Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

Idara za Aridhi na mipango miji.!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ongezea na TUME ya matumizi bora ya ardhi, yaani hawa wamefeli kabisa kwenye issue ya kuhakikisha mipango ya matumizi bora ya ardhi za vijiji inafanya kazi na hivyo kuondoa migogoro isiyoisha ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima.
 
Bodi ya chai
Mpiga chapa
Katibu tarafa
Bakita
Tbc
 
OSHA,
GAMING BOARD
Hizi zote hazina faida zaidi ya kuwanufaisha watu wachache na kulikandamiza kundi kubwa la watu,hamna taasisi zinapenda rushwa kama hizi
 
Hivi polisi ni taasisi?
 
NIDA wameupiga mwingi.
Kila mtu kajeruhiwa na NIDA
Nilienda NIDA kufatilia kitambulisho changu, jamaa namueleza shida yangu anarukia ulijiandikishia wapi? namtajia (Ni mkoa tofauti) ananijibu nenda ulipojiandikishia!

Nikamuuliza mzee kweli kuniangalizia kitambulisho kama kimetoka na kipo ofisi gani mpaka nisafiri safari ya masaa 12? Ilibidi niondoke tu na sijawahi fatilia tena natumia namba tu
 
Kwa uelewa wangu mdogo mkuu wa taasisi zote ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unaposema uliambiwa na mkuu wa taasisi zote, basi kaka we mtu mzito sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…