tabia zao hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…