Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Hii issue hata wapagani hawapendezwi nazo.hovyo kabisa
unakuta vijana wanashindana kupaka losheni na kuacha vipaja wazi..uislamu hauruhusi huo ujinga
Hizi TABIA mmeanza Juzi tu,
Dar joto halijaanza Juzi.
Msisitiri wanaume wenzetu, Mnatia Aibu!!
Gym sikuizi ni center ya kueneza USHOGA.Hii tabia imeanza baada ya wale washinda vijiweni kuanza kwenda Jim kwaajili ya kutanua misuli ndio ujinga ulipoanzia wanajifanya wanaonyesha 6mbavu za mbwa
Ujue huko nyuma tulivaa hiviHizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
Haipo SHERIA inayokataza,We kumbe ni bogaz kabisa,hujui dsm ya leo sio ya zamani,kwa sasa utandawazi mkubwa na unafiki umeanza kuondoka miongoni mwa watu,kuvaa pensi si kosa.
Acha ubishiUjue huko nyuma tulivaa hivi
View attachment 2884976
Hakiiiika
Haipo SHERIA inayokataza,
Mm naongea na wanaume wenzangu turudi kuangalia Maadili.
Pensi navaa aisee tena vizuri tu na mwili ni wa kawaida halafu mbona watu wanavaa na wanakuwa poa kabisa
Ok lete reference fasta, picha, video, links etc, otherwise ni imani yako tu na utunzi najua kila mbongo msanii siku hizi!
Hizo pensi wanavaa wastaarabu nadhani tunazungumzia vile kama wapo swimming pool wahuni sio watu...Tatizo ni vipensi vya kuaachia mapaja ila hii niambie inashida gani mtu katoka na familia yake
Hii ilikuwa ukoloni ulipokuja uhuru alipiga marufuku mila za kuangaliana mapajaNyerere mwenyewe alikuwa anavaa pensi wkt anafundisha Pugu, waalimu, askari polisi, magereza, matarishi, na wengine walivaa kaptula kama hawa maafisa wa mwanzo post independence, zipo chini au juu ya goti?
madc wote uniform zao zilikuwa kaptula! View attachment 2884982
Mikono wazi, kaptura pale kariakooo. Inataka moyo mnooSalaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Ndo utaje tujue. Si unajua sisi bado watotonafikiri umeelewa ninachomaanisha acha ufukunyuku nitaje hayo maungo
nb
bora ulivyopewa hizo spoko maana ungeongeza idadi ya wavaa vipensi