Uchaguzi 2020 Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole

Uchaguzi 2020 Tamaa za Wateule wa Rais kutia nia Ubunge zitawaponza wengi. Ushahidi huu hapa wa Rais Magufuli na Humphrey Polepole

Ili kujificha vizuri katika kichaka cha hivyo viapo ni vyema ukaweka hivyo vipengele hapa ili tujiridhishe vinginevyo kinachofanyika kina utata.
Kwa kuwa sijaona hivyo viapo, nalazimika kutumia matukio ya nyuma ambpo watumishi wa kada mbalimbali waliruhusiwa kushiriki mchaksto wa kuchaguliwa chini ya utaratibu Fulani.
Wakuu wamikoa, wilaya, makatibu wakuu na watumishi wengine walitoka na kwenda kugombea. Utaratibu huu ulibadilishwa lini?
Nje ya mada hivi Dodoma INA DC mpya?
 
Leo hii tayari usha mkana Makonda? [emoji23][emoji23] ama kweli ccm kwao kipau mbele chao ni mkono kwenda kinywani
Kwa wale wasiojua ni kwamba viapo vya utumishi wa umma vina kanuni na taratibu zake tena vina miiko yake.

Je, wateule wa Rais wakiwemo wakuu wa mikoa na wale wa wilaya walizingatia kanuni na miiko ya viapo vyao wakati wanaenda kuchukua fomu?

Je walijiuzulu uongozi na kuacha kazi?

Je, walifikiria hasara na usumbufu watakaouleta serikalini kwa kuondoka ghafla ofisini?

Je, Rais na amiri jeshi mkuu amewatuma kwenda kutumikia muhimili mwingine?.......Hili Rais Magufuli ameshalijibu kwamba hajamtuma mteule yoyote kugombea ubunge.

Basi, kiufupi kamati kuu ya CCM haitakuwa na kazi ngumu wakati wa kushughulika na majina ya hawa jamaa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hivi Makonda atamchagua nani? Kwa lipi? Kwa umaarufu upi aliyo nao?
Usiamini hata chembe akisemacho JPM. Makonda, Mnyeti, Gambo, Tulia, mtoto wa Lowasai, n.k wametumwa.

Wakikatwa hawa wote ndipo umuamini.
 
Jpm anapata picha jinsi watakavyomkimbia 2025, atakuwa mpweke hasa kuanzia 2023
 
Kwa wale wasiojua ni kwamba viapo vya utumishi wa umma vina kanuni na taratibu zake tena vina miiko yake.

Je, wateule wa Rais wakiwemo wakuu wa mikoa na wale wa wilaya walizingatia kanuni na miiko ya viapo vyao wakati wanaenda kuchukua fomu?

Je walijiuzulu uongozi na kuacha kazi?

Je, walifikiria hasara na usumbufu watakaouleta serikalini kwa kuondoka ghafla ofisini?

Je, Rais na amiri jeshi mkuu amewatuma kwenda kutumikia muhimili mwingine?.......Hili Rais Magufuli ameshalijibu kwamba hajamtuma mteule yoyote kugombea ubunge.

Basi, kiufupi kamati kuu ya CCM haitakuwa na kazi ngumu wakati wa kushughulika na majina ya hawa jamaa.

Maendeleo hayana vyama!
Wote kabla ya kwenda kugombea wameomba kibali hivyo huwezi kuwahukumu wakati wameruhusiwa na mkuu wao!
 
Kwa wale wasiojua ni kwamba viapo vya utumishi wa umma vina kanuni na taratibu zake tena vina miiko yake.

Je, wateule wa Rais wakiwemo wakuu wa mikoa na wale wa wilaya walizingatia kanuni na miiko ya viapo vyao wakati wanaenda kuchukua fomu?

Je walijiuzulu uongozi na kuacha kazi?

Je, walifikiria hasara na usumbufu watakaouleta serikalini kwa kuondoka ghafla ofisini?

Je, Rais na amiri jeshi mkuu amewatuma kwenda kutumikia muhimili mwingine?.......Hili Rais Magufuli ameshalijibu kwamba hajamtuma mteule yoyote kugombea ubunge.

Basi, kiufupi kamati kuu ya CCM haitakuwa na kazi ngumu wakati wa kushughulika na majina ya hawa jamaa.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani wapi pameandikwa kuwa uteuzi ni ndoa ya kikristo haivunjiki? Sheria gani inamuondolea mtu haki ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa mara baada ya kuteuliwa? Ajabu hasa ni nini na ni nani aliwahi kudumu milele kwenye ukuu wa mkoa au wilaya kwa sababu hakugombea? Acheni ushamba.
 
Back
Top Bottom