Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

Huelewi chochote bro we baki tu kwenye siasa bungeni mtu akibanwa mkojo anaenda chooni.

Ushawahi ona hilo kwenye match? Je unajua wana manage vipi?
Hata VAR ilipingwa na bado kuna watu mpaka leo wanaipinga. Tusiishi kwa kukariri.
 
Kama uzi tu unakutia kinyaa, vipi ukiwa ya screen huku mchezaji anatema mate kama swila?
Eti swila🤣🤣🤣

Mkuu swala la kutema mate haliepukiki lakin inapaswa pia kuandaa mazingira Rafiki yakutemea mate
Lkn Kila nikifikiria ikiwa mnashambuliwa golin na ww mate yamekujaa mdomono 🤔sijui utaenda kukaba au utaacha mshambuliwe huku ukitafuta disturbing yakutemea mate?
 
Eti swila🤣🤣🤣

Mkuu swala la kutema mate haliepukiki lakin inapaswa pia kuandaa mazingira Rafiki yakutemea mate
Lkn Kila nikifikiria ikiwa mnashambuliwa golin na ww mate yamekujaa mdomono 🤔sijui utaenda kukaba au utaacha mshambuliwe huku ukitafuta disturbing yakutemea mate?
Disturbing = dust bin?
 
Eti swila🤣🤣🤣😀😀

Mkuu swala la kutema mate haliepukiki lakin inapaswa pia kuandaa mazingira Rafiki yakutemea mate
Lkn Kila nikifikiria ikiwa mnashambuliwa golin na ww mate yamekujaa mdomono 🤔sijui utaenda kukaba au utaacha mshambuliwe huku ukitafuta disturbing yakutemea mate?

Kwa maelezo yako inaonyesha ww sio mpenzi wa denda
Sio denda tu, hata chumvini siungi mkono
 
Mleta mada ana hoja asikilizwe na FIFA! Basi kama hilo haliwezekani wawe wanaenda kusukutua na maji kule pembeni mwa uwanja wanatema huko huko na siyo ndani ya pitch! Hii huwa ni tabia tu mbona wengine huwa hawatemitemi hovyo?
 
Ndugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
Ila hajakataa kutema mate, nilivyomwelewa amesema watengewe sehemu au wateme kistaarabu
 
Kwanza Mwanaume kuona Kinyaaa UNAANZIA WAPI?

AU USHALEFT?

Mwanaume unaonaje Kinyaaa unaanzaje kwanza? Ukute we Mtoto wa MAMA SANA.
 
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,

Inaonesha hujawahi kabisa kusukuma gozi la ng'ombe...
 
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,

Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,

Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.

Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).

Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
Jaribu kufanya mazoezi rahisi ya nguvu ya kukinbua kwa muda wa msaa 2 ama matatu bila kupumzika
 
Back
Top Bottom