DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Oyaa mbona jengo limesimama vyema tu? Nauhakika mafundi wa mtaani hawana uwezo wa kunyoosha ukuta hivyo. Hapa kuna tatizo na walalamikaji.
 
Na kweli ila huenda jina la kiwanja na mjengo kafanya kama Hakimi.
Hata huyo mama ake atafuatiliwa, unadhani hii case inahusu Gold digger?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Boni analo hili.
 
Kuna watu wana roho za kimaskini jamani duuh hivi mtu unakuwaje na roho mbaya? mbona mimi siwezi kuumizwa na maendeleo ya mtu!

Kweli binadamu tunatofautiana!

Tafuta hela Mkuu ujenge na wewe lako.
Dear hapanaaa, hapa nakupingaaa watu wailoko huko kwa system wanatunyonya sisi wa chinii.

Mwanzoni nilikua nna mtazamo km wako. Ila lilipokuja kunikutaaa, nilibadili akiliii.

Wanyonge tunanyonywa had jasho, afu wao wana neemeka khaaah.
 
Kuna watu wana roho za kimaskini jamani duuh hivi mtu unakuwaje na roho mbaya? mbona mimi siwezi kuumizwa na maendeleo ya mtu!

Kweli binadamu tunatofautiana!

Tafuta hela Mkuu ujenge na wewe lako.
Umeelewa kilicholalamikiwa?
Ghorofa nne ilipaswa kuwe na bango nje la kuonyesha details za jengo. Wao wanaohoji usalama wao wapo sahihi, goba mwaka Jana limewahi kuporomoka na majirani wakafa
 
Kwanza TAKUKURU/Sekretariati ya Maadili waanze na huyu wamfanyie Lifestyle audit. Kulinganisha kipato chake na uwekezaji anaoufanya.

Huyu atakuwa kwenye kutengo ambacho anakamua rushwa sana kutoka kwa wafanyabiashara
 
Anapata wapi hela nyingi hivi?
 
Leo kwa kustaajabu sana, nimepokea meseji 4 kwa mpigo kutoka TRA eti wananiita ofisini nikakutane na meneja kuhusu kodi ya mwaka jana hadi juzi. Yaani haya majamaa kumamake wana nia gani na mimi? Niende ili wanikamue nichangie miradi yao binafsi? Huyu kijana kapata wapi pesa ya kujenga nyumba ya gorofa 4 kwa mshahara wa serikali? Halafu kwanini waniite ofisini wkt sina kampuni wala sina biashara yoyote niliyoandikisha kisheria?
 
Kwa Dar huu ni mtihani WA kwanza WA Mheshimiwa Mkuu WA Mkoa Chalamilla, hao polisi WA usalama waliongezwa mara kumi na Makonda, sasa ni Muda muafaka kuwapunguza Kwa kupangiwa Majukumu mengine, ila Rushwa ya Hawa Ndugu inatisha
Mwenye ile Video ya Makonda atuwekee hapa kuhusu polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