Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Duh!..Bodi ya michezo ya kubahatisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!..Bodi ya michezo ya kubahatisha
Ujinga sasa huu.Bodi ya michezo ya kubahatisha
Ni uhuni wa kiwango cha juu man, ni uhuni na sabotage ya waziwazi narudia tena...Haiingii akilini Mwanza jiji la pili kwa ukubwa na lililo na chanzo cha maji kama ziwa Victoria mnakaa hadi wiki 2 bila maji
Ndo naiskia leo inahusika na nnNIC.
Walimu wanaijua vizuri hasa wale wa ndani ndani.
Naona NIDA imeongoza kuwa kero kwa wananchi! kuna haja ya kuifanyia marekebisho.NIDA
Kokodo, dubwi hahahaTatu mzuka wamekukula nini?
Au makolokolo ya mchina yamekumaliza?
Kweli kabisa hizi zitokomee kabisa gizani,1. BUNGE
2. DAWASA
3. TANESCO
4. Bodi Bodi zoote kuanzia ya Nyama, Ngozi, Mpira, sijui..
Zitafutiwe mbadala
Hii bodi inahalalisha umasikini Kwa vijana huku serikali ikikomba 20% kama kodiTatu mzuka wamekukula nini?
Au makolokolo ya mchina yamekumaliza?
Kusaidia vyote.Kwahiyo zilianzishwa kwa lengo la kusaidia wananchi au kusaidia mzunguko wa fedha?
Niko na wewe kwenye bodi ya maziwa1..Nida
2..Bodi ya maziwa
Ndo naiskia leo inahusika na nn
Hawa NIDA sitaki hata kuwasikia, nikijitumia kama mfano, mimi nilishafanya usahili wote wa NIDA na kupata kitambulisho Ile awamu ya kwanza bahati mbaya nikapoteza, nikafanya taratibu zote Ili nilinew ninavyoandika sasa ushapita mwaka na miezi kama 2, Kila nilienda naambiwa utatumiwa message mpaka nimeamua niwaachie tu watakapojisikia wataniprintia kingine.Hapo kwenye nida ninaunga hoja