TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Naomba kujua kama nina vigezo vya kupewa tarif, ili nisisumbuke kufuatilia maana nilipopeleka barua niliambiwa tarif imesitishwa kwa muda

Namba ya mita yangu ni 221 325 3284 1
Nadhani hii namba ya meter itakuwa imeanza na 24........
 
Ninavyojua.
1. Unapobadilishiwa mita hulipi chochote bali wanachukua usomaji wa mwisho wa ile mita na kwenda kutoa ule uliosomwa kabla ya huu usomaji wa mwisho ili wakwambie deni lako.
2. Units unazo zikuta kwenye mita mpya ambazo ni 50 kwa single phase meter na 150 kwa three phase meter sio za bure. Zile zinatangulia ili wanapoendelea kufanya usajili nawe unaendelea kutumia. Ndio maana ununuzi wa kwanza kwenye meter mpya kama ni single phase unashauriwa ununue walau umeme wa kuanzia Tsh 20,000/= ambazo ni Units 56 lakini wewe utapata units 6 tu huku zile 50 ukiwa umezilipa. Na manunuzi yanayofuata yanakuwa ya kawaida. Hapa ni kwa mteja wa Tariff 1 tu.
Nadhani umenielewa.
Asante
 
kwa nini umeme Mtwara kila siku lazima ukatike kwa masaa 6 hadi 12 na kwenye baadhi ya line tu kila siku?
 
TANESCO NAOMBEN MSAADA WENU NMELIPIA KUFUNGIWA UMEME TANGU MWAKA JANA MWEZI WA 10 MWAKA JANA NKAAMBIWA BAADA YA MIEZI 3 NTAFUNGIWA LAKINI MPAKA LEO KIMYA.....NILILIPIA OFIS ZA TANESCO MOSHI MJIN ENEO NALOTAKA KUFUNGIWA NI KISHUMUNDU....ASANTEN KWA MSAADA WENU
 
TANESCO NAOMBEN MSAADA WENU NMELIPIA KUFUNGIWA UMEME TANGU MWAKA JANA MWEZI WA 10 MWAKA JANA NKAAMBIWA BAADA YA MIEZI 3 NTAFUNGIWA LAKINI MPAKA LEO KIMYA.....NILILIPIA OFIS ZA TANESCO MOSHI MJIN ENEO NALOTAKA KUFUNGIWA NI KISHUMUNDU....ASANTEN KWA MSAADA WENU
Ndugu mpendwa mteja tunaomba jina ulilolipia na namba ya simu
 
Habari wana tanesco pamoja na kwamba hamjajibu swali langu kuhusu hawa rea pale chanika nyeburu.

Nimepeleka fomu ya maombi tangu January 2016
Na wenzangu wameshafungiwa
 
TUNATAKA MASHILIKA MENGINE YA UMEME......YAWE MENGI" KAMA MITANDAO YA SIMU mf: Tigo, Voda, airtel
n.k....Kwa maana TUMECHOKA KUSHANGILIA UMEME SAA 2 YA USIKU..
{ Uwoooooooooooooooooo>>>> }
TUMEWACHOKA %x%¥
 
Daaa ni siku ya nne toka nimefika hapa Mtwara mjini, kumekuwa na tabia ya kukatika kwa umeme kila ifikapo saa 12 au saa moja jioni, kurudi 4 au 5 uck.

Tanesco hebu litazameni hili jambo
 
Huo mgao uko Mtwara tu. ....hebu fuatilia vizuri huenda wana matengenezo tu.
 
Tanesco nimezima kuanzia friji feni pasi sipigi ninatumia taa tu energy sever cha ajabu Nkinunua Luku ya elf5 ni siku tatu tu
InakuAje hapo?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;


LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO
Sawa mmeeleweka.
Nawaomba mpunguze bei ya kufunga mita, maana hicho ni kifaa cha kukusanyiaa fedha. Mkipata wateja wengi makusanyo yataongezeka!!
 
Njoeni mnibadioishie nguzo kila siku najuja ofisini kwenu mbaya zaidi nimepewa ahadi za uwongo mnataka nguzo iangukie nyumba yangu
 
Back
Top Bottom