Polisi na ile ya makumbusho pale
 
Shilika la wapigaji hilo toka enzi mtaji wa viongozi wakishiba wanaangalia ustaarabu mgine
 
Kwetu sisi hakuna shida ya umeme..........
Lakini hii idara ya police me nadhani ndiyo lijipu kuliko majipu yote nchi hii
 
Labda huko kwenu, hapa kwetu mbona tunashirikiana nao vizuri tu...jana wamekuja kufyeka Maharage yangu wamesema yapo kwenye eneo lao la akiba.
 
Labda huko kwenu, hapa kwetu mbona tunashirikiana nao vizuri tu...jana wamekuja kufyeka Maharage yangu wamesema yapo kwenye eneo lao la akiba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aiseee yaan huku umekata hapa ubungo tangu sa 12 nadhan hapa kurud Paka sa6 usiku daah yaani ndani hakukariki

Hivi kama Jijin Hali iko hivi hivi huko kwingine Hali ikoje

Mliopo nje ya dsm hebu mtujuze Hali ikoje ya kukatika katika kwa umeme
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji1] daahhh!
 
Aiseee yaan huku umekata hapa ubungo tangu sa 12 nadhan hapa kurud Paka sa6 usiku daah yaani ndani hakukariki

Hivi kama Jijin Hali iko hivi hivi huko kwingine Hali ikoje

Mliopo nje ya dsm hebu mtujuze Hali ikoje ya kukatika katika kwa umeme
Najaribu kufikiria flyover ya ubungo sijui itakuwa ya ghorofa bila umeme huko juu giza lake litakuwaje?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…