Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna upinzani Tzn labda ccm iwaonee hurumaNatafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Natafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani? Wanasiasa wapya watakuwa akina nani? [/
Natafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nan
Asilimia 60 ya majimbo yote nchini yatachukuliwa na upinzani...Natafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Mtapewa majimbo mengi tu ili mpate posho na ruzuku muache kelele...CCM wanajua kwamba njaa pia huchangia wingi wa kelele.Natafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Wanapiga hesabu za posho na ruzuku hao...hii miaka mi 5 ambayo hawako mjengoni njaa imewabamba sana...!Mnaota neema iliyo upande wa pili wa Mto, mnasahau kuwa Mto una mamba wakali wenye njaa na hakuna daraja.
Tusubiri.
Magu alikuja kutuonyesha aina ya WAPINZANI wa Nchi hii,Wanapiga hesabu za posho na ruzuku hao...hii miaka mi 5 ambayo hawako mjengoni njaa imewabamba sana...!
Ila yule mzee mwendazake kajua kuwaweka watu na njaa...[emoji1787]
Misungwi na Magu itoe. Kuna wasukuma hizo wilaya ni viazi toka dunia iumbwe haijawahi tokea 😄😄Mkoa WA mwanza majimbo yote yanaenda Chadema namanisha ILEMELA NYAMAGANA MISUNGWI KWIMBA MAGU UKEREWE NA SENGEREMA.
Uchaguzi huru siyo Jimbo Tu hata CCM inatoka kabisa madarakaniNatafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Jimbo la SUGU[emoji1787]Natafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Mbeya mjini ni mali halali ya Dr Tulia Acksoni Mwansasu.Hana mpinzani wala wa kushindana naye.Mbeya Mjini.Kwako Lucas mwashambwa
Mtemvu atafute kazi nyingine.Kibamba watu wana hasira
Kwa hiyo watu wakichagua upinzani ndiyo wanakuwa na akili?Vunjo, Moshi Vijijini, Moshi Mjini, Rombo, Hai na Siha mkoani K'Njaro lazima yatarudi upinzani kwani watu wa kule wanajielewa vyema. Sina uhakika sana na Same Mashariki/Magharibi na Mwanga kwani kule ni species ingine na bado kidogo u-zuzu upo.