Tafakuri ya FaizaFoxy 9: Ushauri kwa Rais Samia, Dr. Hussein Mwinyi na Watanzania wote kuhusu Uchumi wa Bandari wenye tija

Wabunge wamepanga foleni ya Kitubio na Kubusu mkono wa Baba Mtakatifu Papa Francisco huko Vatican!
Unamaanisha nini ?!!!

Umewiwa na "conspiracy theories"?!!!

Tanzania si taifa la kidini....sisi ni wajamaa...ujamaa wa kiafrika...

Hivi haitoshi mkabaki na hizo imani za dini zenu makanisani na misikitini kwenu ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Bwashee nawe unayumba ?!!! [emoji1787]
 
Usiamishe magoli, mjadala hatutaki mkataba wa DP fullstop.
Siku nyingine koment ya maana kama hii iwe kwa herufi kubwa.saivi tumeanza na kuomba wazanzibar waachane na bandar zetu .wakilazimisha .tutaanza na suala la kuvunja muungano kwa nguvu 2 times hii
 
Leo ni siku nyingine ya kusomewa WALAKA huko makanisani!

Tusubiri viongozi na wananchi wausikilize kwa week ya pili sasa labda watatoka na kitu
Wasomewe mwaka mzima....

Mizizi ya taifa hili si ukatoliki wala uislamu....

Mababu zetu walimwaga damu zao kupigana Vita vya majimaji......hivi hawa watu wanaojifanya kuwa na hatimiliki ya nchi hii ni "mashooougeer"?!!!

Ni "wangeeeseeer"?!!!

Ni wagonjwa wa akili ?!!!

Wana grandeur delusion ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#Nchi Kwanza [emoji120]
 
Reactions: Ame
Babu yako ndiye aliyekusimulia ujinga huu nawe unataka tuwe wajinga ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kwa hiyo majangwa ya afrika kule Namibia ni waarabu waliokata miti ?!!!

Hivi shuleni mnakwenda kujifunza "kupakwa mafuta" ili mwende kaburini mkiwa "ngw'enyu" ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu bibi mswahili hakijui hata kile anachokijadili hapa, ndio maana sasa tunamuangalia tu anavyohangaika humu.
Lini walikaa wenye akili wakafanya "generalization" kuwa asili ya atokako mtu huweza kumdogosha IQ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Bagamoyo yenyewe inapakana na bahari, alafu ujenge bandari Unguja utapishe mzigo Bagamoyo baada ya kuingia gharama ya kujenga pango la chini kwa chini. Unaanza kwa kusema kwamba ushauri wa nia njema na marumbano ya vijigati vinne. Je, mwenzetu unatoka Zanzibar na unafurahishwa na hichi kinachoendelea? Hivi kuna mashindano kati ya bara na visiwani?
 
Kinacho wasumbuwa ni kwamba, fungu walilo katiwa wameisha gawana viongozi wetu na tunavyo endelea kupinga wanachanganyikiwa na hii imewakaa kooni. Utasitishaje wakati vya watu umekula?[emoji40]
Delusion...
 
Hata wewe ni "IQ" ndogo namna hii ?!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Tanganyika dola haipo...ilishazikwa kwa mustakabali mpana wa taifa hili.....ni mustakabali mpana haswa ambao akili yako haiwezi "grasping" hayo.....m

Eti Zanzibar ni nchi "jirani" [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Huheshimu ukweli na KATIBA pia unaiweka "msambweni" kiasi hiki ?!!!

Kweli mazwazwa hawaishi mitandoni.....

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji1787][emoji1787]
 
Kabla ya yote tutafute kiongozi wa taifa, Manake kwa sasa hatuna.
....huna kiongozi huko ndotoni uutako ?!!!

Wenzako tumeshaamka wewe unalimwaga "denda" tu hapo mkekani....[emoji1787][emoji1787]
 
MTU amesoma madrsa unategemea atakuwaje,kama sio kuandika pumba
Madrassa ni shule kwa kiarabu...

Umeatamia upumbavu kushindwa kujua kuwa hata neno "shule" ulitukuzalo si la kilatini ,kiingereza wala kiswahili bali "kijerumani"....

Hivi mlikwenda kukaa madawatini kujifunza "ushoouuugeeer"?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dunia ya soko huria inaangalia maslahi....iwe kutoka Italy ,Misri ama Arabuni.....

Hivi hujiulizi ni kwanini BRICS imeongezekewa WANACHAMA WAPYA 6?!!!!

Na wengine zaidi ya 40 kuomba kujiunga humo ?!!!!

Hivi mlikwenda kukalia "madawati" ili tu mjue matumizi ya "vilaaaaaaainiiiishii" halafu wakati wa kufariki muwe na "matuuunduuurrr" makubwa kila eneo la miili yenu ?!!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ningekuelewa kama ungeshauri tuwe na Tanganyika huru na Zanzibar huru, tudumishe ujirani mwema
Mpaka unakufa HAITOPATIKANA...

Usiwe mjinga....wakati babu zetu wakipambana na mjerumani Vita vya majimaji na kumwaga damu zao....si mababu wote wa nchi hii walituunga mkono....kwa hiyo TANGANYIKA haikuwa moja....haikuwahi kuwa moja hivyo utakavyo........

Hayati baba wa taifa alikuwa sahihi "kuifuta"....

Resty easy El Commandante JKN ,amen[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…