Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,
Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,
Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.
Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).
Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,
Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.
Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).
Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.