Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu Trump alikufukuza?Huku Mbezi beach washakata tayari!!
Jana usiku pia walikata kuanzia saa 12 jioni hadi kwenye saa saba usiku.
Leo hii wamekata mapema...saa nne kasoro tu!
Eff them.
Sina Umeme kwa sasa najipanga punde niwe na umeme wanguUnatumia aina gani ya umeme mkuu?
Mwenye Nchi yakeWakuu huu mgao wa umeme wa siri siri japo unaonekana kwa macho.. Nasema wa siri kwasababu huana maelezo ili watu tujipange kwa kununua ma generator.. Kwa mfano huku mbeya umeme ni kawaida kukatika sa mbili hasubuhi na kurudi sa tano usiku.. Ikumbukwe umeme kwa hii miaka ni muhimu sana kwa shughuli za viwanda vyetu vidogo vidogo kama saloon, welding n.k
Swali nnalo jiuliza ni nani wa kutumbuliwa kwa huu uzembe wa mgao wa umeme usio na kifani? Maana kama kutumbua kwenye sector ya umeme tumetumbua sanaaa hivi sahivi ni zamu ya nani!?
Na anayejua sababu ya umeme kukatika na huu mgao wa kutisha ni ipi?
nchi ya viwonder
mkuu Trump alikufukuza?
Mhamiaji haramKwa nini?
Kila siku mnakatakata umeme, haya juzi hitilafu tumekubali!Tumeipokea kwa hatua zaid
Nikushauri kitu,weka umeme wa TANESCOSina Umeme kwa sasa najipanga punde niwe na umeme wangu
Tanesco ni pasua kichwa mramba embu rudi tuBadala ya kuwaachia watu binafsi washughulike na utengenezaji wa nguzo, wao wajikite kwenye uzalishaji na usambazaji wa umeme, wanajiongezea majukumu!!
Mhamiaji haram
.....Watanzania bhana, unauliza chooni kunanuka nini wakati unatoka huko huko?
Matendo hukidhi maridhiwa kuliko maneno shekh....
Mgao sio mpaka tuambiwe, umesahau wamejitoa kwenye serikali yenye uwazi?
Unataka watangaze mgao ili nao waonekane wameshindwa?
Hii ni serikali ambayo iko KIKI-ORIENTED.
NB: Arusha Sakina umekatika saa tatu asubuhi.
.....Badala ya kuwaachia watu binafsi washughulike na utengenezaji wa nguzo, wao wajikite kwenye uzalishaji na usambazaji wa umeme, wanajiongezea majukumu!!
KWANINI NYIE CCM AMBAO MNAJISIFIA MNAPENDWA NA WANANCHI HADI KUPATA KATA 42 MSITOE MATAMKO? AU CHADEMA TU NDIO WANAUMIZWA NA MATATIZO YA WANANCHIMambo kama haya Chadema ndo yalipaswa kuyatolea matamko, lkn kwenye matatizo ya msingi ya watanzania Chadema hujificha, ila akikamatwa Heche polisi, hayo matamko utakayoyasikia sio ya Nchi hii
Yaah!!! Huku Masaki umeme hukatiki tumeunganishwa na laini ya whitehouse, so pambaneni na hali zenu, hakuna namna...Huku upanga wametukatia.