SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kwa maoni yangu, naona ni Upumbavu na Upuuzi kumchukua 'Mtangazaji' anayepikiwa kila kitu, yaani kwamba hahusiki na na lolote lile,Kuanzia ukusanyaji wa habari mpaka matayarisho ya kipindi(editing,production etc) halafu ndie aje kuwa Mkurugenzi wa Chombo kama TBC ati kwasababu alikuwa akionekana kwenye luninga na alikuwa akifanya kwenye kampuni ya uingereza ya BBC! Huo ndio Ushamba wenyewe! Ndi Ulimbukeni 2.0
Tunawatafutia watu sifa ambazo kiuhalisia hawana, ni sifa za Kishamba Kuna tofauti gani na Kusema ati kwa sababu anajua King-eleza na amekuwa amebatizwa na anavaa kaptula na anakaa chumba cha ndani cha mkoloni basi ndie aje kuwa Kiranja wa wengine! This is a Stupidiest mentality on earth.
Sitaki kuamini bado tuna watu wamepumbazwa na bado wanataka kuendeleza kama sio kuchochea Ukoloni mamboleo. its Absurd.
Tunawatafutia watu sifa ambazo kiuhalisia hawana, ni sifa za Kishamba Kuna tofauti gani na Kusema ati kwa sababu anajua King-eleza na amekuwa amebatizwa na anavaa kaptula na anakaa chumba cha ndani cha mkoloni basi ndie aje kuwa Kiranja wa wengine! This is a Stupidiest mentality on earth.
Sitaki kuamini bado tuna watu wamepumbazwa na bado wanataka kuendeleza kama sio kuchochea Ukoloni mamboleo. its Absurd.