Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu Bams , karibu mitaa hii uangalie kundi langu Elections 2015 - Tuko Vitani Tuna Wapiganaji Shupavu, Wapiganaji Makini na Watazamaji, Je! Wewe Uko Kundi Gani ?Hapo tumekupata. Kwa kweli mwenzetu huyu Mayala, anastahili kutujibu, ni ndege au mnyama? Maana si moto si baridi, haeleweki!
Sisi tuliomo humu ni sampuli ndogo ya waliopo nje ya JF. Unaweza kuelewa jamii yetu ilivyo kigeugeu.
Upinzani utatoka wapi wakati lile jinga lilibana watu wasifanye siasa ili libaki lenyewe milele lakini Mungu kalikomesha.Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.
Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.
Ona wakilamba asali
View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Hii mada inahusiana vipi na uchaguzi? Wewe kushindwa uchaguzi wa 2020 ndio iwe kelele kila siku? Hapa tunahitaji wapinzani wataokosoa makosa kama kioo cha jamii
Links ni rejea tuu ya tulisema nini na nini kikatokea ili tusiseme tena na tena kwa nini CCM inaendelea kutawala milele!.
Wewe umeita Maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi, mimi ninetumia jina la igizo la uchaguzi Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Sio lazima kutokea machafuko, Mama anabadili katiba, sheria na kuleta Tume huru ya uchaguzi , hivyo uchaguzi 2025 utakuwa uchaguzi huru na wa haki.
Jeshi letu ni Jeshi la Wananchi Wazalendo sio jeshi la mamluki.
Nakubaliana na wewe CCM itatawala milele.
P
Nashauri tujikite kwenye mada iliyopo mezani.
P
Kati ya vitu ambavyo serikali yetu imefanikiwa sana ni kuajiri Wazalendo jeshini. Mtu ukiwa ni mzalendo, you will always be mzalendo!.Machafuko pekee ndio yataleta katiba ya kweli ya wananchi. Tuendelee kuomba hivi hivi jeshi letu liendelee kuwa walendo kwa CCM, ila siku likiamua kuwa na uzalendo kwa nchi ndio utakuwa mwisho wa CCM.
Kwa ngozi ngumu tuu, hapa umefika, mamba atasubiri, labda Kobe!.Vumilia tu wakati tunakuweka sawa bro.
Bora wengine..Kama kikwete walipambana na upinzani lakini waliacha ukue..sio huyo ibilisi..Magufuli aliona mapema hakuna wapinzani wenye nia na maslahi ya wananchi wote ni wachumia tumbo ndio akaanza kuwashughulikia
Tanzania haingozwi na siasa za vyama bali dola!!!Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.
Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.
Ona wakilamba asali
View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Hayati Julius Nyerere alipotabiri kuwa upinzani wa kweli utatokea ndani ya CCM alitatabiri vyema kabisa maana mpaka sasa hakuna upinzani dhidi ya CCM pamoja na multiparty system kuanzishwa hapa nchini.
Leo hii wapinzani waliopo wapo kwa ajiri ya kujaza matumbo na kulamba asali huku raia wanaoteseka wakikosa watu wa kuwasemea shida na kero zao.
Ona wakilamba asali
View attachment 2596797
Ni wana CCM watakao kuwa na msimamo kama lilivyokuwa kundi la G55 miaka ya tisini. Wanatakiwa kukosoa na kusimamia maslahi ya taifa letu.
Alifanya utafiti wapi?.ila pia alipewa mamlaka na nani yakushughulikia wapinzani,maana hiyo sio kazi aliiyoiomba kwa wananchi na akaapa kwa katiba.Magufuli alikua dhaifu ndo maana aliogopa changamoto za wapinzani wake.Magufuli aliona mapema hakuna wapinzani wenye nia na maslahi ya wananchi wote ni wachumia tumbo ndio akaanza kuwashughulikia
Huu ni ukweli mchungu Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.labda ccm itatawala milele ndotoni mwako.
Wanafiki tu hawa.Nyie Si ndo mlikuwa mnafurahia JPM alivyokuwa anawashughulia akina mbowe?
Sasa mmekatwa mikia mnamkuukumbuka upinzani?
Wasaka fursa, teuzi na bahasha za kaki!Yaani umenena vyema kabisa. Tatizo ni hawa wananchi wanafiki, ndumilakuwili na wavizia fursa za madaraka hata kama ni kwa kumpamba shetani.
Wakati haki zinakanyagwa kwa kiwango cha kutisha, ndio wakati ambao akina Pascal Mayala na akina Idugunde walikuwa wanasema hakuna hata haja ya kufanya uchaguzi, Magufuli aendelee. Ni kipindi kilichokuwa kimejaa uharamia wa hali ya juu. Wakati akina Makonda wanateka, kutesa na kuua watu, Pascal Mayala alikuwa anasema eti siku Magufuli akiondoka madarakani, Makonda ndiyo awe Rais! Ebu fimikiria watu wa namna hiyo. Yaani Makonda apewe zawadi ya Urais kwa sababu ya kuongoza vizuri kikundi cha kuteka, kutesa na kuua watu.
