Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmb ya kikaratasi ni 2259 niliyopewa, eneo ni magomeni mtaa wa ndugumbi karibu na msikitini nyumba ya ghorofa Ina frame mbili za madukaTunaomba namba ya taarifa uliyopewa ipo kwenye hicho kikaratasi ulichopewa imaeanza na Tb... Kst 052017-.......
Ulichoulizwa kingine na ukichojibu kingine. Taja hiyo namba inayoanza na hizo namba ulizopewa. Sasa hayo ya karibu na mataa nani kakuuliza?Nmb ya kikaratasi ni 2259 niliyopewa, eneo ni magomeni mtaa wa ndugumbi karibu na msikitini nyumba ya ghorofa Ina frame mbili za maduka
Mpango upo na shirika linatoa huduma hio lakni kwa sasa tumejikita kutoa huduma kwa wateja ambao hawana kabsa umeme na baada ya kupunguza wale ambao wamelipia ndio tunaendelea na kuwafungia wateja mita ya piliMnampango gani katika kuongeza matumizi ya personal luku ili kupunguza kero kwa watanzania wanaoshare luku?
Utatolewa endapo wastani kwa miezi mitatu utazidi unit 75Challe maige mita 24214220774 Kama ni manunuzi inanitia wasiwasi, Mimi nimeingia kwenye matumizi hayo muezi uliopita. Tare' 9/5/2017 nimenunu umeme wa sh 10000 nikapata unit 77 je nitatolewa? Naomba ufafanuzi
Ngoja tuangalia kwenye mfumo alafu tutakupa majibuChalle maige mita 24214220774 Kama ni manunuzi inanitia wasiwasi, Mimi nimeingia kwenye matumizi hayo muezi uliopita. Tare' 9/5/2017 nimenunu umeme wa sh 10000 nikapata unit 77 je nitatolewa? Naomba ufafanuzi
Tunalifuatilia...Tanesco hapa pongwe toka jumatatu umeme umekatika. Taarifa zinadai kuwa kuna watu waliiba nyaya za shaba kwenye transfoma. Ajabu mpaka leo tupo kizani na mvua hizi. Nasikia mnadai mpaka tuwataje wezi. Hebu toeni ufafanuzi tuwaelewe.
Na mvua hizi maisha magumu bila umeme. PlsTunalifuatilia...
Leo tulifanya kikao na madiwani na kuwaomba watusaidie katika ulinzi wa hio transfoma kwa sababu imeibiwa Mara kadhaa hapo.Tanesco hapa pongwe toka jumatatu umeme umekatika. Taarifa zinadai kuwa kuna watu waliiba nyaya za shaba kwenye transfoma. Ajabu mpaka leo tupo kizani na mvua hizi. Nasikia mnadai mpaka tuwataje wezi. Hebu toeni ufafanuzi tuwaelewe.