Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Hilo ni tatizo.. wewe unaona utani mwenzio anachukulia serious. Hapo ndio wanaendaga kutafuta sehemu yenye Amani anapumzika zake... Binafsi sipendi mahusiano yenye malumbano nachefukwa haraka Sana.... Napenda mpenzi tupige story tuchekeee,tudisiscuss idea,tusengenye wananzengo Kiasi japo wanajitiaga hawataki umbea kumbe wanautaka Sana.... Achana na huo mchezo shosti
Huu unakuja wenyewe shosti si hata kupanga kwangu..! Ila anyway, I'll learn mpenzi...!
 
Could be but Asses Tabia zako,je zilichangia.
Sometimes ni ww na tabia zako but you are too blind to see that.
In the end utaishia kufukuza hata potential husband material in the name of "haikupangwa"
Punguza excuse , take a look at yourself kwanza before hujaingia next relation.
Ahsante sana kwa ushauri Bwana Detective..!!
 
Hizo nazo ni zile hamu tu zikianza kupanda na kushuka basi na wewe unakua mgomvi ghafla
muwe mnamaliza hamu za wenzi wenu,,,uzuri mimi wa kwangu anamaliza so sina sababu ya kumkasirisha,,,mimi nikiona amekasirika na mimi naumia

ila kiufupi kuna wale watu deep down wana roho mbaya bila kujijua,,,wakiona unafeli au unateseka ndio furaha yao,,mtoa mada labda yuko kundi hilo,,,aombe Mungu amsaidie kuondokana na hiyo tabia

ni mawazo yangu tu
 
One of my exes alikuwa na tabia kama hizo, sometimes umelala anakuchokoza halafu anakimbia nje, au anakukera tu bila ya kuwa na sababu maalumu. Its kinda sexy, mwanamke anayependa utani na masihara anakera lakini anavutia kwa njia ya kipekee.
Umenikumbusha mbali sana. Hahah...
ya kwake ni vise versa, huwa upande mmoja unachukia while mwingine unafurahia

sijapenda mimi namuombea Mungu ambadilishe
 
Sijui labda Wanaume tupo tofauti ila Mimi huwaga ni mwepesi sana wa Kumpotezea mtu yani Naweza kukupenda kufa lakini Ukileta drama za kifala na kunikosesha amani unaweza hisi sijawahi kukupenda kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sijui labda Wanaume tupo tofauti ila Mimi huwaga ni mwepesi sana wa Kumpotezea mtu yani Naweza kukupenda kufa lakini Ukileta drama za kifala na kunikosesha amani unaweza hisi sijawahi kukupenda kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee baba😂
 
Hilo ni tatizo.. wewe unaona utani mwenzio anachukulia serious. Hapo ndio wanaendaga kutafuta sehemu yenye Amani anapumzika zake... Binafsi sipendi mahusiano yenye malumbano nachefukwa haraka Sana.... Napenda mpenzi tupige story tuchekeee,tudisiscuss idea,tusengenye wananzengo Kiasi japo wanajitiaga hawataki umbea kumbe wanautaka Sana.... Achana na huo mchezo shosti
Mwanaume anakaa mahali anapopata PEACE OF MIND yani hata uwe na shape nzuri vipi na unajua kupika vipi pia Chumbani unaikatikia kama feni lakini dada mwanaume Humpi amani yani wew ni kumvuruga tu bhasi jua ipo SIKU ATAKUACHA bila taarifa.
 
Sijui labda Wanaume tupo tofauti ila Mimi huwaga ni mwepesi sana wa Kumpotezea mtu yani Naweza kukupenda kufa lakini Ukileta drama za kifala na kunikosesha amani unaweza hisi sijawahi kukupenda kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hata wanawake tupo Kama mlivyo wanaume, Sipendi kabisa Kero!!yaani nikiwa na mtu ananifokeafokea kila saa namshangaa Sana atachoona hapo Ni vumbiiii tu
 
Back
Top Bottom