zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
We ni mdini toka enzi za Dr.Slaa ulikua unamkaanga kwa upadre wake huku ukimtukuza JK licha ya madudu yake kisa dini. Kaingia JPM umejikausha sana leo hii karudi mwenzenu mnajifanya anaandamwa kisa ni muislam.Kuna mapunguani humu sisi tunaowajibu wanatuita wadini. Lakini walichofanya wenzao ni sahihi sababu kinawafurahisha.
Chadema onyeni vijana wenu kuhusisha kukamatwa kwa mbowe na udini wa mama samia.
Huko wanapokwenda waislamu wenye akili na wapenda haki watashindwa kuwaunga mkono.
Wafuasi gani? Yaani comment ya fake account ndio ionywe na Mnyika?? Are you serious?
Samia is a weak president we najua unamtetea kma ulivyomtetea JK kisa udini licha ya kwamba nchi ilimshinda so piga kelele tu za udini hku Kusini mkizidi kudidimia kwenye umasikini till siku ukigundua adui yenu wa kweli ni CCM au Wakristo!!
Exactly.Na kinyume chake ni hatari. Serikali ibakie kuwa serikali na dini ziwe dini. Mambo ya viongozi kuzunguka kwneye misikiti na makanisa waachiwe mashehe, mapadre na wachungaji.
Mimi simuumini wa siasa ila ulichokiandika kina utu wa kweli mbele za MunguNaona unalazimisha kuonekana ni muislamu, ww sio muislam bali unajina la kiisilamu. Waislamu halisi wameongea, na hata wangeamua kukaa kimya bado ukweli tunaujua. Mbowe sio gaidi hata ungekuwa na chuki vipi na cdm kwenye hili hutoboi. Dhalimu Magu tulimpa ukweli wake na hatukujali jina lake la kikristo, na mama hatujali kama ni muislamu wala nini, tunampa ukweli. Ww pita kwenye misikiti yote waambie kuwa Samia anakosolewa kwakuwa ni muisilamu lakini hatumuachi akizuia katiba mpya.
We ni mdini toka enzi za Dr.Slaa ulikua unamkaanga kwa upadre wake huku ukimtukuza JK licha ya madudu yake kisa dini. Kaingia JPM umejikausha sana leo hii karudi mwenzenu mnajifanya anaandamwa kisa ni muislam.
Shameful really
Insane.!Nyie Shura ya Maimamu tulieni fanyeni shughuli zenu kwa mujibu wa katiba yenu. Acheni serikali kupitia jeshi la polisi wafanye shughuli zao hakuna mtu anauawa ni sheria ndio itatumika. Rais aliapa kuilinda katiba na sheria zake zote. We unajuaje km kongamano la katiba ilikuwa geresha tu na kuna mambo yamejificha nyuma ya pazia?
Hawa watu wana mikono mirefu wanafanya kazi hata wakati we unakoroma au unam-do mwenza wako. Hatuchelewi kuja kuilaumu serikali yakitokea yakutokea na tena nyie na mnaofananao ndio mtakuwa wa kwanza kuinyoshea kidole serikali kuwa 'hamjawahi kuona serikali dhaifu km hii kwani hawana vyombo vya usalama'?
Tuna imani na serikali yetu. CHADEMA wameshakosa mwelekeo tangia 2015 wanataka kutumia njia haramu na huruma ya wananchi.
Kutumia jeshi hakukufanyi kuwa strong! Ila uwezo wa kumanage majukumu yako ndio ina determine strength au weakness za kiongozi.Weak president eeh??
Mbona unabweka bweka kama mbwa Koko jike uliefiwa na bwana,kama ni weak president nenda barabaran ukamtoe mwenyekiti wako jela kama kweli una uhakika she's weak,unaishia Jf na Twitter tuh,nenda front tuone!!
Mwehu kweli ww
Ni hatua njema kutambua na kusema walichofanya polisi Mwanza na wanachoendelea nacho, ni matumizi mabaya ya mamlaka, hakikubaliki na ni kinyume cha katiba.
Mbowe kafanya nini?Kuna mapunguani humu sisi tunaowajibu wanatuita wadini. Lakini walichofanya wenzao ni sahihi sababu kinawafurahisha.
Unamjibia mdini mwenzio? watu mna Rais, waziri mkuu, jaji mkuu, mkuu wa TISS bado mnalalamika udini? Hvi mtaridhika lini?Kwan uongo kuwa Dr Slaa ni Padre?
Pamoja na upadre wake lakn amewaona nyinyi ni wapuuz na amewakimbia,
Mmebakia mazezeta msiojitambua tuh huko,fanyeni siasa zinazoeleweka siyo kuganga Njaa na ujanja ujanja mafala
Mama ana stress sana, wanaomuingiza 'chaka' 'wanapop' champagne![emoji16][emoji16]Mama kawapa trela ndogo tu mmelia week nzima hadi katiba na korona mmeisahau...afu peleka mzigo ukadungwe zishakuja chanjo
Slaa siyo Padre.Kwan uongo kuwa Dr Slaa ni Padre?
Pamoja na upadre wake lakn amewaona nyinyi ni wapuuz na amewakimbia,
Mmebakia mazezeta msiojitambua tuh huko,fanyeni siasa zinazoeleweka siyo kuganga Njaa na ujanja ujanja mafala
Popularity ya Samia imeshuka sana nyie endeleeni kumtia upepo tu. Bajeti yake imefeli kabla haijaanza at the same time anaiga udikteta wakati hana results za kuonyesha wananchi??Mama kawapa trela ndogo tu mmelia week nzima hadi katiba na korona mmeisahau...afu peleka mzigo ukadungwe zishakuja chanjo
Unamjibia mdini mwenzio? watu mna Rais, waziri mkuu, jaji mkuu, mkuu wa TISS bado mnalalamika udini? Hvi mtaridhika lini?
Wakati CHADEMA inawapigania kina ponda na Masheikh wa zenji sikuona mkiwasifia. Lissu kwenye kampeni zote alikua anapiga kelele watolewe, Eti leo hii mnajifanya kuwapangia Maimamu cha kuandika??
Embiciles
Wewe punguani kweli unaniuliza Mimi Mbowe kafanya nini waulize polisi, hoja ni kwa nini nyie wafuasi wa Chadema mnawashambulia Waislam badala ya serekali na polisi.Mbowe kafanya nini?
" Lakini walichowafanya wenzao ni sahihi sababu kinawafurahisha."
Acheni upimbi wa akili.
Mliwapigania wapi masheih acheni unafiki kuna watu walikuwa wanatoa michango yao wanaangalia familia zao nyie mlikuwa mnatafuta kula za Waislam, mliowapigania ni kina mdude.Unamjibia mdini mwenzio? watu mna Rais, waziri mkuu, jaji mkuu, mkuu wa TISS bado mnalalamika udini? Hvi mtaridhika lini?
Wakati CHADEMA inawapigania kina ponda na Masheikh wa zenji sikuona mkiwasifia. Lissu kwenye kampeni zote alikua anapiga kelele watolewe, Eti leo hii mnajifanya kuwapangia Maimamu cha kuandika??
Embiciles