Nimefika nyumbani no umeme .Hivi wakitutangazia mgao inakuwaje. Nimesema Tena Tanzania tujiandae na recession ya kufa mtu Mungu tusaidie.

Na CCM watu wataendelea kuwapigia makofi.Viwanda tunaanzishaje Kama hali yenyewe ya umeme Ni hii. Mapato lazima yashuke. Naona tunaelekea Zim
 
Ulichoandika hakieleweki unataka ujibiwe nini?
Kama una shaka na uelewa wako waachie wenyewe wajibu wee pita kimya kimya.
 
Sio wa gridi ya taifa tu hata sisi wa gesi tunapata shida hasa Masasi mpaka mangaka imekuwa kero unakaa siku tatu hujaona umeme hili linakera
 
Tulikua tukiambiwa mgao ni kutokana na bwala la mtera kukauka kwa maji
Hivi sasa ni Masika nchi nzima, sababu imekua mitambo ya gesi.

Cha ajabu LUKU yako ikiisha papo hapo umeme unakatika hamna hata nyongeza ya nusu saa ili ununue LUKU
NINGESHAURI TU,,SERIKALI IKARUHUSU KAMPUNI BINAFSI ZA UMEME KUWEKA NCHINI, kama walivoruhusu MAKAMPUNI BINAFSI YA SIMU DHIDI YA TTCL
 
Tumeipokea kwa hatua zaid
 
Nyie tanesco rujewa mbeya kila siku lazima mkate umeme mtuambie km ni mgao
 
Mnatuharibia mifumo nyie kima ni makatili wa maendeleo mtaficha sana lakini tutaujua ukweli
 
Wakuu huu mgao wa umeme wa siri siri japo unaonekana kwa macho.. Nasema wa siri kwasababu huana maelezo ili watu tujipange kwa kununua ma generator.. Kwa mfano huku mbeya umeme ni kawaida kukatika sa mbili hasubuhi na kurudi sa tano usiku.. Ikumbukwe umeme kwa hii miaka ni muhimu sana kwa shughuli za viwanda vyetu vidogo vidogo kama saloon, welding n.k

Swali nnalo jiuliza ni nani wa kutumbuliwa kwa huu uzembe wa mgao wa umeme usio na kifani? Maana kama kutumbua kwenye sector ya umeme tumetumbua sanaaa hivi sahivi ni zamu ya nani!?

Na anayejua sababu ya umeme kukatika na huu mgao wa kutisha ni ipi?

nchi ya viwonder
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…