Tabora United ndio hii iliyocheza na Yanga mpira wa nguvu na akili nyingi pale Dodoma ama ni wengine hawa?

Tabora United ndio hii iliyocheza na Yanga mpira wa nguvu na akili nyingi pale Dodoma ama ni wengine hawa?

Wachezaji wakipataga mapunziko tu kidogo fitness yao lazima ishuke sana hasa hawa wa timu za madaraja ya kati.

Wasingepata likizo huenda ubora wao ungekuwepo.

Hata hivyo kila match ina mipango yake. Waobsio wa Kwanza kufungwa
 
Tabora united ya Leo ni Nini kimewapata?

Ni wenyewe Hawa waliocheza na yanga pale Dodoma kwa kukamia kweli kweli kiasi Cha kwamba tukawapa 5 kuwa watafanya vizuri sana msimu huu lakini nilichokiona Leo pale Aly hassani mwingi stadium ni kichekesho Cha kufungia mwaka!

Wamefungwa magoli mepesi sana, wamezuia vibaya, kipa Noble aliyekuwa anaonekana ni makini Leo kawa tofauti kabisa kafungwa magoli ambayo ni aibu kuruhusu kipa Kama yeye!

Nafikiri Kuna mipango michafu imefanyika kwenye mechi ya Leo ambapo biashara ilishafanyika kwa wachezaji na timu nzima!
Aina ya uchezaji wa Tabora Leo na ukiangalia mechi zao nyingine utabaki mdomo wazi!

Wao waendelee kufanya biashara kitachowakuta mbele ya safari watasimulia, kuuma meno kwenye mechi nyingine na kutoa sandakarawe kwa wengine unakuwa unajitengenezea anguko ambalo alitokuacha salama!

Na Simba pia wajiangalie vizuri kurahisishiwa kazi na kushinda kwa mipango aijengi timu yako zaidi ya kukudidimiza maana autojua MAPUNGUFU yako ni yapi matokeo yake utakumbana na wenzako wasiopokea bahasha utadhalilika na ukipigwa 5 nyingine ndio mtaanza kutafutana na kufukuzana mkiamini mnayo timu Bora kumbe ilikuwa inashinda kimipango mipango!

Tabora united mmejidhalilisha sana na namna matukio yalivyokuwa yanafanywa na wachezaji ilionyesha dhahiri Kuna maigizo kwenye mechi ya Leo!

NB NASIKIA MMILIKI NI BWANA ISMAIL ADEN RAGE KAFANYA KAZI YAKE KIUFASAHA ANASTAHILI PONGEZI!

TUNASUBILIA KIWANGO KAMA HIKI HIKI DHIDI YA AZAM PALE CCM KIRUMBA MWANZA!
Pole Kwa maumivu aseehh too personal

JamiiForums mobile app
 
Tabora united ya Leo ni Nini kimewapata?

Ni wenyewe Hawa waliocheza na yanga pale Dodoma kwa kukamia kweli kweli kiasi Cha kwamba tukawapa 5 kuwa watafanya vizuri sana msimu huu lakini nilichokiona Leo pale Aly hassani mwingi stadium ni kichekesho Cha kufungia mwaka!

Wamefungwa magoli mepesi sana, wamezuia vibaya, kipa Noble aliyekuwa anaonekana ni makini Leo kawa tofauti kabisa kafungwa magoli ambayo ni aibu kuruhusu kipa Kama yeye!

Nafikiri Kuna mipango michafu imefanyika kwenye mechi ya Leo ambapo biashara ilishafanyika kwa wachezaji na timu nzima!
Aina ya uchezaji wa Tabora Leo na ukiangalia mechi zao nyingine utabaki mdomo wazi!

Wao waendelee kufanya biashara kitachowakuta mbele ya safari watasimulia, kuuma meno kwenye mechi nyingine na kutoa sandakarawe kwa wengine unakuwa unajitengenezea anguko ambalo alitokuacha salama!

