Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Ndiyo maana nimeuliza ili kama kuna namna ya kupunguza nifanye hivyo, I'll try my best akii.!
 
Haha..!
Nashukuru kuna mtu anaelewa ile namna, ukianza kugomba gomba siye ndiyo tunapata amani walaqhi'..!
 
Kwa hiyo from nowhere unajitungia ka ugomvi kako. Hapo sas umkute ambae si mtu wa kupanic haraka tofauti na hapo mtagombana kweli.
Vile najua I ain't serious huwa siruhusu ifike mbali sana..!
 
Hii kitaalamu inaitwa therapeutic conflicts,huchangia kuleta afya ktk mahusiano sometime!

Mimi ni shuhuda.
 
Ukae karibu na mimi unichokoze [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakushika ziwa nikiona hukomi nakushika Mbususu najua utaacha uchokozi na utakaa kwa kutulia

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Wakati unafanya hivyo unafurahi? Yaani mwenzako yupo kwenye panic mode wewe unafurahi, furaha yako ipo pale unapoona mwenzako kakasirika..hilo binafsi nahisi ni tatizo.

Je, mnaishi wote na huyo jamaa au ni kupitia calls na texts ndio unamfanyia hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…