Kwa watu wa namna hii, uhai wa wale waliokuwa wakiuawa na kupotezwa hauna thamani, wanataka muuaji aongezewa madaraka zaidi ili aue wengi zaidi.
Halafu leo utawasikia nao eti wanaongelea haki au siasa za upinzani, huo uhalali wanaupata wapi?
Kwani wapinzani sasahivi kipi cha maana mnafanya kutetea maslahi ya wananchi? zaidi ya kulamba asali na kumsema sema marehemu Magufuli kwenye mikutano yenuAlifanya utafiti wapi?.ila pia alipewa mamlaka na nani yakushughulikia wapinzani,maana hiyo sio kazi aliiyoiomba kwa wananchi na akaapa kwa katiba.Magufuli alikua dhaifu ndo maana aliogopa changamoto za wapinzani wake.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Aisee we ni asset ya Taifa!Mkuu Idugunde , kwanza naunga mkono hoja, na pili kwa idhini yako, naomba kulitumia bandiko lako kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Hii hali ya Tanzania kukosa upinzani imara wa kuweza kuiondoa CCM ndio sababu ya CCM kujirekebisha Kia uchao na kuendelea kutawala probably milele!.
P
- Mwana JF huyu aliposema hivi, mimi nilimbishia Je, CCM Itatawala Milele Au? lakini maisha wa siku nilikuja kukubali matokeo kuwa ni kweli Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
- Kwa Tazania upinzani ni Chadema hivyo toka ile 2010 tumekuwa tukiwaeleza humu CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! lakini hawasikii.
- Uchaguzi wa 2015 tukawakumbusha tena Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... lakini wapi!.
- Tukauliza humu Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
- Hivyo ile 2015 alipoingia mwamba, ni mabeberu ndio walianza kutueleza The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
- Hivyo sisi waalimu huru tukaingia kazini kwa kujitolea kufundisha upinzani. Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
- Tukauzungumzia Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..?
- Tukauliza Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
- Tukaizungumzia kai ya mwamba Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo
- Tukakizungumzia chama kikuu cha upinzani Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
- Tukayazungumzia baadhi ya mapungufu ya Chadema Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
- Tukaizungumzia ACT Wazalendo as an alternative party kwa opposition Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza
- Tukamuuliza Zitto Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
- Na baada ya Mungu kukifanya alichokifanya, sasa kuelekea uchaguzi wa 2025 Mama ameisha pindua meza, 2025 ni CCM tena, sisi waalimu washauri wa bure tumeisha shauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
- Na kwa Political projections zangu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
Unaijuaaa v8 weeeeweeeMkuu Idugunde , kwanza naunga mkono hoja, na pili kwa idhini yako, naomba kulitumia bandiko lako kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Hii hali ya Tanzania kukosa upinzani imara wa kuweza kuiondoa CCM ndio sababu ya CCM kujirekebisha Kia uchao na kuendelea kutawala probably milele!.
P
- Mwana JF huyu aliposema hivi, mimi nilimbishia Je, CCM Itatawala Milele Au? lakini maisha wa siku nilikuja kukubali matokeo kuwa ni kweli Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
- Kwa Tazania upinzani ni Chadema hivyo toka ile 2010 tumekuwa tukiwaeleza humu CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! lakini hawasikii.
- Uchaguzi wa 2015 tukawakumbusha tena Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... lakini wapi!.
- Tukauliza humu Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
- Hivyo ile 2015 alipoingia mwamba, ni mabeberu ndio walianza kutueleza The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
- Hivyo sisi waalimu huru tukaingia kazini kwa kujitolea kufundisha upinzani. Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
- Tukauzungumzia Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..?
- Tukauliza Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
- Tukaizungumzia kai ya mwamba Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo
- Tukakizungumzia chama kikuu cha upinzani Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
- Tukayazungumzia baadhi ya mapungufu ya Chadema Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
- Tukaizungumzia ACT Wazalendo as an alternative party kwa opposition Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza
- Tukamuuliza Zitto Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
- Na baada ya Mungu kukifanya alichokifanya, sasa kuelekea uchaguzi wa 2025 Mama ameisha pindua meza, 2025 ni CCM tena, sisi waalimu washauri wa bure tumeisha shauri Kama Upinzani unataka mafaniko ya kweli iachane na 2025 lengo liwe 2030
- Na kwa Political projections zangu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
Ye mwenyewe anatafuta line Alambe asaliWewe ni kuunga mkono tu maoni ya wenzako. Unaonaje ukiungana nao kuunda upinzani thabiti mnaoutamani kwa vitendo.