Aiseee! Hakika wewe ni mpumbavu, refer jinsi neno “mpumbavu” lilivyotumiwa na Che Nkapa na ********!Kama mgao unauona kwanini mpk utangaziwe?
Mkuu usipotoshe umaa. Lowassa hakutimuliwa tofautisha kutimuliwa na kujiuzulu......
.....zekikis era
Umeimaliza Siku yangu vizuri,Ahsante[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji111] [emoji111] [emoji111]tanzania ya kamari sasa hivi kila chombo cha bahari ni tatu mzuka na biko
Ulichoandika hakieleweki unataka ujibiwe nini?Stupid people like you are still alive. Nani alikudanganya maendeleo utapata kupitia chama. Nani alikwambia tz haitakuwa na majanga. Hivi Kwa lugha Kama zako. Wewe huwezi Kama mfanyakazi kuhujumu mitambo. Kama midomo na akili yako imeisha hapo Heri tumia viungo Vingine kuongea
Teh teh hilo nalo neno!Kama sirikali
tuko kwenye upembuzi yakinifu za kuhamisha ofisi
Kufuatia kutii agizo LA mh.Rais LA kuvunja ofisi.
Ofisi yetu haiwezi kua inavunjwa afu umeme unawaka.
Sio wa gridi ya taifa tu hata sisi wa gesi tunapata shida hasa Masasi mpaka mangaka imekuwa kero unakaa siku tatu hujaona umeme hili linakeraSHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA KWA WATEJA WALIOUNGWA KATIKA GRIDI YA TAIFA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa mnamo majira ya Saa moja na dakika mbili asubuhi imetokea hitilafu katika Gridi ya Taifa na hivyo kusababisha Mikoa yote iliyo unganishwa katika Gridi kukosa umeme.
Jitihada zinaendelea kurejesha umeme kwa haraka na tutaendelea kutoa taarifa zaidi.
Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamii
www.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu
Imetolewa na:-
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
30/11/2017
Nashangaa sana Tanzania ya viwanda wakati umeme hakuna?are they serious?nchi nzima hakuna umeme nasikia
they are NOT serious Sweet Girl.Nashangaa sana Tanzania ya viwanda wakati umeme hakuna?are they serious?
Tumeipokea kwa hatua zaidMimi ni mkazi wa chanika zogoali sio mbali kutikea chamika standi au ume ulipo ishia natakilibani miaka miwili nilipo mpaka sasa umeme hauja fika na majina yaliandikishwa kwa wale tunao hitaji umeme mpaka sasa hakuna maendeleo yoyote . sijui mtatusaidia vipi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani kwa mgao huu ni bora ubomoaji wq jengo lenu ungewahusisha na nyie humo humo ndani, mnaogopa kusema kuwa kutakuwa na mgao?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani kwa mgao huu ni bora ubomoaji wq jengo lenu ungewahusisha na nyie humo humo ndani, mnaogopa kusema kuwa kutakuwa na mgao?
Eti nguzo za zegeTanesco wameanzisha kampuni tanzu ya kutengeneza nguzo za zege!!
.....Eti nguzo za zege