Na Simba pia wajiangalie vizuri kurahisishiwa kazi na kushinda kwa mipango aijengi timu yako zaidi ya kukudidimiza maana autojua MAPUNGUFU yako ni yapi matokeo yake utakumbana na wenzako wasiopokea bahasha utadhalilika na ukipigwa 5 nyingine ndio mtaanza kutafutana na kufukuzana mkiamini mnayo timu Bora kumbe ilikuwa inashinda kimipango mipango!

Tabora united mmejidhalilisha sana na namna matukio yalivyokuwa yanafanywa na wachezaji ilionyesha dhahiri Kuna maigizo kwenye mechi ya Leo!

NB NASIKIA MMILIKI NI BWANA ISMAIL ADEN RAGE KAFANYA KAZI YAKE KIUFASAHA ANASTAHILI PONGEZI!

TUNASUBILIA KIWANGO KAMA HIKI HIKI DHIDI YA AZAM PALE CCM KIRUMBA MWANZA!
Pole. Unateseka ukiwa wapi?
 
Makosa yanaendana na uhalisia sio makosa ya kiboya vile Kila wakati makosa yako upande mmoja tu? Kwani mpira umeangalia peke yako? Makosa Aya yametokea kwenye mechi ya Simba tu Leo mechi nyingine zote makosa ayatokei sio?
Kunywq vidonge ni vikubwa havipiti kooni kwako!
 
Mawazo ya kijinga sana haya ktk soka.

Barcelona, Bayern Munich, PSG, Liverpool, Real Madrid, Manchester United, Manchester City, n.k huwa zinafungwa na vitimu vya hovyo mpk unamshangaa. Huo ndiyo mpira.

Yanga ilifungwa na Ihefu, kulikuwa na biashara??
Na ikafungwa tena na Kagera Sugar
 
Ila tuseme ukweli Mechi ya Tabora na Simba iliboa sana.
Tabora hawakuwa katika ubora wao hata japo kidogo.
Angalia Mechi ya Mashujaa na Simba. Ilikuwa Mechi nzuri sana.

Tatizo Tabora waliwadharau sana Simba, na wakafanya maandalizi hafifu sana.
 
Tabora united ya Leo ni Nini kimewapata?

Ni wenyewe Hawa waliocheza na yanga pale Dodoma kwa kukamia kweli kweli kiasi Cha kwamba tukawapa 5 kuwa watafanya vizuri sana msimu huu lakini nilichokiona Leo pale Aly hassani mwingi stadium ni kichekesho Cha kufungia mwaka!

Wamefungwa magoli mepesi sana, wamezuia vibaya, kipa Noble aliyekuwa anaonekana ni makini Leo kawa tofauti kabisa kafungwa magoli ambayo ni aibu kuruhusu kipa Kama yeye!

Nafikiri Kuna mipango michafu imefanyika kwenye mechi ya Leo ambapo biashara ilishafanyika kwa wachezaji na timu nzima!
Aina ya uchezaji wa Tabora Leo na ukiangalia mechi zao nyingine utabaki mdomo wazi!

Wao waendelee kufanya biashara kitachowakuta mbele ya safari watasimulia, kuuma meno kwenye mechi nyingine na kutoa sandakarawe kwa wengine unakuwa unajitengenezea anguko ambalo alitokuacha salama!

Na Simba pia wajiangalie vizuri kurahisishiwa kazi na kushinda kwa mipango aijengi timu yako zaidi ya kukudidimiza maana autojua MAPUNGUFU yako ni yapi matokeo yake utakumbana na wenzako wasiopokea bahasha utadhalilika na ukipigwa 5 nyingine ndio mtaanza kutafutana na kufukuzana mkiamini mnayo timu Bora kumbe ilikuwa inashinda kimipango mipango!

Tabora united mmejidhalilisha sana na namna matukio yalivyokuwa yanafanywa na wachezaji ilionyesha dhahiri Kuna maigizo kwenye mechi ya Leo!

NB NASIKIA MMILIKI NI BWANA ISMAIL ADEN RAGE KAFANYA KAZI YAKE KIUFASAHA ANASTAHILI PONGEZI!

TUNASUBILIA KIWANGO KAMA HIKI HIKI DHIDI YA AZAM PALE CCM KIRUMBA MWANZA!
Aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana,hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Back
Top Bottom